CRDB yawa ya 8 kwa kutoa huduma Tanzania!

CRDB is a conduit to a few individuals personal glory

check who gets guarantees fromCRDB
 
Sijawahi Kujaribu Banks Nyinginezo Lakini kwa sisi watu tunaosafiri Mara kwa Mara .. VISA CARD ZA CRDB zinasaidia saaaaaaaaaaana!!! NAWAPA HONGERA KWA HILO..:becky:
 

Ukikutana na nyodo za Lucy Kimei utatamani kufunga account kabisaaaaa. Lucy anaweza kuongea na simu kwa dakika hata 15 wakati kuna mteja kwenye desk lake! Achia mabali majibu yake ya kunya na kubetulia wateja midomo. CRDB UDSM customer care ni sifuri.....
 
kaka usinikumbushe, nilimaliza ud 2008, katika wafanyakazi wa CRDB Hapo, udsm mwenye nyodo, ni huyo lucy, yaani hana customer care hata kidogo, ni jeuri sanaaaaaaaaaaaaaa
 
kaka usinikumbushe, nilimaliza ud 2008, katika wafanyakazi wa CRDB Hapo, udsm mwenye nyodo, ni huyo lucy, yaani hana customer care hata kidogo, ni jeuri sanaaaaaaaaaaaaaa

Ana haki zote benki si ni ya kwake "Kimei" nani atamuuliza bosi kuhusu utendaji wake mbovu? Labda bodi ya wakurugenzi na yeye anawadhibiti kwa vibahasha vinono kabla ya kila kikao, watamkemea?
 
Wajameni mliojisajili naomba Masada wa kujua namna ya kujisajili. Maana mi naishia pale penye tarehe ya ukomo wa matumizi ya kadi. Kadi yangu imeandikwa VALID THRU 12/14 sasa nijazeje hapa?
 
Tanzania hamna huduma nzuri kwa asilimia kubwa ni makampuni machache yanayotoa huduma nzuri na miongoni ya hayo ni yale yenye wateja wachache.
 
CRDB is a conduit to a few individuals personal glory

check who gets guarantees fromCRDB

duh, mpaka CRDB wakupe mkopo lazima upungue kilo kadhaa
 
Kwa kweli wanatakiwa wajirekebishe!!Uchache wa wafanyakazi unaboa sana!! Mfano Mapato Branch,Arusha.Counter ziko 4,ila utakuta 2 ndio zinafanya kazi!Ukienda hapo ujiandae kupoteza zaidi ya lisaa limoja pale!!!
 
manufaa ya mabank yote ya Tanzania kwa mtanzania wa kawaida ni kuweka na kutoa fedha bank, na ndiyo maana haya mabenki mengi hujiita commercial banks

deposits acrued at the bank is not eguivalent to gains a customer receive, very rediculous

testimonial: niliwahi kutuma Telegraphic Money Transfer (TT) kwenda japan in August 2011 kutumia CRDB Bank PLC in which i am their client, fee ya TT ni US $ 50 per transaction, baada ya hapo unatakiwa kupewa transaction advice slip inayoonyesha TT ilivyo kuwa processed to the beneficiary including intermediary bank, kawaida haitoki kwa wakati siku hiyo hiyo, basi nikaambiwa niende siku yoyote kuchukua, kilichotokea kwa vile sikua naihitaji recently nikaenda kuichukua after one month kwani nilyemtumia TT (beneficiary) alishanitumia email kuwa amepata within two days, basi nilipokwenda CRDB kuchukua TT advice slip nikaambiwa nilipie TZS 15,000 eti ni search fee, nikawaambia wapi terms and conditions once i processed the TT , jibu likawa hamna mwisho wa siku nikapewa advice slip yangu which was my lawful right

it is discouraging
 

Tupatie top tuone performance ya banks
 
Sijawahi Kujaribu Banks Nyinginezo Lakini kwa sisi watu tunaosafiri Mara kwa Mara .. VISA CARD ZA CRDB zinasaidia saaaaaaaaaaana!!! NAWAPA HONGERA KWA HILO..:becky:

Charge zake vp?
 
Tupatie benki au kampuni ya kwanza hadi ya saba ili tujadili,pia elezea hiyo ranking imeangalia vigezo gani, vinginevyo uache majungu.
 
Sijapata nafasi tu, actually nataka kufunga account ya crdb nifungue bank nyingine. Always foleni ni ndefu bank, kuna dirisha za kuhudumia wateja zisizo na wahudumu. kero kubwa zaidi usithubutu kujidai unalipa bill ya hotel kwa kuchanja kadi labda ulipe kabla kama mr bean! kujibiwa 'we can reach your banker at this time' ni jambo la kawaida kabisa! Hukawii kuhang hotelini for a few more hours ukingojelea 'try again later' ifike, manake wasipokubali simu ya tochi na handbag kama rehani,mweh!
 
JETHRO kizungu chako Mmmmh!!!

Ni kweli kina utata bora angenyoosha kwa kiswahili maana hata mie kanichanganya hapo kwy namba 4, tailor??? Huyo fundi cherehani anafanya nini tena humo CRDB? au ana maanisha teller??!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…