CRDB wazidi kushusha riba za mikopo; Dr. Kimei asema watumishi washindwe wenyewe

CRDB wazidi kushusha riba za mikopo; Dr. Kimei asema watumishi washindwe wenyewe

Mzee Johnson Paul Mensah akisikia hivo anacheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeka.anafurahi sana watu kukazwa na vyuma
 
wakiendelea na utaratibu wa kudai pesa ya mkataba wa mkopo na kukata mkopo mwezi mmoja kisa umekopa kabla ya tar 10 hawataniona!
 
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 eti mzee Johnson Paul Mensah
 
Hizi habari njema za mabenki kushusha riba sijazielewa kabisa. Mikataba ya ukopeshaji kwa mabenki inatoa exclusive right kwa benki kupandisha riba wakati wowote, tena bila taarifa wala makubaliano na mkopaji. Imewahi kunitokea CRDB wakati mmoja huko nyuma; walinikopesha kwa riba ya 18% , wakati nikiendelea kulipa mkopo, wakanipandishia riba kimyakimya hadi 19%.

Vv
 
niliomba mkopo baada ya hatua zote naambiwa itabidi nikatwe kwenye mkopo makato ya mwezi mmoja kwakuwa nimekopa kabla ya tar 10! Kwamba nitarudishiwa baada ya mkopo kuisha. Nikaona ni ujinga, nikajikata nmb!
 
Bado riba kubwa sana sana. Nimeenda tu CRDB kucheki as if nataka kuchukua 60 mil sbb ni mteja wao.. Cha ajabu at the end of 7 yrs utalipa 102 mil.. That is 42 mil as a profit kwa benki. .

Yaani 102 - 60 mil = 42 mil in 7yrs kwa riba mpya ya 17%

So in % ( 42÷60 ) × 100 = 70%

So total at the end of 7yrs unalipa 70% ya kile ulichokopa..

Mm niseme ukweli sijaona kabisa faida ya hii riba iko kwa maneno tu ya promo but mathematically iko juu sana sana sana sanaaaaaaaaa... Sbb at the end of 7yrs kama utalipa 70% ya kile ulichochukua ni kubwa sana sana sanaaa.. God help us, plz God wht wrong have we done to you.? God help plz.
 
Back
Top Bottom