CRDB wamekua wahuni sana siku hizi, halafu huwa hawatoi taarifa kwa wateja ontime,Tangu asubuhi leo huduma za CRDB kuanzia ATM, App mpaka bank hakuna watu wameshindwa kufanya transfer kutokana na upuuzi wenu mnadai network hakuna hii inatuhusu nini wateja?
Hivi mnajua ni kiasi gani mpaka sasa mmeingiza watu hasara kwa kukosa kufanya transfer mbalimbali? Mpaka sasa saa 7 mchana hakuna huduma upuuzi gani huu?
Hivi hawa CRDB si ndiyo kama wiki moja hivi iliyopita watu walilalamika sana kwamba hela zilikuwa zikikatwa kwenye akaunti zao bila taarifa na baada ya malalamiko ya wateja pesa zikarudishwa? Kutakuwa na tatizo kubwa huko na wateja wake kuweni makini.
Dah leo ni shida tuTangu asubuhi leo huduma za CRDB kuanzia ATM, App mpaka bank hakuna watu wameshindwa kufanya transfer kutokana na upuuzi wenu mnadai network hakuna hii inatuhusu nini wateja?
Hivi mnajua ni kiasi gani mpaka sasa mmeingiza watu hasara kwa kukosa kufanya transfer mbalimbali? Mpaka sasa saa 7 mchana hakuna huduma upuuzi gani huu?
Huku niliko ulirudi karibia saa kumi hivi ila kwenye cheque ndiyo haikukubali, ila watu walieka na kutoa kawaidaBado