Huu utetezi upeleke pale kisutu watakusikia tu jombaa, mahakimu na majaji wa pale hawana roho mbaya sana ujueee! Usiumie Sana!Kitu ambacho kwa wapenzi wa Ronaldo kama wewe huwezi sema kafunga magoli hayo baada ya Mechi ngapi.Mfano Ronaldo kafikisha goli 100 akiwa amecheza mechi 27 zaidi ya Messi.Swali je Messi akicheza hizo mechi 27 alizonazo mkononi zaidi ya mpinzani wake atakuwa na goli ngapi.Huwezi ongea hili,utaingelea wingi wa goli tu lakini huwezi jiuliza kafunga hizo akiwa kacheza mechi ngapi.Pole
mmorokoKajinyongee, maana huwa hamkawiii! Huyo kimo Cha mbuzi hamuwezi kwa lolote mnyama cr7!
Labda kwasababu hatembei sana na mpira na kuzunguka zunguka nao kwa mabeki wa timu pinzani.Huyu jamaa ana haters wengi sana ila yeye anaendelea na maisha yake na pesa ndefu anapiga sisi tunaomchukia tunabaki na vidonda vya tumbo na hatujui..kama mashabiki wa Juventus wanampigia makofi, mimi niko Katavi nimchukie si upuuzi huo..
Labda kwasababu hatembei sana na mpira na kuzunguka zunguka nao kwa mabeki wa timu pinzani.
Sifa ya mshambuliaji ni kufunga magoli mengi iwezekanavyo, hayo mengine ni madoido tu.
Messi ni mshambuliaji mzuri anastahili pongezi anapofunga, pia Ronado ni mshabuliaji bora na anastahili haki yake ya kusifiwa. jambo lingine lolote ni ushabiki binafsi wa mtu kwa mtu.
Huyu jamaa ana haters wengi sana ila yeye anaendelea na maisha yake na pesa ndefu anapiga sisi tunaomchukia tunabaki na vidonda vya tumbo na hatujui..kama mashabiki wa Juventus wanampigia makofi, mimi niko Katavi nimchukie si upuuzi huo..
hana akili nyngne zaid ya uko kwa ligi urojo urojoMessi ana miaka mingapi anakipiga huko La Liga?
Nivizr kuwa na maneno ya akiba , sisi ni vitendo mwanzo mwisho.Lakini Mkae na kujua kua Balloon de or mwaka huu mpaka sasa ni Messi na Salah...
9.0 kwa 8.9 ratio
Mwaka Jana mlimpa ronaldo ballon de or kwa kisingizio et kabeba trophy Messi aliongoza form na magoli
Haya tumekubali so far mwaka huu mnyama projected trophies ni 2 (delay+ laliga) kati ya nne nyumbu wenu 0 kati ya NNE... 6th ballon de or for Messi hakuna mbadala mwaka huu.
Hili linawauma washabiki wengi wa ronaldo
Ona sasa!! Kwanini lakini?!!!Inakuwaje anaitwa mchezaji bora wa dunia ikiwa wanajiangalia wao ulaya peke yao?
Kwanini wasiangalia na ligi nyingine nje ya ulaya?
Kuna Afrika, Asia, Australia, Amerika ya kusini na kaskazini pia. Huku mbona kuna wachezaji wanakipiga zaidi ya hao wote?
Muda mwingine nahisi hata ile tuzo aliyopewa George Weah ni zuga tu ili na sisi waafrika tujione tupo kati ya waliopo.
Mkuu...Ronaldo na rekodi mpya, Messi simuoni [emoji102]View attachment 1564030View attachment 1564032
Mkuu...
Naomba Unisaidie Hili la GOAT-Greatest Of All Time.
CR7-GOAT
Messi-GOAT
Pelle-GOAT
Maradona-GOAT.
Hawa ni baadhi ya Wachezaji ambao hupewa Jina hilo na Wachambuzi/Waandishi/Wadau & Washabiki Wa soka...
Wachambuzi wa Redio baadhi za Tanzania hutumia GOAT katika soka kwa kusema Mchezaji bora Wa Muda Wote..!
Naomba nisaidie hapo kwenye Muda/ All Time.
Wewe unailewaje GOAT...
Wa Muda Wote Manaake nini...
Nini Maana ya Muda...
Shukran!!!!!