Mwalimu kp
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 574
- 488
Hapo "ndio basi tena" panatesa sana ila kuchomoka ndio mtihaniMkuu. Yaani tufanye Mshahara wako unaingia Tar 25 February. Sasa Ukishaingia unaweza kukopa Mshahara wa mwezi March asilimia kadhaa. Sasa ikifika Tarehe 25 March Bank watakata ile uliokopa na viasilikia kidogo na kitakachobaki wanakupa.
Tatizo ukisha anza huu mchenzo ndio basi tena.
Huduma hamna hata kwenye app ya simbankingWamesemaje kwani?
Wamefuta kabisa hiyo huduma?
Ni ngumu sana kuacha,hii kitu nilijiunga na songesha ya mpesa nikafikia hadi limit ya elfu 48 nashukuru nimetamana ma hii mambo staki hata kuiskiaMkuu. Yaani tufanye Mshahara wako unaingia Tar 25 February. Sasa Ukishaingia unaweza kukopa Mshahara wa mwezi March asilimia kadhaa. Sasa ikifika Tarehe 25 March Bank watakata ile uliokopa na viasilikia kidogo na kitakachobaki wanakupa.
Tatizo ukisha anza huu mchenzo ndio basi tena.
Huu mchezo unafanana na SONGESHA ya vodacom.Hela ikiingia Mpesa unakatwa halafu unaSONGESHA tena!Tatizo ukisha anza huu mchenzo ndio basi tena
Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake endelea kushangaa tuKwamba mshahara wa mwezi huu ukiingia unajazia na advance ya mwezi ujao?
Mm sjawalipa mwaka sasa songesha na wameniambia wataacha kukuta helaNi ngumu sana kuacha,hii kitu nilijiunga na songesha ya mpesa nikafikia hadi limit ya elfu 48 nashukuru nimetamana ma hii mambo staki hata kuiskia