Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nikokuwa amsha usingizini hawa jamaa wanamahaba ya hatari na messi hawaoni kama Messi jana kabebwa na kipa. Yaani kipa ndio alikuwa mchezaji bora.Messi wa kawaida tu; hata hiyo juzi wamepone chupuchupu kunyimwa kombe isipokuwa makosa ya wapiga penalty wa Ufaransa, lakini Mbape alikuwa keshawanyoa kwa chupa. Sewhemu kubwa ya Magoli ya Messi ni ya Penalty,
Juzi? Tayari inaonyesha hujui unachokiongelea..hata hiyo juzi wameponea chupuchupu k
Inategema wewe unaishi wapi na mimi ninaishi wapi. Usidhani kila anayeandika hapa anatumia masaa ya Afrika ya Mashariki.Juzi? Tayari inaonyesha hujui unachokiongelea..
Wamehamishia magoli kwa Pele na MbappeWameamisha magoli c ronaldo tena?huyo anaesema anamkubali yeye mwenyew anakir kwamba Mess ni moto mwingine
Mbona hamumzungumzii Chama wa simbaJamaa namkubali sana
Nadhani hata kipindi anachukuwa ballon dor hakuwa hata anaongoza magoli kwenye ligi ni mambo yake tu ya uwanjan
Hapo kila mtu ni legend wa mchezo wake mkuuThe question is who is greater between Messi, Michael Jordan and Muhammad Ali?
Kwakweli kabumbu la bongo mimi siangaliagi kabisaMbona hamumzungumzii Chama wa simba
World cupMessi ana kipi ambacho Ronaldo hana?
Messi ana kipi ambacho Ronaldo hana?
Messi10 mwenye umri wa miaka 35 (MZEE) Kawa mchezaji Bora WA mashindano na Mbappe wako kijana kamzidi goli Moja tu... Hulioni hilooo....Kipa kuna michomoko ya kikatili alikuwa anaitoa hamappreciate nyie mnakomaa na messi wakati kwenye hili kombe kazidiwa hadi na Mbappe.