Wivu tu huo unakusumbua Ndugu yangu utazani Chato si Tanzania.Ofisi za TRA, TANESCO, Mahakama zipo karibu kila wilaya lakini za chato ni za kipekee ndio hoja yangu yaani kuna baadhi ya vitu imependelewa waziwazi kwa msukumo wa Magufuli.
Ni Tanzania lakini kwanini ipendelewe na serikali ya awamu ya tano kwa kujengewa miundombinu ya kisasa kwa muda mfupi tu?Wivu tu huo unakusumbua Ndugu yangu utazani Chato si Tanzania.
Kama unajua ni Tanzania. Inatosha tu hata hapo.Ni Tanzania lakini kwanini ipendelewe na serikali ya awamu ya tano kwa kujengewa miundombinu ya kisasa kwa muda mfupi tu?
Soon kila kitu kitawekwa wazi tu, watu walishindwa kusema maan hapakua na uhuru huo!!! Usiseme ni waongo, unajua mashirika kadha ilibid yawe yanaenda kopa kwingine ili yatoe gawio? Na ole wako usilete gawio, mambo ni mengi mengine kwasababu ya kiprotoko inabid yapotezewe!! imagine mji mdogo kama chatlle uweke jengo kama lile la crdb bora geita ni sawa kbs!!Nimesema makala ya Gazeti la mwananchi unayosema CRDB walifungua Tawi chato Kwa kulazimisha na magufuri na mara baada ya kumfariji kwako tawi walilifunga.Je ni kweli chato Kwa sasa hakuna tawi la CRDB na NMB?ukweli ni kwamba sasa hivi banki zote mbili wamepanua matawi yao kuwa makubwa na yakisasa zaidi.Sasa Kwa kuwa Gazeti la mwananchi ya jana linasema CRDB ilifunga tawi lao mara magufuri kumfariji,,na wao kukaa kimya..inaonyesha wanakubalina na mauudhui ya uwongo ya gezeti la mwananchi na hivyo kukubali kuwa CRDB inashirikiana na Gazeti la mwananchi kuchagua magufuri..haijulikani Kwa faida ya nani
Wilaya gani ambayo sio makao makuu ya mkoa imejengwa referral hospital kama ilivyo Chato? Vitu vingi vilivyotakiwa kuwa mkoani vilijengwa Chato kwa upendeleo sana kisingizio kikiwa hicho cha nayo ni Tanzania. Hata Ileje, Nachingwea na Mbulu nazo ziko Tanzania pia. Kuwa mtawala kusifanye ujimegee tu keki ya nchi kwa eneo lakoWivu tu huo unakusumbua Ndugu yangu utazani Chato si Tanzania.
Hivi kwanini ulichagua ID covax? Most likely you are in the medical profession/researcher 🙄 🙄 🙄 🙄 🙄 🙄 🙄 🙄 just joking!Wewe ndo muongo ukujua aina ya tawi ilio fungwa na tawli lililo baki, kwani kabla ya magufuli crdb si ilikua na tawi chato? Wamaendeleza hilo hilo dogo sio main likua chini ya tawi kuu Geita.
Magufuli alikuwa mchafu hivyo haihitaji kuchafuliwaNimesema makala ya Gazeti la mwananchi unayosema CRDB walifungua Tawi chato Kwa kulazimisha na magufuri na mara baada ya kumfariji kwako tawi walilifunga.Je ni kweli chato Kwa sasa hakuna tawi la CRDB na NMB?ukweli ni kwamba sasa hivi banki zote mbili wamepanua matawi yao kuwa makubwa na yakisasa zaidi.Sasa Kwa kuwa Gazeti la mwananchi ya jana linasema CRDB ilifunga tawi lao mara magufuri kumfariji,,na wao kukaa kimya..inaonyesha wanakubalina na mauudhui ya uwongo ya gezeti la mwananchi na hivyo kukubali kuwa CRDB inashirikiana na Gazeti la mwananchi kuchagua magufuri..haijulikani Kwa faida ya nani
Sasa wewe una hasira za nini?Usiwatishe CRDB na gazeti la Mananchi. Enzi za huyo Mungu wako zimekwisha.
Acha atukwnwe na kuchafuliwa mpk akome kuwa dikteta huko aliko.
Wewe unaniuliza kama nani?Sasa wewe una hasira za nini?
Wewe ulitaka niwe nani ndio nikuulize hilo swali?Wewe unaniuliza kama nani?
Acha kunishobokea. Usitafute kiki kupitia mm.Wewe ulitaka niwe nani ndio nikuulize hilo swali?
Natural ni uongonmkubwa kusema CRDB Haina bank chato Kwa SBB waliifunga mara baada ya magufuri kumfariji Kwa SBB waliifunga Kwa kumuogopa magufuri. Uwongo uwongo uwongo.
Kwanza Magufuri ndio nani?Nimesema makala ya Gazeti la mwananchi unayosema CRDB walifungua Tawi chato Kwa kulazimisha na magufuri na mara baada ya kumfariji kwako tawi walilifunga.Je ni kweli chato Kwa sasa hakuna tawi la CRDB na NMB?ukweli ni kwamba sasa hivi banki zote mbili wamepanua matawi yao kuwa makubwa na yakisasa zaidi.Sasa Kwa kuwa Gazeti la mwananchi ya jana linasema CRDB ilifunga tawi lao mara magufuri kumfariji,,na wao kukaa kimya..inaonyesha wanakubalina na mauudhui ya uwongo ya gezeti la mwananchi na hivyo kukubali kuwa CRDB inashirikiana na Gazeti la mwananchi kuchagua magufuri..haijulikani Kwa faida ya nani
Msikilize huyu Chadema mwezako Askofu NiwemugiziUsiwatishe CRDB na gazeti la Mananchi. Enzi za huyo Mungu wako zimekwisha.
Acha atukwnwe na kuchafuliwa mpk akome kuwa dikteta huko aliko.
anataka ajujuKwahiyo unatakaje??
Nimesema makala ya Gazeti la mwananchi unayosema CRDB walifungua Tawi chato Kwa kulazimisha na magufuri na mara baada ya kumfariji kwako tawi walilifunga.Je ni kweli chato Kwa sasa hakuna tawi la CRDB na NMB?ukweli ni kwamba sasa hivi banki zote mbili wamepanua matawi yao kuwa makubwa na yakisasa zaidi.Sasa Kwa kuwa Gazeti la mwananchi ya jana linasema CRDB ilifunga tawi lao mara magufuri kumfariji,,na wao kukaa kimya..inaonyesha wanakubalina na mauudhui ya uwongo ya gezeti la mwananchi na hivyo kukubali kuwa CRDB inashirikiana na Gazeti la mwananchi kuchagua magufuri..haijulikani Kwa faida ya nani
Kwani hujui kwamba inatakiwa iwe mkoa?Wilaya gani ambayo sio makao makuu ya mkoa imejengwa referral hospital kama ilivyo Chato? Vitu vingi vilivyotakiwa kuwa mkoani vilijengwa Chato kwa upendeleo sana kisingizio kikiwa hicho cha nayo ni Tanzania. Hata Ileje, Nachingwea na Mbulu nazo ziko Tanzania pia. Kuwa mtawala kusifanye ujimegee tu keki ya nchi kwa eneo lako