Cristiano Ronaldo ‘atibuana’ na wakala wake

Cristiano Ronaldo ‘atibuana’ na wakala wake

Mbona huyu dogo kama anatastaafu vibaya? Mambo yake hayaendi vema hata kidogo. Sijui shida ni nini? Tatizo ni yeye au walimwengu wanamtengenezea zengwe?
Hiyo ni deal ya lala salama, Ronaldo muda wake kucheza soka umeisha. Umri umemtupa, ametendea haki Ubora wake.

Huyo wakala atafute kinda mwingine atembee naye, aachane na CR7💪
 
Kwa kiwango gani alichonacho kwa sasa! Huyo jamaa ameshachoka. Na kama asingekuwa ni mtu wa tamaa, alitakiwa kutangaza kutundika daruga ili kulinda heshima yake, mara baada tu ya kuisha kwa haya mashindano ya Kombe la Dunia.
Hizo akili hana
 
Mbona huyu dogo kama anatastaafu vibaya? Mambo yake hayaendi vema hata kidogo. Sijui shida ni nini? Tatizo ni yeye au walimwengu wanamtengenezea zengwe?
Attitude ni kila kitu kwenye maisha unaweza kua na sifa zote ila ukiwa na attitude mbovu utaona watu wabaya
 
Ila Modric hana ujinga wa huyo babu yako.
Ronaldo anazeeka vibaya wenzake kina Toni Kross, Luca Modric, Marcelo, Benzema wanamalizia mpira kwa heshima yeye hatulii ugomvi na kila mtu, aombe arudi Santiago Bernabeu aumalize mwendo hapo I'm sure hawatamktaa hasa kipindi hiki Benzema ameanza kupata majeraha
 
Perez atakuwa mjinga
Haya sasa
IMG_20221216_143948.jpg
 
Back
Top Bottom