Cristiano Ronaldo Asilimu na sababu ni ya kushangaza

Cristiano Ronaldo Asilimu na sababu ni ya kushangaza

Itakuwa habari ya uongo umeleta kuhamisha mjadala wa vipigo wanavyopata kobazi wa Gaza, Lebanon, Iran na Yemen.

Na hata kama ni kweli basi lilitarajiwa na wengi tangu awali (kwamba kuenda kwake kucheza mpira uarabuni basi atashawishiwa na kulubuniwa hadi aslim mjipatie faraja kwa kuslimisha 'mkristo jina' mmoja maarufu ulimwenguni).

Poor kobazi
Hujakiona chanzo? Kifatilie.
 
Cristiano Ronaldo alisilimu na sababu ni ya kushangaza Hadithi Utangulizi: Hakuna mtu angetarajia kwamba mmoja wa wachezaji wakubwa wa mpira wa miguu katika historia, Cristiano Ronaldo, siku moja angesimama kwenye mimbari ya msikiti, akizungukwa na hadhira ya waumini, wakati akisoma Quran Tukufu kwa sauti ya utulivu na ya kupendeza. Ilikuwa ni wakati ambao ulipita mipaka ya michezo, na utkuwa ni gumzo la ulimwengu wote. Cristiano alifikaje mahali hapa? Ni nini kilichomfanya akubali Uislam?

Ilikuwa hadithi ya mabadiliko ya kiroho ambayo yalizidi matarajio yote, na kufungua mlango wa safari iliyojaa changamoto na kutafuta amani ya ndani. video:


View: https://youtu.be/mDPiY--nDRM?si=POk1ZTYaqb-1pVTx

Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.

Umekimbia Gaza na Lebanon umekuja kuibukia huku?
 
Usikute na mimi ningekwepa umande ningekuwa napost habari fake kama hizi bila kujua.
 
Back
Top Bottom