Cristiano Ronaldo (kuhusu kuvunjika kwa penzi lake na mlimbwende Irina Shayk)

Cristiano Ronaldo (kuhusu kuvunjika kwa penzi lake na mlimbwende Irina Shayk)

Chaos Master

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2021
Posts
636
Reaction score
1,310
Rejea kichwa cha habar hapo juu:

′′ Tuliishi vizuri sana, lakini alikuwa na tabia hii ya kuniuliza mbona tunafatana na mama yako kila mahali tunapoenda? Lazima uchague kati yangu na Mama yako".

Nilimjibu kuwa siwezi kumuacha mama yangu sababu ya mwanamke mwingine. Na kamwe sitajutia kuachana na wewe." Mwisho tuliachana"

Nini maoni yako katika hili
 
Alikosea hapo lazima uchague kati ya mimi na Mama yako ila jamaa nae alizidi kila mahari aiseee
 
Hivi anafatana na mama yake kila sehemu baba yake yupo wapi? Mwanamke anaekupa choice ya kuchagua kati yake na mama huyo tapeli piga chini faster. Lebron James,Diamonds platinum na Cristian Ronaldo waacheni mama zenu nao waliwe na mabwana zao


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Cr7 proved his manhood for sure!

It's only a stupid man who could choose a bitch over his mother.

For what Cr7 did to that bitch, representing all strong and intelligent men across the World... I suggest he deserves a 6th Ballon d'or let alone what he recently did for his national team in Euro 2020 tournament.
 
Rejea kichwa cha habar hapo juu:

′′ Tuliishi vizuri sana, lakini alikuwa na tabia hii ya kuniuliza mbona tunafatana na mama yako kila mahali tunapoenda? Lazima uchague kati yangu na Mama yako".
Nilimjibu kuwa siwezi kumuacha mama yangu sababu ya mwanamke mwingine. Na kamwe sitajutia kuachana na wewe." Mwisho tuliachana"
Watz ur view katika hili
huyo yupo kama mimi, hata mke wangu tukija suala la maza huwa anajadili kwa makini sana kwasababu anajua anagusa kwenye moyo. I love my wife, na watoto wangu, lakini wote wajue kwa miezi 9 nilikuwa natumia damu ya mama yangu, nilikuwa nakula anavyokula, amenisafisha hadi kinyesi, nimemnyea na kumkojolea sana, amevumilia mengi sana, alinipenda sana, hata nilipokuwa mkubwa alionyesha upendo wake wote, hadi leo anaonyesha upendo wake wote, nipo moyoni mwake na yeye yupo kwangu kwasababu tulikuwa mwili mmoja awali. niliishi tumboni mwake. mimi ni last born, nafikiri mnaelewa nikiongea hivi.

wife ameamua ampende mamangu kwa moyo wote, na huwa ananikumbusha huduma kwake zile ambazo nimetingwa. wakati nasoma sekondari alikuwa anauza vikuku vyake ananiwekea pesa mfukoni kwa sairi hata dingi ihajui na yeye anabaki na pesa kidogo, kipindi cha njaa alikuwa lazima alikuwa anaweka hazina ya kunilisha mimi hata kama wakubwa zangu hawatashiba sana. kifupi, alinipenda upendo wote, sasahivi ni mtu mzima sana na ni zamu yake kufaidi matunda yangu.
 
huyo yupo kama mimi, hata mke wangu tukija suala la maza huwa anajadili kwa makini sana kwasababu anajua anagusa kwenye moyo. I love my wife, na watoto wangu, lakini wote wajue kwa miezi 9 nilikuwa natumia damu ya mama yangu, nilikuwa nakula anavyokula, amenisafisha hadi kinyesi, nimemnyea na kumkojolea sana, amevumilia mengi sana, alinipenda sana, hata nilipokuwa mkubwa alionyesha upendo wake wote, hadi leo anaonyesha upendo wake wote, nipo moyoni mwake na yeye yupo kwangu kwasababu tulikuwa mwili mmoja awali. niliishi tumboni mwake. mimi ni last born, nafikiri mnaelewa nikiongea hivi.

wife ameamua ampende mamangu kwa moyo wote, na huwa ananikumbusha huduma kwake zile ambazo nimetingwa. wakati nasoma sekondari alikuwa anauza vikuku vyake ananiwekea pesa mfukoni kwa sairi hata dingi ihajui na yeye anabaki na pesa kidogo, kipindi cha njaa alikuwa lazima alikuwa anaweka hazina ya kunilisha mimi hata kama wakubwa zangu hawatashiba sana. kifupi, alinipenda upendo wote, sasahivi ni mtu mzima sana na ni zamu yake kufaidi matunda yangu.
Umenena vema sana bro mpende sana maza na mungu akubariki kwa upendo
 
huyo yupo kama mimi, hata mke wangu tukija suala la maza huwa anajadili kwa makini sana kwasababu anajua anagusa kwenye moyo. I love my wife, na watoto wangu, lakini wote wajue kwa miezi 9 nilikuwa natumia damu ya mama yangu, nilikuwa nakula anavyokula, amenisafisha hadi kinyesi, nimemnyea na kumkojolea sana, amevumilia mengi sana, alinipenda sana, hata nilipokuwa mkubwa alionyesha upendo wake wote, hadi leo anaonyesha upendo wake wote, nipo moyoni mwake na yeye yupo kwangu kwasababu tulikuwa mwili mmoja awali. niliishi tumboni mwake. mimi ni last born, nafikiri mnaelewa nikiongea hivi.

wife ameamua ampende mamangu kwa moyo wote, na huwa ananikumbusha huduma kwake zile ambazo nimetingwa. wakati nasoma sekondari alikuwa anauza vikuku vyake ananiwekea pesa mfukoni kwa sairi hata dingi ihajui na yeye anabaki na pesa kidogo, kipindi cha njaa alikuwa lazima alikuwa anaweka hazina ya kunilisha mimi hata kama wakubwa zangu hawatashiba sana. kifupi, alinipenda upendo wote, sasahivi ni mtu mzima sana na ni zamu yake kufaidi matunda yangu.
Kwani yeye mkeo hakuzaliwa na mama yake? Alishuka tuu?
 
Nafikiri uwasilishaji haukuwa mzuri.. haikuwa busara kumwambia achague kati ya mama na mke

lakini pia sioni mantiki ya ronaldo kufatana na mama kila sehemu
Hata mie nimeliona hilo uwasilishaji, hata yeye watoto wake wanampenda vile vile mama yao .
 
Mama ni mama na mke ni mke...

Hawa watu sio maembe kwamba unachagua lililonona na unaacha lililorojeka/haribika...

Huyo mwanadada aliyeuliza hivyo boyfriend wake labda alishawishika na wivu au pengine hakuwa akipewa nafasi wakati uliopaswa kupewa nafasi...
 
Mama ni mama na mke na mke...

Hawa watu sio maembe kwamba unachagua lililonona na unaacha lililorojeka/haribika...

Huyo mwanadada aliyeuliza hivyo boyfriend wake labda alishawishika na wivu au pengine hakuwa akipewa nafasi wakati uliopaswa kupewa nafasi...
Mkwe kama mkwe.
 
Halafu kuna misimamo inatokana na mazingira tuliyokulia. Sasa unakuta mtu anakumbuka mbali kwenye shida alikomtoa mama yake, leo utamwambia nini.

Mm mama yangu ni SHUJAA wangu wa muda wore HAKUNA mwanamke mwingine anaweza kuchukua nafasi yake, Najua alikonitoa tangu kuzaliwa. So simshangai CR7
 
Back
Top Bottom