Aaronrweumbiza
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 577
- 711
Hawa ni wakina Nani ?hasafishiki
![]()
![]()
Video
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ni wakina Nani ?hasafishiki
![]()
![]()
Video
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mtoa mada njoo ujibu hapa................Kwahiyo unatakaje??
Akijibu utaniambia mkuu!!!!Chalinze kuna uwanja wa ndege?,chalinze kuna hospitali ya kanda?,chalinze kuna ofisi za TRA na TANESCO (zenye hadhi ya mkoa au kanda) kama zilizopo chato?,chalinze kuna mbuga ya wanyama pori ya kulazimisha kama ya burigi chato? Chalinze kuna jengo la mahakama ya mwanzo na wilaya la kipekee.
Ndugu acha unafiki.
We mwehu kweli yani sikujui hunijui halafu nitafute kiki ipi sasa we mpumbavu? Kumbe humu kuna watu mmejitafutia umaarufu wa JF sasa ndio ili iweje sasa? AiseeAcha kunishobokea. Usitafute kiki kupitia mm.
Ni ngumu sana kumsafisha magufuli.
Tawi na uwanja vifungwe, na taa za barabara (traffic lights)zizimweKwahiyo unatakaje??
Basi koma kunifuatiliaWe mwehu kweli yani sikujui hunijui halafu nitafute kiki ipi sasa we mpumbavu? Kumbe humu kuna watu mmejitafutia umaarufu wa JF sasa ndio ili iweje sasa? Aisee
Crdb walishakanushaga huko nyuma mara baada ya huu uvumi kuwa tawi lao limegeuzwa ClubNimesema makala ya Gazeti la mwananchi unayosema CRDB walifungua Tawi chato Kwa kulazimisha na magufuri na mara baada ya kumfariji kwako tawi walilifunga.Je ni kweli chato Kwa sasa hakuna tawi la CRDB na NMB?ukweli ni kwamba sasa hivi banki zote mbili wamepanua matawi yao kuwa makubwa na yakisasa zaidi.Sasa Kwa kuwa Gazeti la mwananchi ya jana linasema CRDB ilifunga tawi lao mara magufuri kumfariji,,na wao kukaa kimya..inaonyesha wanakubalina na mauudhui ya uwongo ya gezeti la mwananchi na hivyo kukubali kuwa CRDB inashirikiana na Gazeti la mwananchi kuchagua magufuri..haijulikani Kwa faida ya nani
Ukweli wako ni upi? Miradi mingapi huko Chato ni magofu?Nimesema makala ya Gazeti la mwananchi unayosema CRDB walifungua Tawi chato Kwa kulazimisha na magufuri na mara baada ya kumfariji kwako tawi walilifunga.Je ni kweli chato Kwa sasa hakuna tawi la CRDB na NMB?ukweli ni kwamba sasa hivi banki zote mbili wamepanua matawi yao kuwa makubwa na yakisasa zaidi.Sasa Kwa kuwa Gazeti la mwananchi ya jana linasema CRDB ilifunga tawi lao mara magufuri kumfariji,,na wao kukaa kimya..inaonyesha wanakubalina na mauudhui ya uwongo ya gezeti la mwananchi na hivyo kukubali kuwa CRDB inashirikiana na Gazeti la mwananchi kuchagua magufuri..haijulikani Kwa faida ya nani
[emoji38][emoji38][emoji38]Kwahiyo unatakaje??
Magufuri ndio nini?Usiwatishe CRDB na gazeti la Mananchi. Enzi za huyo Mungu wako zimekwisha.
Acha atukwnwe na kuchafuliwa mpk akome kuwa dikteta huko aliko.
Basi koma kunifuatilia
Pia hata kinyume chake ni ngumu pia.Ni ngumu sana kumsafisha magufuli.
Inatakiwa? Mi ndio sijui kiswahili au? Inatakiwa na nani. Kuwa mkoa ni kutakiwa?Kwani hujui kwamba inatakiwa iwe mkoa?
Nimesema makala ya Gazeti la mwananchi unayosema CRDB walifungua Tawi chato Kwa kulazimisha na magufuri na mara baada ya kumfariji kwako tawi walilifunga.Je ni kweli chato Kwa sasa hakuna tawi la CRDB na NMB?ukweli ni kwamba sasa hivi banki zote mbili wamepanua matawi yao kuwa makubwa na yakisasa zaidi.Sasa Kwa kuwa Gazeti la mwananchi ya jana linasema CRDB ilifunga tawi lao mara magufuri kumfariji,,na wao kukaa kimya..inaonyesha wanakubalina na mauudhui ya uwongo ya gezeti la mwananchi na hivyo kukubali kuwa CRDB inashirikiana na Gazeti la mwananchi kuchagua magufuri..haijulikani Kwa faida ya nani
Moshi na Arusha kulifanyika nini kama upendeleo??Kama unajua ni Tanzania. Inatosha tu hata hapo.
Mengine ni wivu tu.
Yamefanyika Moshi na Arusha na Wala hatusemi. Msiwafanye wengine wajinga nchi hii.