CRDB wanavyotapeli Wanafunzi wa Vyuo Vikuu bila wao wenyewe kufahamu

Kwa kadi zenye nembo ya visa siku hiz zinakuwa protected na verified by visa,ili ufanye online payment ni lazima mtu awe na card number,cvv na exp date ,number ya simu uliyo sajilia wakati unapata card,namba ni kwa ajili ya kupata OTP (one time password) (sometimes sites zingine inakatwa juu kwa juu bila kupata OTP,)hii inakuwa generated na visa,kwa hiyo kama mtu hana namba yako ni vigumu kuitumia online kwa baadhi ya sites unless kama ananunua BTC hii hutumiwi OTP .ila pia ikitumiwa kwa paypal hupati OTP,jitahidi kutunza siri za kadi yako.
 
Kwa sisi kubadilisha card ni process ndefu sana.
Maana tayari tumeshajiunga mpaka na mfumo wa alama za vidole na hizi accounts!

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Card sio account number, ukibadilisha card bado utakuwa kwenye DDiS, utatakiwa kuseti Simbanking ambapo unaenda kwenye tawi la karibu au lililoandikishwa kwa huduma za usajili wa Fingerprint(DDiS).
Account number inabaki ileile.
 
Hii inakuwaje bila ya password.mbona Kuna sehemu huwa wanakuomba paswedi ili waruhusu muamala mkuu.ila pia hii kitu nishawahi kuisikia
 
Shida sio CRDB
Shida ni hio iTune sijui Visa POS?
Unachanja kadi wapi for that iTune thing?
 
Mambo ya kuacha acha kadi ya bank au kuonyesha onyesha huenda kuna mtu alimark baadhi ya taarifa za kadi then akawa anatumbua tu.

Wewe mwenyewe umeshindwa kulinda kadi yako ya bank usitafute mchawi.
 
Hii inakuwaje bila ya password.mbona Kuna sehemu huwa wanakuomba paswedi ili waruhusu muamala mkuu.ila pia hii kitu nishawahi kuisikia
Sio website zote inaombaga password, kuna nyingine inaenda tuu.
 
Mkuu, subscription inaweza kufanyika hata kama sijatoa taarifa zangu za bank? Na hata hiyo Application ya iTunes sina kwenye simu yangu, hilo linawezekana vipi?

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Kuna mtu anatumbua kadi yako, Aliyekuambia kufanya POS mpaka mtu awe na password yako ya bank nani?
 
Akisoma hapa atakuelewa
 
basi inawezekana kuna mtu kafanya kutimia taarifa zako za benki fuatilia wala sio CRDB hao

Inawezekana kabisa ana mtu alitumia kadi yake kujisajiri kwa online purchases maana ile hai hitaji namba siri za ya majina,kadi namba na expiration yake!

Cheki na jamaa zako unao share nao room au mchuchu kama mmoja wapo ana iphone huyo ndio anatumia kadi yako.
 
iko wazi ila kiongozi hii yeye haitaki
 
CRDB no waizi na wanaiba sana pesa za wanafunzi me walinifanyia michezo yao yakipumbavu kilichobaki boom lilikia likiingia naenda kwa wakala natoa ela zote napeleka nmb
 
Hili suala ni hatari sana. Ndiyo maana mimi maina account na ninayofanyia malipo ni tofauti. Haina usalama kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…