JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Wivu tu huo unakusumbua Ndugu yangu utazani Chato si Tanzania.Ofisi za TRA, TANESCO, Mahakama zipo karibu kila wilaya lakini za chato ni za kipekee ndio hoja yangu yaani kuna baadhi ya vitu imependelewa waziwazi kwa msukumo wa Magufuli.