Goat wa insta.Half Man,Half Robot
GOAT
Kwani tunazungumzia nini apaGoat wa insta.
Nasikia kwa post moja analipwa bilioni 7 kweli mwenye nacho huongezewa
Bilioni saba ya kibongo au USD?Nasikia kwa post moja analipwa bilioni 7 kweli mwenye nacho huongezewa
BongoBilioni saba ya kibongo au USD?
Ana nyota kali kwelihuyu mwamba katika sanaa anakula pesa chafu kuzidi sanaaa zozote duniani,, anaubeba mpira juu uonekane una pesa zaidi kuliko sanaa zote duniani kiufupi anatuonesha miguu yake ndo pesa zake,, hapa ata kina messi wameshasahaulika km walishinda juzi kombe la dunia.
kuna lile shirika la siri flan litajitokeza et mafanikio yake yameletwa na wao,,Ana nyota kali kweli
Haters hawakosekanikuna lile shirika la siri flan litajitokeza et mafanikio yake yameletwa na wao,,
Aoe sasaView attachment 2525272
Mshambuliaji wa klabu ya Al Nassr na timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo amefikisha wafuasi (followers) Milioni 550+ kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram.
Ronaldo ndiyo binadamu wa kwanza kuwa na wafuasi wengi zaidi katika mtandao huo wa Instagram Duniani
Aoe sasa