Cristiano Ronaldo Asilimu na sababu ni ya kushangaza

Cristiano Ronaldo Asilimu na sababu ni ya kushangaza

Cristiano Ronaldo alisilimu na sababu ni ya kushangaza Hadithi Utangulizi: Hakuna mtu angetarajia kwamba mmoja wa wachezaji wakubwa wa mpira wa miguu katika historia, Cristiano Ronaldo, siku moja angesimama kwenye mimbari ya msikiti, akizungukwa na hadhira ya waumini, wakati akisoma Quran Tukufu kwa sauti ya utulivu na ya kupendeza. Ilikuwa ni wakati ambao ulipita mipaka ya michezo, na utkuwa ni gumzo la ulimwengu wote. Cristiano alifikaje mahali hapa? Ni nini kilichomfanya akubali Uislam?

Ilikuwa hadithi ya mabadiliko ya kiroho ambayo yalizidi matarajio yote, na kufungua mlango wa safari iliyojaa changamoto na kutafuta amani ya ndani. video:


View: https://youtu.be/mDPiY--nDRM?si=POk1ZTYaqb-1pVTx

Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.

Waislamu wamemununua kwa mabilioni ya dola kama mwenzie bondia Mohamed Ali awe muislamu

Wakristo huwa hatununui Waislamu wawe Wakristo na hatuna huo mpango na hauji kutokea. Kwa ahadi za fedha
 
Hichi ndio unachoonaa inafaa kutuambia

Badala ya kuonyesha mahaba ulizonazo kwa akina Mkojani wenzako wanaoomboleza vifo vinavyoletwa na Taifa takatifuu ,Huna maana yoyote

Hiki kinawasaidiaje wakojani wenzanko huko Lebanoni ,Yemen na Pakistan
Wewe lini utsajifundisha Qur'an?

Mapadri wenye akili timamu washaanza kusoma Qur'an makanisani. Jionee👇🏾


View: https://vm.tiktok.com/ZMh6TyKKb/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok Lite - Save Data - Apps on Google Play
 
Waislamu wamemununua kwa mabilioni ya dola kama mwenzie bondia Mohamed Ali awe muislamu

Wakristo huwa hatununui Waislamu wawe Wakristo na hatuna huo mpango na hauji kutokea. Kwa ahadi za fedha
Ngoma bila kulewa tutaichezaje? Pekechu pekechu pekechu.
 
Cristiano Ronaldo alisilimu na sababu ni ya kushangaza Hadithi Utangulizi: Hakuna mtu angetarajia kwamba mmoja wa wachezaji wakubwa wa mpira wa miguu katika historia, Cristiano Ronaldo, siku moja angesimama kwenye mimbari ya msikiti, akizungukwa na hadhira ya waumini, wakati akisoma Quran Tukufu kwa sauti ya utulivu na ya kupendeza. Ilikuwa ni wakati ambao ulipita mipaka ya michezo, na utkuwa ni gumzo la ulimwengu wote. Cristiano alifikaje mahali hapa? Ni nini kilichomfanya akubali Uislam?

Ilikuwa hadithi ya mabadiliko ya kiroho ambayo yalizidi matarajio yote, na kufungua mlango wa safari iliyojaa changamoto na kutafuta amani ya ndani. video:


View: https://youtu.be/mDPiY--nDRM?si=POk1ZTYaqb-1pVTx

Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.


Ha ha ha cristiano kasilimu ila anaishi na demu wake saudi arabia na kamzalisha watoto kazaa

Je huo ndio uislam ?
 
Cristiano Ronaldo alisilimu na sababu ni ya kushangaza Hadithi Utangulizi: Hakuna mtu angetarajia kwamba mmoja wa wachezaji wakubwa wa mpira wa miguu katika historia, Cristiano Ronaldo, siku moja angesimama kwenye mimbari ya msikiti, akizungukwa na hadhira ya waumini, wakati akisoma Quran Tukufu kwa sauti ya utulivu na ya kupendeza. Ilikuwa ni wakati ambao ulipita mipaka ya michezo, na utkuwa ni gumzo la ulimwengu wote. Cristiano alifikaje mahali hapa? Ni nini kilichomfanya akubali Uislam?

Ilikuwa hadithi ya mabadiliko ya kiroho ambayo yalizidi matarajio yote, na kufungua mlango wa safari iliyojaa changamoto na kutafuta amani ya ndani. video:


View: https://youtu.be/mDPiY--nDRM?si=POk1ZTYaqb-1pVTx

Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.

Pamoja na kutofautiana Imani nilikuheshimu. Sikufikiria Kuna siku itakua msambaza dis-information. Bado una nafasi ya kufuta uongo. Uongo ni dhambi kwenye dini yangu na yako. Tafadhali jisahihishe.
 
Cristiano Ronaldo alisilimu na sababu ni ya kushangaza Hadithi Utangulizi: Hakuna mtu angetarajia kwamba mmoja wa wachezaji wakubwa wa mpira wa miguu katika historia, Cristiano Ronaldo, siku moja angesimama kwenye mimbari ya msikiti, akizungukwa na hadhira ya waumini, wakati akisoma Quran Tukufu kwa sauti ya utulivu na ya kupendeza. Ilikuwa ni wakati ambao ulipita mipaka ya michezo, na utkuwa ni gumzo la ulimwengu wote. Cristiano alifikaje mahali hapa? Ni nini kilichomfanya akubali Uislam?

Ilikuwa hadithi ya mabadiliko ya kiroho ambayo yalizidi matarajio yote, na kufungua mlango wa safari iliyojaa changamoto na kutafuta amani ya ndani. video:


View: https://youtu.be/mDPiY--nDRM?si=POk1ZTYaqb-1pVTx

Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar.

Hata Mike Tyson alisilimu, lakini anamiliki mashamba ya bangi kihalali
 
Back
Top Bottom