CRDB kuondoa Salary advance imekaaje?

CRDB kuondoa Salary advance imekaaje?

Vinginevyo hata kazi utaichukia.Binafsi sijawahi fanya hii kitu.Bora nivumilie tu
 
Mkuu. Yaani tufanye Mshahara wako unaingia Tar 25 February. Sasa Ukishaingia unaweza kukopa Mshahara wa mwezi March asilimia kadhaa. Sasa ikifika Tarehe 25 March Bank watakata ile uliokopa na viasilikia kidogo na kitakachobaki wanakupa.

Tatizo ukisha anza huu mchenzo ndio basi tena.
Hapo "ndio basi tena" panatesa sana ila kuchomoka ndio mtihani
 
Mkuu. Yaani tufanye Mshahara wako unaingia Tar 25 February. Sasa Ukishaingia unaweza kukopa Mshahara wa mwezi March asilimia kadhaa. Sasa ikifika Tarehe 25 March Bank watakata ile uliokopa na viasilikia kidogo na kitakachobaki wanakupa.

Tatizo ukisha anza huu mchenzo ndio basi tena.
Ni ngumu sana kuacha,hii kitu nilijiunga na songesha ya mpesa nikafikia hadi limit ya elfu 48 nashukuru nimetamana ma hii mambo staki hata kuiskia
 
Ni ngumu sana kuacha,hii kitu nilijiunga na songesha ya mpesa nikafikia hadi limit ya elfu 48 nashukuru nimetamana ma hii mambo staki hata kuiskia
Mm sjawalipa mwaka sasa songesha na wameniambia wataacha kukuta hela
 
Back
Top Bottom