Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Baba naye anakuwa wapi kukaa na mkewe kama muda wote mtoto na mama yake?Hakuna ttzo kama mama yako yuko na ww kila mahar ttzo ya nyie wanawake ni roho mbaya hakuna jingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba naye anakuwa wapi kukaa na mkewe kama muda wote mtoto na mama yake?Hakuna ttzo kama mama yako yuko na ww kila mahar ttzo ya nyie wanawake ni roho mbaya hakuna jingine
Angeweza kujibu vizuri tu kulikoni alivyopuyanga. Mwanaume kushindwa kumlainisha mke/mpenzi kwa maneno matamu ni umamaAlikosea hapo lazima uchague kati ya mimi na Mama yako ila jamaa nae alizidi kila mahari aiseee
Kitu nachoamin hakuna mwanamke yeyote anayemzidi mama kwa upendo.
Watoto wa masingle mammy ndiyo wapo hivyo ,kama Baba yupo utambebisha mama kweli? Nafasi ya Baba je!Nikiwa kama mama always huwa nawaambia vijana wangu waheshimu sana wake zao maana hao ndio mama za watoto na hao ndio watabaki nao.
Mimi siku zangu zinahesabika umri umeenda hata leo nikisikia kijana wangu ni mgonjwa sitaweza kwenda kumuogesha ni huyo mke wake ndio anaweza.
Nikifa atabaki na huyo mke wake mimi ni mpitaji nime fanya kile Mungu alichonituma kufanya nimezaa na nimewapa maisha na upendo wangu wote. Acha nao walee familia zao.
Mimi nazeeka na la aziz wangu tunatunzana wenyewe uzeeni watoto wote wako busy na maisha yao.
Heshimu sana mwenzi wako huku uzeeni ndio atakupa furaha au akupe shubiri.
Ujinga tu, ni muhimu kubalance kati ya mama na mpenziWatoto wa masingle mammy ndiyo wapo hivyo ,kama Baba yupo utambebisha mama kweli? Nafasi ya Baba je!
Ndiyo hapo wapo busy na mama zao na mke anabaki kuwa busy na watoto wake, mwisho wa siku mama na wanawe Baba anabaki mpweke na lawama juu mke mjini miezi 2 kwa mwanaye ,kutesa kwa zamu.Umesema ukweli upendo wa mama kwa mtoto ni wa damu ila upendo kwa mke unaunganishwa na watoto wenu. Hata mama ako si ndugu wa babako but siku ukiona mama ako anamistreat babayako hutafurahia kabisa kwa kuwa baba na yeye ni damu yako.
Mke unakula nae kiapo kile kiapo huwa una ingia na Mungu so muwaheshimu sana na ndio maana tunawashauri nsiwe mnakurupuka wakati wa kuoa kaa chini angalia mke mwema. La sivyo utabaki unampenda mama yako tu.
Mara nyingi vijana wetu wanajisahau wanaona mke sio ndugu unakaa unabaki kumpenda mama yako ukifika uzeeni mama alishakufa umebaki na huyo mke na yeye mke anakuwa busy na watoto wao matokeo yake tunawapoteza kabla ya wakti.
Huyo dogo boya sana, utatembeaje na mama kila mahali?Basi kila mtu atembee na. Mama yake kila mahali, msitake kufanya as wanawake nao hawana mama zao.
Mianaume mingine ni mijinga kweli.
Eti naenda na mama yangu kila mahali as mwenzio hana mama wa kuzunguka nae
Wakimaliza kuzurura na mama zao wwnaishia kujifunika shuka mmoja na huyo ambaye halingani na mama yakeUjinga tu, ni muhimu kubalance kati ya mama na mpenzi
Unakuta jitu na midevu uso mzima lakini halijielewi, Bible yenyewe inasema mtu atawaacha wazazi wake ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mwili mmoja, waoe mama zao ili kuepusha shariBasi kila mtu atembee na. Mama yake kila mahali, msitake kufanya as wanawake nao hawana mama zao.
Mianaume mingine ni mijinga kweli.
Eti naenda na mama yangu kila mahali as mwenzio hana mama wa kuzunguka nae
Huyo siyo mpenzi bali gold digger. Wapo wengi siku hizi. Wewe nani kujilinganisha na mama wa mumeo? Vingine hata havijui uchungu wa kusukuma mtoto achia mbali kulea. Mke anayetaka kujilinganisha na mama yako si wa kuacha tu bila kumkung'uta kama huna akili nzuri ili akienda mama yake amuuguze ajue faida ya mama.Rejea kichwa cha habar hapo juu:
′′ Tuliishi vizuri sana, lakini alikuwa na tabia hii ya kuniuliza mbona tunafatana na mama yako kila mahali tunapoenda? Lazima uchague kati yangu na Mama yako".
Nilimjibu kuwa siwezi kumuacha mama yangu sababu ya mwanamke mwingine. Na kamwe sitajutia kuachana na wewe." Mwisho tuliachana"
Nini maoni yako katika hili
Sio kila kitu mama atakupa hivyo lazima uoe.Kama mama anatosha mnaoa kutafuta nini? Kaeni na mama zenu msitese watoto wa watu.
Kwahiyo unajua kama kwa mama kuna kitu kinamis lazima uoe! Kwanini mtu useme mama ndiye kila kitu? Mama nayeye si ana mama yake? Hiyo imekaaje?Sio kila kitu mama atakupa hivyo lazima uoe.
Mbona haingii uwanjani au chumbani na mama yake huyo demu alitaka kumpanda Ronaldo kichwani. Hata kama ni mimi ningesitisha mkataba na huyo mrembo.Rejea kichwa cha habar hapo juu:
′′ Tuliishi vizuri sana, lakini alikuwa na tabia hii ya kuniuliza mbona tunafatana na mama yako kila mahali tunapoenda? Lazima uchague kati yangu na Mama yako".
Nilimjibu kuwa siwezi kumuacha mama yangu sababu ya mwanamke mwingine. Na kamwe sitajutia kuachana na wewe." Mwisho tuliachana"
Nini maoni yako katika hili
Mama yake Ronaldo anaishia huko ureno.Ronaldo hajawahi fatana na mama yake kila sehemu uyo demu alikengeuka tu...kwanza Ronaldo haishi na mama yake nyumba moja anaishi na mpenzi wake na watoto wake, pili maza ake alikua anafatana nae kweny vitu za muhimu kama ugawaji wa tunzo na kweny mechi za muhimu ndo demu akaona hapati nafasi ila maza ndo anakua anatambulishwa zaidi kwa watu kweny matuzo
Unaonaje upambane sana mpaka mabati yalewe kwenye akaunti zako halafu tujue tabia yako!!"lakini pia sioni mantiki ya ronaldo kufatana na mama kila sehemu"