Ndio imeonekana muda huu Mr Billionsmkuu kama hadi sasa hujaona picha basi njoo niku mpesa ukashtue kidogo
Ronaldo kaanza kushika mahela toka ana miaka 20.. ila anachumbia akiwa na miaka 35
Bongo huku tukipata vikazi vya laki 6 tu.. wazazi na wanawake wanalazimisha tuwaoe. Na hapo hapo watasema wanataka pete ya gharama
CR7 ni noma ..pesa ni tamu haswa ukipata mwanamke anayekupenda na kukuheshimu..unaweza kumnunulia hata kisiwaShe deserve that
Huyu demu katulia na jamaa mda mrefu sana halafu inaonekana Hana makuu kabisa
Kamzalia na mtoto anamsapoti jamaa sana
Wote tunajua CR7alikuwa kitombi Hadi akina Kim kadashian alipitaga nae[emoji2]
Safi sana CR7 uoe Sasa si unaona mwezako la pulga katulia saafi
[emoji1][emoji1][emoji1] Hatari sana ...wanaume tutafute pesa..mimi sina mengi sana ya kuongea.Jamaa anaukwasi wa zaidi ya 1$ billion. Yaani ni sawa una million mbili na laki tatu za kibongo utoe buku ununue maji ndio alichofanya hapo
πππππJamaa anaukwasi wa zaidi ya 1$ billion. Yaani ni sawa una million mbili na laki tatu za kibongo utoe buku ununue maji ndio alichofanya hapo
30b na upuuzii hukooZa akina mariah Carey ni sh ngapi vile
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Dah...nilikuwa nkiambiwa nioe umri mkubwa nilikuwa nasema kwa sauti kubwa huyo christiano ronaldo na mihela yake bado ajaoa mimi nina nini mpaka nioe....sasa naona mdhamini wangu anaenda kuniachia manyoya muda si mrefu.