Ni tradecarview pekee ndiyo hawauzi magari, beforward wanauza magari na ndiyo kampuni inayoongoza kuuza magari used africa kwa sasa, nao pia unaweza kuwapata kwenye website yao Japanese Used Cars | BE FORWARD, ni kampuni kama sbt, na hata sbt nao pia wanauzia tradecarview, autotrader na kwingineko. Ni chaguo la mnunuzi tu, unakoona gari zuri kwa bei umeipenda unanunua kokote.
Thankx kwa kwa kunielesha juu ya hili.