KUMBE MALAIKA WANA AKILI KULIKO ALLAH WA ISLAM!
Malaika Watabiri Mwenendo wa Binadamu kabla ya kuumbwa. Allah atumia hila kuficha udhaifu wake.
Katika somo letu la leo, tutajifunza kuwa Malaika wa Allah wana Akili na ufahamu wa mambo ya baadae kuliko Allah wa Islam.
Quran Surah 2:
30. Na pale Mola wako Mlezi alipo waambia Malaika: Mimi nitamweka katika ardhi Khalifa (mfwatizi), wakasema: Utaweka humo atakaye fanya uharibifu humo na kumwaga damu, hali sisi tunakutakasa kwa sifa zako na tunakutaja kwa utakatifu wako? Akasema: Hakika Mimi nayajua msiyo yajua. ***
KATIKA AYA YA 30. Tunasoma kuwa Malaika wanampa darsah Allah, jinsi gani Mtu atakuwa kabla ya uumbaji wake. Malaika wameonyesha upeo mkubwa kwa kufahamu maisha ya baada ya Adam/binadamu kabla ya hata kuumbwa.
31. Na akamfundisha Adam majina ya vitu vyote, kisha akaviweka mbele ya Malaika, na akasema: Niambieni majina ya hivi ikiwa mnasema kweli. ***
Kwenye aya 31 hapo juu, tunasoma kuwa Allah anamfundisha kwa siri Adam ili aweze kuwazima mdomo Malaika. Kitendo cha Allah kumfudisha Adam ili kushindana na Malaika haikuwa haki kwani Malaika walimpa changamoto Allah, Je, Allah ni mwenye ufahamu wa yote?
32. Wakasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hatuna ujuzi isipokuwa kwa uliyo tufunza Wewe. Hakika Wewe ndiye Mjuzi Mwenye hikima. ***
Je, Allah alipo tumia udanganyifu na uongo ili kujitetea mwenyewe dhidi ya mashtaka kwa Adamu kama yalivyo letwa na Malaika (mashtaka ambayo aligeuka kuwa ni sahihi) ni sahihi?
33. Akasema: Ewe Adam! Waambie majina yake. Basi alipo waambia majina yake alisema: Sikukwambieni kwamba Mimi ninajua siri za mbinguni na za duniani, na ninayajua mnayo yadhihirisha na mliyo kuwa mnayaficha? ***
34. Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam, wakamsujudia wote isipo kuwa Iblis, alikataa na akajivuna na akawa katika makafiri. ***
35. Na tulisema: Ewe Adam! Kaa wewe na mkeo katika Bustani, na kuleni humo maridhawa popote mpendapo, lakini msiukaribie mti huu tu; mkawa katika wale walio dhulumu. ***
36. Lakini Shet'ani aliwatelezesha hao wawili na akawatoa katika waliyo kuwamo, na tukasema: Shukeni, nanyi ni maadui nyinyi kwa nyinyi. Katika ardhi yatakuwa makaazi yenu na starehe kwa muda. ***
37. Kisha Adam akapokea maneno kwa Mola wake Mlezi, na Mola wake Mlezi alimkubalia toba yake; hakika Yeye ndiye Mwingi wa kukubali toba na Mwenye kurehemu. ***
38. Tukasema: Shukeni nyote; na kama ukikufikieni uwongofu utokao kwangu, basi watakao fuata uwongofu wangu huo haitakuwa khofu juu yao wala hawatahuzunika. ***
Katika vifungu hapo juu, tumesoma kuwa Malaika wanaufahamu kama Mungu (Omniscient) na ua wa Kimungu. Malaika waliweza kufahamu maisha ya Mwandamu kabla ya hata kuumbwa. Jambo ambalo Allah wa Islam hakulifahamu na hakuwa na ufahamu huo.
Kwanza, jinsi gani Malaika walijua hali ya mtu itakuwa kabla ya uumbaji wake? Malaika walifahamuje kabla ya uumbaji kuwa, binadamu watakuwa na vurugu? Nani aliwaambia? Nakala haisemi chochote juu ya Allah kuwapa kipande hiki cha habari. Je, Malaika anayajua yote kama Mungu (Omniscient)?
Pili, Mwenyezi Mungu kwa siri anafundisha Adam majina yasiyojulikana ili kuwanyamazisha Malaika kwa kulalamika dhidi ya mtu. Je, hii ni haki? Kwa nini Allah anatumia hila na hujmah, ili kuwafanya Malaika waonekane hawana ufahamu?
Je, Allah alipo tumia udanganyifu na uongo ili kujitetea mwenyewe dhidi ya mashtaka kwa Adamu kama yalivyo letwa na Malaika (mashtaka ambayo aligeuka kuwa ni sahihi) ni sahihi?
Je, si dhahiri kwamba Adamu angekuwa na ufahamu wakawaida kama Malaika kwasababu Allah alikuwa bado hajawafundisha kuhusu uumbaji wake?
Kwanini Allah wa Islam anatumia udanganyifu ili kuficha udhaifu wake katika uumbaji?
Ndugu zanguni, leo tumejifunza kuwa Allah si msema ukweli na Allah hana ufahamu wa mambo yote kama alivyo Yehova ambaye ni Mungu aliye semwa ndani ya Biblia.
Kama unataka kufahamu kweli, basi nakusihi umpokee Yesu aliye hai, yeye ndie Njia, Kweli na Uzima. Katika Yesu, hakuna udanganyifu wa Allah. Mpokee leo ili upate uzima wa milele.
Katika huduma yake.
Max Shimba
For Max Shimba Ministries
Copyright © Max Shimba Ministries 2013
[h=1]The True Religion: God and Creation[/h] Since the total submission of ones will to God represents the essence of worship, the basic message of Gods divine religion, Islam, is the worship of God alone. It also requires the avoidance of worship directed to any person, place or thing other than God. Since everything other than God, the creator of all the things, is Gods creation, it may be said that Islam, in essence, calls man away from worship of creation and invites him to worship only his Creator. He is the only one deserving of mans worship, because it is only by His will that prayers are answered.
Accordingly, if a man prays to a tree and his prayers are answered, it is not the tree which answers his prayers, but God, who allows the circumstances prayed for to take place. One might say, That is obvious. However, to tree-worshippers, it might not be so. Similarly, prayers to Jesus, Buddha, or Krishna or Saint Christopher, or Saint Jude or even to Muhammad are not answered by them, but are answered by God. Jesus did not tell his followers to worship him, but to worship God, as the Quran states:
And behold! God will say: O Jesus, the son of Mary! Did you say to men, worship me and my mother as gods besides God? He will say: Glory to you, I could never say what I had no right (to say)... (Quran 5:116)
Nor did Jesus worship himself when he worshipped, but rather he worshipped God. And Jesus was reported in the Gospels to have said:
It is written: Worship the Lord your God and serve Him only. (Luke 4:8)
This basic principle is contained in the opening chapter of the Quran, known as Surah al--Faatihah, verse 4:
You alone do we worship and from You alone do we seek help. (Quran 1:5)
Elsewhere, in the final book of revelation, the Quran, God also said:
And you Lord says: Call on Me and I will answer your (prayer). (Quran 40:60)
It is worth emphasizing that the basic message of Islam (namely, the worship of God alone) also proclaims that God and His creation are distinctly different entities. God is neither equal to His creation nor a part of it, nor is His creation equal to Him or a part of Him.
This might seem obvious, but mans worship of creation instead of the Creator is to a large degree based on ignorance, or neglect, of this concept. It is the belief that the essence of God is everywhere in His creation or that His divine being is or was present in some parts of His creation, which has provided justification for the worship of Gods creation and naming it the worship of God. However, the message of Islam, as brought by the prophets of God, is to worship only God and to avoid the worship of His creation either directly or indirectly.
In the Quran God clearly states:
For we assuredly sent amongst every people a prophet, with the command worship God and avoid false Gods
(Quran 16:36)
When idol worshippers are questioned as to why they bow down to idols created by men, the invariable reply is that they are not actually worshipping the stone image, but God, who is present within it. They claim that the stone idol is only a focal point for Gods essence and is not in itself God! One who has accepted the concept of God being present in any way within His creation will be obliged to accept this argument for idolatry. Whereas, one who understands the basic message of Islam and its implications would never agree to idolatry no matter how it is rationalized.
Those who have claimed divinity for themselves down through the ages have often based their claims on the mistaken belief that God is present in man. Taking one step further, they claim that God is more present in them than in the rest of us, and that other humans should therefore submit to them and worship them as God in person or as God concentrated within their persons. Similarly, those who have asserted the godhood of others after their deaths have found fertile ground among those who accept the false belief of Gods presence in man.
It should be abundantly clear by now that one who has grasped the basic message of Islam and its implications could never agree to worship another human being under any circumstance. Gods religion, in essence, is a clear call to the worship of the Creator and the rejection of creation-worship in any form. This is the meaning of the motto of Islam:
Laa Ilaaha illaa Allah (There is no God but God)
The sincere declaration of this phrase and the acceptance of prophethood automatically bring one within the fold of Islam, and sincere belief in it guarantees one Paradise. Thus, the final Prophet of Islam, may the mercy and blessings of God be upon him
[1] is reported to have said:
Anyone who says: There is no God but God and dies holding that (belief) will enter paradise.
Belief in this declaration of faith requires that one submit his/her will to God in the way taught by the prophets of God. It also requires the believer to give up the worship of false gods.