CRDB na Gazeti la mwananchi ni waongo, wanamchafua Magufuli

CRDB na Gazeti la mwananchi ni waongo, wanamchafua Magufuli

Ofisi za TRA, TANESCO, Mahakama zipo karibu kila wilaya lakini za chato ni za kipekee ndio hoja yangu yaani kuna baadhi ya vitu imependelewa waziwazi kwa msukumo wa Magufuli.
Wivu tu huo unakusumbua Ndugu yangu utazani Chato si Tanzania.
 
Ni Tanzania lakini kwanini ipendelewe na serikali ya awamu ya tano kwa kujengewa miundombinu ya kisasa kwa muda mfupi tu?
Kama unajua ni Tanzania. Inatosha tu hata hapo.

Mengine ni wivu tu.

Yamefanyika Moshi na Arusha na Wala hatusemi. Msiwafanye wengine wajinga nchi hii.
 
Nimesema makala ya Gazeti la mwananchi unayosema CRDB walifungua Tawi chato Kwa kulazimisha na magufuri na mara baada ya kumfariji kwako tawi walilifunga.Je ni kweli chato Kwa sasa hakuna tawi la CRDB na NMB?ukweli ni kwamba sasa hivi banki zote mbili wamepanua matawi yao kuwa makubwa na yakisasa zaidi.Sasa Kwa kuwa Gazeti la mwananchi ya jana linasema CRDB ilifunga tawi lao mara magufuri kumfariji,,na wao kukaa kimya..inaonyesha wanakubalina na mauudhui ya uwongo ya gezeti la mwananchi na hivyo kukubali kuwa CRDB inashirikiana na Gazeti la mwananchi kuchagua magufuri..haijulikani Kwa faida ya nani
Soon kila kitu kitawekwa wazi tu, watu walishindwa kusema maan hapakua na uhuru huo!!! Usiseme ni waongo, unajua mashirika kadha ilibid yawe yanaenda kopa kwingine ili yatoe gawio? Na ole wako usilete gawio, mambo ni mengi mengine kwasababu ya kiprotoko inabid yapotezewe!! imagine mji mdogo kama chatlle uweke jengo kama lile la crdb bora geita ni sawa kbs!!
 
Wivu tu huo unakusumbua Ndugu yangu utazani Chato si Tanzania.
Wilaya gani ambayo sio makao makuu ya mkoa imejengwa referral hospital kama ilivyo Chato? Vitu vingi vilivyotakiwa kuwa mkoani vilijengwa Chato kwa upendeleo sana kisingizio kikiwa hicho cha nayo ni Tanzania. Hata Ileje, Nachingwea na Mbulu nazo ziko Tanzania pia. Kuwa mtawala kusifanye ujimegee tu keki ya nchi kwa eneo lako
 
Wewe ndo muongo ukujua aina ya tawi ilio fungwa na tawli lililo baki, kwani kabla ya magufuli crdb si ilikua na tawi chato? Wamaendeleza hilo hilo dogo sio main likua chini ya tawi kuu Geita.
Hivi kwanini ulichagua ID covax? Most likely you are in the medical profession/researcher 🙄 🙄 🙄 🙄 🙄 🙄 🙄 🙄 just joking!
 
Nimesema makala ya Gazeti la mwananchi unayosema CRDB walifungua Tawi chato Kwa kulazimisha na magufuri na mara baada ya kumfariji kwako tawi walilifunga.Je ni kweli chato Kwa sasa hakuna tawi la CRDB na NMB?ukweli ni kwamba sasa hivi banki zote mbili wamepanua matawi yao kuwa makubwa na yakisasa zaidi.Sasa Kwa kuwa Gazeti la mwananchi ya jana linasema CRDB ilifunga tawi lao mara magufuri kumfariji,,na wao kukaa kimya..inaonyesha wanakubalina na mauudhui ya uwongo ya gezeti la mwananchi na hivyo kukubali kuwa CRDB inashirikiana na Gazeti la mwananchi kuchagua magufuri..haijulikani Kwa faida ya nani
Magufuli alikuwa mchafu hivyo haihitaji kuchafuliwa
 
Natural ni uongonmkubwa kusema CRDB Haina bank chato Kwa SBB waliifunga mara baada ya magufuri kumfariji Kwa SBB waliifunga Kwa kumuogopa magufuri. Uwongo uwongo uwongo.

Leta hilo andiko hapa tulisome, otherwise utakuwa umesoma kwa kukurupuka kisha ukapanic ndio ukaleta huu uparata!
 
Nimesema makala ya Gazeti la mwananchi unayosema CRDB walifungua Tawi chato Kwa kulazimisha na magufuri na mara baada ya kumfariji kwako tawi walilifunga.Je ni kweli chato Kwa sasa hakuna tawi la CRDB na NMB?ukweli ni kwamba sasa hivi banki zote mbili wamepanua matawi yao kuwa makubwa na yakisasa zaidi.Sasa Kwa kuwa Gazeti la mwananchi ya jana linasema CRDB ilifunga tawi lao mara magufuri kumfariji,,na wao kukaa kimya..inaonyesha wanakubalina na mauudhui ya uwongo ya gezeti la mwananchi na hivyo kukubali kuwa CRDB inashirikiana na Gazeti la mwananchi kuchagua magufuri..haijulikani Kwa faida ya nani
Kwanza Magufuri ndio nani?
 
Usiwatishe CRDB na gazeti la Mananchi. Enzi za huyo Mungu wako zimekwisha.

Acha atukwnwe na kuchafuliwa mpk akome kuwa dikteta huko aliko.
Msikilize huyu Chadema mwezako Askofu Niwemugizi

 
Ukiona Unachafuliwa,,,Jua ya kuwa wewe ni Msafi!!!Ulioshaona wapi Mchafu akachafuliwa,,,Mchafu anasafishwa,,,na Msafi yake kuchafuliwa!!!
 
Tawi lilifunguliwa na crdb na wao crdb ndo wanasema walifungua kumfariji marehemu alafu unabisha

Hii nchi Ina watu wagumu Sana

Kwahiyo we unajua zaidi kuliko crdb kuhusu crdb?
 
Nimesema makala ya Gazeti la mwananchi unayosema CRDB walifungua Tawi chato Kwa kulazimisha na magufuri na mara baada ya kumfariji kwako tawi walilifunga.Je ni kweli chato Kwa sasa hakuna tawi la CRDB na NMB?ukweli ni kwamba sasa hivi banki zote mbili wamepanua matawi yao kuwa makubwa na yakisasa zaidi.Sasa Kwa kuwa Gazeti la mwananchi ya jana linasema CRDB ilifunga tawi lao mara magufuri kumfariji,,na wao kukaa kimya..inaonyesha wanakubalina na mauudhui ya uwongo ya gezeti la mwananchi na hivyo kukubali kuwa CRDB inashirikiana na Gazeti la mwananchi kuchagua magufuri..haijulikani Kwa faida ya nani

Sasa wewe mbona hujaleta ushahidi unakuja kutuuliza sisi?
 
Wilaya gani ambayo sio makao makuu ya mkoa imejengwa referral hospital kama ilivyo Chato? Vitu vingi vilivyotakiwa kuwa mkoani vilijengwa Chato kwa upendeleo sana kisingizio kikiwa hicho cha nayo ni Tanzania. Hata Ileje, Nachingwea na Mbulu nazo ziko Tanzania pia. Kuwa mtawala kusifanye ujimegee tu keki ya nchi kwa eneo lako
Kwani hujui kwamba inatakiwa iwe mkoa?
 
Back
Top Bottom