Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Hizi story sijui mnaziokotaga wapNasikia kwa post moja analipwa bilioni 7 kweli mwenye nacho huongezewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi story sijui mnaziokotaga wapNasikia kwa post moja analipwa bilioni 7 kweli mwenye nacho huongezewa
He is very brightAkioa ni kosa kubwa sana kwake,jamaa ametokea familia ya kimaskini sana ambapo hadi chakula walikuwa wanaenda kuomba kwenye mgahawa wa MacCdonald ya jirani na nyumbani kwao mda mwingine, Amestrugle sana kwenye mpira kumaintain Kiwango change ili aingize pesa nyingi kwa ajili ya familia yake na watoto wake....Kwa wazungu anajua talaka ni nje nje huyo Georgina atadai talaka ili tu wagawane mali sasa hiyo kitu ndio Cr7 hawezi kufanya kosa hilo
Hizi story sijui mnaziokotaga wap
Kama ni bilioni saba za kibongo ni sawa. Ila kama ni USD basi ni uongo!Hizi story sijui mnaziokotaga wap
Kama ni bilioni saba za kibongo ni sawa. Ila kama ni USD basi ni uongo!
Hizi story sijui mnaziokotaga wap
Kama ni bilioni saba za kibongo ni sawa. Ila kama ni USD basi ni uongo!