maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,311
- 15,640
I'm sure wanakuja na kitu ya maan kwa wafanyabiashara. TusubiriVp sisi wafanyabiashara?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I'm sure wanakuja na kitu ya maan kwa wafanyabiashara. TusubiriVp sisi wafanyabiashara?
Bank zinapata faida ya kuwakopesha wafanyakazi, kwa sababu wengi wafanyakazi wanakopa kwa ajili ya kukipia ADA za shule, kodi za nyumba na vitu vidogo vidogo kama kununua magari haya ya kuanzia 13.5 Million na kushuka kwa iyo bado Bank wapo katika sehemu muhimu ya kupata faida tuuuHizo asilimia ni lugha za kibiashara nenda kwa tawi then omba wakupe mkopo wa 10M for 84 month's then kaa chini ucalculate utarudisha kiasi gan baada ya huo mda... kama sikosea haipungui 22M!
So usikurupuke eti riba imeshuka na mda umeongezwa hiyo ni silent killing kwa wafanyakazi....Ila anyway kopa kwa lengo maalumu lakini mi nishauri wafanyakazi msikope kabisa kama fashion,mikopo ni mizuri kwa wafanyabiashara!
Hongera ziende kwa CRDB na uongozi wake kwa kujali wateja. JPM Anahusikaje hapa?Hongera zimuendee JPM
Habari!
Leo nimemsikia Dr. Charles Kimei katangaza neema kwa warumishi wa umma na sekta binafsi ila katika yote kasema hits point kama zifuatazo
1. Muda wa marejesho imeongezeka toka miaka 5 hadi miaka 7 yaani miezi 84
2. Mteja anaweza kukopa hadi mil 100
3. Mkopo ni ndani ya masaa 24
4. Wananunua madeni ya taasisi nyingine za fedha
5. Wakopaji wote watapewa credit card ambazo wataweza kuchukua fedha bila riba yoyote ndani ya mwezi mzima.
6. Riba ni 16% Reducing rate ni sawa na 1.3% kwa mwezi na flat ni sawa na 8.88%
My take:
Benki zingine nao waige japo nawao wapunguze riba
Fuatilia mijadala ya humu jamvini ndio utanielewa!!Hongera ziende kwa CRDB na uongozi wake kwa kujali wateja. JPM Anahusikaje hapa?
Issue ya hapa ni kupungua kwa ribawatu mkiongezewa muda wa kulipa deni mnafurahi ehhh!!
yaani jinsi unavyochukua muda mrefu kulipa deni ndivyo unalipia interest kubwa zaidi..
Mijadala naifuatilia everyday.. and kipaji chako cha kumbukumbu doesnt make you special.Fuatilia mijadala ya humu jamvini ndio utanielewa!!
mimi nina kipaji cha kumbukumbu!!
Ungefuatilia mijadala humu jamvini ungeelewa kwa nini mabenki yanashusha Riba ...sio CRDB pekee.Mijadala naifuatilia everyday.. and kipaji chako cha kumbukumbu doesnt make you special.
Kilicho amuliwa na CRDB , ni uongozi wa CRDB.. wameamua wao kwa faida ya wateja wao.. ww unalamba viatu vya jpm.. nigga grow your a** up
Huyo mkewe alipata mimba akampa hongera JPM.Jpm anahusika vipi na crdb walamba miguu bana
Kaongeza riba kijanja kwa kukuongezea kipindi cha kurudisha mkopoAfadhali vilio vya Riba vimesikika waendelee kushusha zaidi na zaidi..
PoleHabari!
Leo nimemsikia Dr. Charles Kimei katangaza neema kwa warumishi wa umma na sekta binafsi ila katika yote kasema hits point kama zifuatazo
1. Muda wa marejesho imeongezeka toka miaka 5 hadi miaka 7 yaani miezi 84
2. Mteja anaweza kukopa hadi mil 100
3. Mkopo ni ndani ya masaa 24
4. Wananunua madeni ya taasisi nyingine za fedha
5. Wakopaji wote watapewa credit card ambazo wataweza kuchukua fedha bila riba yoyote ndani ya mwezi mzima.
6. Riba ni 16% Reducing rate ni sawa na 1.3% kwa mwezi na flat ni sawa na 8.88%
My take:
Benki zingine nao waige japo nawao wapunguze riba
Unayekopa unaweza kupunguza ukafanya miaka miwili sio lazima ufuate miaka saba yaoKaongeza riba kijanja kwa kukuongezea kipindi cha kurudisha mkopo