CRDB wanazingua mno, inakuwaje wanachelewesha kumpatia mtu mkopo licha ya kukamilisha kila kitu.

CRDB wanazingua mno, inakuwaje wanachelewesha kumpatia mtu mkopo licha ya kukamilisha kila kitu.

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Yani wiki ya 3 hakuna mpunga wowote, ukiwauliza ni stori tu wanakupatia

Sasa ni kwamba hawa watu hawana liquidity nzuri au nini, basi hata kama ni wanafanya analysis juu ya mkopaji haiwezekani ikawa muda wote huu.

Imekuwa benki ya kiduanzi, simu hawapokei,

Nyie wenzangu mnachomeshwaga mahindi hivi? Na ni kwa muda gani ?
 
Yani wiki ya 3 hakuna mpunga wowote, ukiwauliza ni stori tu wanakupatia

Sasa ni kwamba hawa watu hawana liquidity nzuri au nini, basi hata kama ni wanafanya analysis juu ya mkopaji haiwezekani ikawa muda wote huu.

Imekuwa benki ya kiduanzi, simu hawapokei,

Nyie wenzangu mnachomeshwaga mahindi hivi? Na ni kwa muda gani ?
ujue wana mashaka na wewe, kuna kitu wanachunguza
 
Yani wiki ya 3 hakuna mpunga wowote, ukiwauliza ni stori tu wanakupatia

Sasa ni kwamba hawa watu hawana liquidity nzuri au nini, basi hata kama ni wanafanya analysis juu ya mkopaji haiwezekani ikawa muda wote huu.

Imekuwa benki ya kiduanzi, simu hawapokei,

Nyie wenzangu mnachomeshwaga mahindi hivi? Na ni kwa muda gani ?
Kwani we ni mualimu? Unajua CRDB huzarao sana waomba mikopo wakiwa ni waalimu, wenyewe wanaona kama wanawapa msaada tu.
 
Yani wiki ya 3 hakuna mpunga wowote, ukiwauliza ni stori tu wanakupatia

Sasa ni kwamba hawa watu hawana liquidity nzuri au nini, basi hata kama ni wanafanya analysis juu ya mkopaji haiwezekani ikawa muda wote huu.

Imekuwa benki ya kiduanzi, simu hawapokei,

Nyie wenzangu mnachomeshwaga mahindi hivi? Na ni kwa muda gani ?
Sio wewe tu mkuu, hata mimi imefika muda naanza kushawishika kutafuta benki nyingine sasa.
 
Yani wiki ya 3 hakuna mpunga wowote, ukiwauliza ni stori tu wanakupatia

Sasa ni kwamba hawa watu hawana liquidity nzuri au nini, basi hata kama ni wanafanya analysis juu ya mkopaji haiwezekani ikawa muda wote huu.

Imekuwa benki ya kiduanzi, simu hawapokei,

Nyie wenzangu mnachomeshwaga mahindi hivi? Na ni kwa muda gani ?
Afisa mkopo wako anapenda rushwa,mtangazie dau uone jinsi mkopo wako utakavyoupata faster!!
 
Back
Top Bottom