Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Guardian angel 🙏Yaani unalipa alaf fasta unakopa[emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini menu wamebadilisha nilitumiwa meseji jana kwahyo angalia vizuri. Ingia kwenye menu yao cheki Option Na. 5 ndio kuna mikopo hapoView attachment 1709720
Suruhusho moderetor wabadili kichwa cha uzi waweke kwamba menu ya kupata salary advance CRDB imebadilika. Hapo watakuwa wamesolve tatizo.Moderator tunaomba rasmi muufute huu uzi crdb walibadilisha kidogo setting zao za simbanking zikaleta taharuki tunaomba muufute sasa .
Dah.... ulinitesa sana ila sasa hivi nimeacha.Mkuu. Yaani tufanye Mshahara wako unaingia Tar 25 February. Sasa Ukishaingia unaweza kukopa Mshahara wa mwezi March asilimia kadhaa. Sasa ikifika Tarehe 25 March Bank watakata ile uliokopa na viasilikia kidogo na kitakachobaki wanakupa.
Tatizo ukisha anza huu mchenzo ndio basi tena.
endelea kunywa bia ondoa shakaChonde chonde CRDB msitufanyie hivyo. Mnatuaibisha tulishaanza kunywa bia toka jana sasa leo kuondoa salary advance ndio nini?
Fanyeni mambo basi tunawaaminia.
Mkuu kama hutajali, hapa mnamaanisha kitu gani? Yani unapata mshahara afu unapewa advance ya nini?
Nimeelewa kiongozi...Boss huo ni mkopo, unapewa mshahara wa mwezi ambao haujafikia kwa riba kidogo
Nimeelewa kiongozi...
Lakini naona kama huu ni mpango hatarishi sana. Mwezi unaofuata unaweza kujikuta huna hata mia...
Wanaruhusu mpaka asilimia ngapi ya mshahara?Unachukua asimia kadhaa, Utabakiwa na hela kidogo ya Topaz