Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujakiona chanzo? Kifatilie.Itakuwa habari ya uongo umeleta kuhamisha mjadala wa vipigo wanavyopata kobazi wa Gaza, Lebanon, Iran na Yemen.
Na hata kama ni kweli basi lilitarajiwa na wengi tangu awali (kwamba kuenda kwake kucheza mpira uarabuni basi atashawishiwa na kulubuniwa hadi aslim mjipatie faraja kwa kuslimisha 'mkristo jina' mmoja maarufu ulimwenguni).
Poor kobazi
Mpaka picha unnaziona, nikuonhgezee? Jionee:Faiza buana....
Ukongwe wote huo unashindwa kujua hiyo si habari ya kweli!!
Mpaka picha unnaziona, nikuonhgezee? Jionee:
View: https://youtu.be/hLmyEexqOkM?si=eroIurPVnk7VDDWX
Kawacha siku nyuingi ku0onesha alama ya msalaba akifunga.
Allahu Akbatr.
Wanaelewa basi,wakichezeshwa segere wanajaa kati,🤣🤣🤣Anataka kuongeza viewers na fan base tu huyo
Wazeee hua hamujui right source za kutumia yutyubu😂😂
Unajuwa kuwa "mjomba ni mama?"
Na huyu mjombake na yeye kafata mkumbo:
View: https://youtu.be/g8-l3WkV9vI?si=EOy6H3fM8GESQzVQ
Allahu Akbar.
Dear nataka uwe mke wangu wa pili!Ukisoma huelewi, basi hata picha huoni?
Yap ni fakeFaiza buana....
Ukongwe wote huo unashindwa kujua hiyo si habari ya kweli!!
Ukishangaa ya Ronaldo, ona hii:Bibi umekaa kihisia sana 😆😆
Cristiano Ronaldo alisilimu na sababu ni ya kushangaza Hadithi Utangulizi: Hakuna mtu angetarajia kwamba mmoja wa wachezaji wakubwa wa mpira wa miguu katika historia, Cristiano Ronaldo, siku moja angesimama kwenye mimbari ya msikiti, akizungukwa na hadhira ya waumini, wakati akisoma Quran Tukufu kwa sauti ya utulivu na ya kupendeza. Ilikuwa ni wakati ambao ulipita mipaka ya michezo, na utkuwa ni gumzo la ulimwengu wote. Cristiano alifikaje mahali hapa? Ni nini kilichomfanya akubali Uislam?
Ilikuwa hadithi ya mabadiliko ya kiroho ambayo yalizidi matarajio yote, na kufungua mlango wa safari iliyojaa changamoto na kutafuta amani ya ndani. video:
View: https://youtu.be/mDPiY--nDRM?si=POk1ZTYaqb-1pVTx
Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.
Boko HaramBibi na wewe shule ulienda kusomea ujinga