Cristiano Ronaldo (kuhusu kuvunjika kwa penzi lake na mlimbwende Irina Shayk)

Hakuna ttzo kama mama yako yuko na ww kila mahar ttzo ya nyie wanawake ni roho mbaya hakuna jingine
Baba naye anakuwa wapi kukaa na mkewe kama muda wote mtoto na mama yake?
 
Watoto wa masingle mammy ndiyo wapo hivyo ,kama Baba yupo utambebisha mama kweli? Nafasi ya Baba je!
 
Ndiyo hapo wapo busy na mama zao na mke anabaki kuwa busy na watoto wake, mwisho wa siku mama na wanawe Baba anabaki mpweke na lawama juu mke mjini miezi 2 kwa mwanaye ,kutesa kwa zamu.
 
Basi kila mtu atembee na. Mama yake kila mahali, msitake kufanya as wanawake nao hawana mama zao.

Mianaume mingine ni mijinga kweli.
Eti naenda na mama yangu kila mahali as mwenzio hana mama wa kuzunguka nae
 
Basi kila mtu atembee na. Mama yake kila mahali, msitake kufanya as wanawake nao hawana mama zao.

Mianaume mingine ni mijinga kweli.
Eti naenda na mama yangu kila mahali as mwenzio hana mama wa kuzunguka nae
Huyo dogo boya sana, utatembeaje na mama kila mahali?
 
Hata mm ningefukuzilia mbali na makofi juu. Hawa viumbe hawajui bila mama tusingefika hapa tulipo
 
Basi kila mtu atembee na. Mama yake kila mahali, msitake kufanya as wanawake nao hawana mama zao.

Mianaume mingine ni mijinga kweli.
Eti naenda na mama yangu kila mahali as mwenzio hana mama wa kuzunguka nae
Unakuta jitu na midevu uso mzima lakini halijielewi, Bible yenyewe inasema mtu atawaacha wazazi wake ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mwili mmoja, waoe mama zao ili kuepusha shari
 
Kama mama anatosha mnaoa kutafuta nini? Kaeni na mama zenu msitese watoto wa watu.
 
Huyo siyo mpenzi bali gold digger. Wapo wengi siku hizi. Wewe nani kujilinganisha na mama wa mumeo? Vingine hata havijui uchungu wa kusukuma mtoto achia mbali kulea. Mke anayetaka kujilinganisha na mama yako si wa kuacha tu bila kumkung'uta kama huna akili nzuri ili akienda mama yake amuuguze ajue faida ya mama.
 
Mbona haingii uwanjani au chumbani na mama yake huyo demu alitaka kumpanda Ronaldo kichwani. Hata kama ni mimi ningesitisha mkataba na huyo mrembo.
 
Mama yake Ronaldo anaishia huko ureno.

Cr7 anakaa uhispania

Wanakutana Mara moja moja .

Irina was a bitch sio ajabu hana life la kueleweka kwenye mahusiano.

Saivi kaangukia kwa chizi kanye west[emoji1787][emoji1787] amefata hela tu na umaarufu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…