Hossam
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 3,544
- 2,169
Tunahitaji mtu anayeweza kufikiria kama ww! Nahisi hii ni comment ya kufunga huu mjadala!
Mjadala kwa huu wehu! Aisee kumbe na wewe walewale...dah! Mi nachosema sio wapigwe ban kabisa hapana. Tunahitaji watafute utaratibu mzuri. We unajisikiaje unashinda mchana kutwa bila kusikia sauti ya my wife wako? Huko kazini nikwambie tu huwa kuna mahazibendi wao na my wife wa ofisiofisi so akikubusu asubuhi kisawasawa nadhani ni kweli huwezi kumkumba my wife wako ambaye kwanza ushamzoea na umeishi nae miaka sita ana watoto wawili na mmeondoka hom hamuelewani hata mwaka unaweza isha, ila sema kweli vp mchepuko wako nao huwa huwasiliani nao mchana kutwa? Kuwa prudent