Cristiano Ronaldo kama kulinganishwa alinganishwe na akina Lewandowski na Ibrahmovich

Cristiano Ronaldo kama kulinganishwa alinganishwe na akina Lewandowski na Ibrahmovich

Messi wa kawaida tu; hata hiyo juzi wameponea chupuchupu kunyimwa kombe isipokuwa makosa ya wapiga penalty wa Ufaransa, lakini Mbape alikuwa keshawanyoa kwa chupa. Sehemu kubwa ya Magoli ya Messi ni ya Penalty,
 
Messi wa kawaida tu; hata hiyo juzi wamepone chupuchupu kunyimwa kombe isipokuwa makosa ya wapiga penalty wa Ufaransa, lakini Mbape alikuwa keshawanyoa kwa chupa. Sewhemu kubwa ya Magoli ya Messi ni ya Penalty,
Ndio nikokuwa amsha usingizini hawa jamaa wanamahaba ya hatari na messi hawaoni kama Messi jana kabebwa na kipa. Yaani kipa ndio alikuwa mchezaji bora.
 
The question is who is greater between Messi, Michael Jordan and Muhammad Ali?
 
Messi ana kipi ambacho Ronaldo hana?
FB_IMG_1671532870543.jpg
 
Back
Top Bottom