Cristiano Ronaldo Asilimu na sababu ni ya kushangaza

Nimepitia karibia robo 3 ya comets kuhusu hi taarifa ya kusilimu kwa CR7, nimegundua siku ikibainika kuwa Ronaldo kusilimu, Kuna uwezekano Ronaldo akaporwa kuazia sifa zake na Kila kitu kinachomuhusu na Makafiri, na hi ni kutokana na nguvu kubwa ya Makafiri waliyotunukiwa na SHETANI.
 
hako ka freemason kaeche tu kaende kuabudu ushetani pamoja na faizafoxy. hakuwa mkristo wa kweli hata hivyo, alikuwa mfuata dini asiyetambulika hata na Mungu wa kweli. mlikuwa kapu moja tu.
 
Huyu mama anamfatilia sana Ronaldo anatamani kweli kumuona kahamia uislamuni

mwaka jana alikuja na hiiii


mwaka huu katuletea tango pori lingine sijui kalitolea wapi,itakua faiza unakaaga vijiweni na wazee wenzio na naamini hao ndo wanaokujaza hewa kichwani.

Christiano ha slimu hata alipweje, Wakristo tuko wengi kuliko waislamu Hawezi wala kuthubutu kuja uislamuni we tulizana tu bibi angu,Muache mwenzio atengeneze mashabiki zake.
 
Kaanza kidogo kisogo, bila pupa, mpaka kajifunza Qur'an kaielewa na anaisoma ndiyo kasilimu.

Allahu Akbar.

Chat GPT umemuona juu hapo, na yeye kasilimu.
 
Ndo maana wanawapiga hizo pesa za mafuta wanaiba code wanasepa wanazileta ukafirini..........mnapumbazika na vitu vidogo sana
 
Kaanza kidogo kisogo, bila pupa, mpaka kajifunza Qur'an kaielewa na anaisoma ndiyo kasilimu.

Allahu Akbar.

Chat GPT umemuona juu hapo, na yeye kasilimu.
Chatgpt anatoa location ya wakina Hezbollah na houthi wanapewa kichapo ingieni tu humo na visimu vyenu na vi laptop
 
Ana uhuru kuabudu na kuamini anachodhani ni sahihi, ila mbona waislam wakibatizwa mnatafuta kuwauwa. Mnataka waingie ila hamtaki watoke au kuwa- challenge.
 
hako ka freemason kaeche tu kaende kuabudu ushetani pamoja na faizafoxy. hakuwa mkristo wa kweli hata hivyo, alikuwa mfuata dini asiyetambulika hata na Mungu wa kweli. mlikuwa kapu moja tu.
Sio nyinyi mlioambiwa msihukumu, mtahukumiwa kwa kipimo hichohicho mnachotumia....
 
Hichi ndio unachoonaa inafaa kutuambia

Badala ya kuonyesha mahaba ulizonazo kwa akina Mkojani wenzako wanaoomboleza vifo vinavyoletwa na Taifa takatifuu ,Huna maana yoyote

Hiki kinawasaidiaje wakojani wenzanko huko Lebanoni ,Yemen na Pakistan
 
Ukisoma huelewi, basi hata picha huoni?

FF kuna mtu anaweza akalumbana nawe kwa hoja hapa JF ukakubali kushindwa !!!

CR7 ni Roman Catholic na hajawahi kubadili imani yake...

Huyo aliyetengeneza hiyo habari alifanya hivyo kwa nia yake tusiyoweza jua kwa nini kafanya hivyo...
 
Bibi shule ulienda kusomea ujinga una shindwa kufanya uchunguzi.
 
Never
 
Mpaka picha unnaziona, nikuonhgezee? Jionee:


View: https://youtu.be/hLmyEexqOkM?si=eroIurPVnk7VDDWX
Kawacha siku nyuingi ku0onesha alama ya msalaba akifunga.

Allahu Akbatr.

Hata imani nyingine ikiwemo na Wakristo huwa wanasujudu pindi wanapoabudu...

Zaburi 138
2 Nitasujudu nikilikabili hekalu lako takatifu, Nitalishukuru jina lako, Kwa ajili ya fadhili zako na uaminifu wako, Kwa maana umeikuza ahadi yako, Kuliko jina lako lote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…