Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ilikia within a minite tuSalary Advance si ni 24 hours baada ya Mshahara kuingia.
Kwani mambo tayari?Haipatikani
Kwamba mshahara wa mwezi huu ukiingia unajazia na advance ya mwezi ujao?Hamna wengine mzigo unapoingia tu hapo hapo tunajazia sasa option haipo kabisa najisikia kufa live.
Mkuu kama hutajali, hapa mnamaanisha kitu gani? Yani unapata mshahara afu unapewa advance ya nini?Salary Advance si ni 24 hours baada ya Mshahara kuingia.
Hapo ndio sijaelewa. Unapataje advance wakati mshahara ushaingia? Mi nilidhani unapata advance afu mshahara ukiingia ile advance uliyopewa inakatwa.Advance inaongeza ufanisi wa kazi mkuu. Ni kama motisha 🤣🤣
Chonde chonde CRDB msitufanyie hivyo. Mnatuaibisha tulishaanza kunywa bia toka jana sasa leo kuondoa salary advance ndio nn?
Fanyeni mambo basi tunawaaminia.
Mkuu. Yaani tufanye Mshahara wako unaingia Tar 25 February. Sasa Ukishaingia unaweza kukopa Mshahara wa mwezi March asilimia kadhaa. Sasa ikifika Tarehe 25 March Bank watakata ile uliokopa na viasilikia kidogo na kitakachobaki wanakupa.Mkuu kama hutajali, hapa mnamaanisha kitu gani? Yani unapata mshahara afu unapewa advance ya nini?
Shukrani kwa ufafanuzi kiongozi.Mkuu. Yaani tufanye Mshahara wako unaingia Tar 25 February. Sasa Ukishaingia unaweza kukopa Mshahara wa mwezi March asilimia kadhaa. Sasa ikifika Tarehe 25 March Bank watakata ile uliokopa na viasilikia kidogo na kitakachobaki wanakupa.
Tatizo ukisha anza huu mchenzo ndio basi tena.