Crowd funding: Wakurugenzi wa Kamono Farms wakamatwa kwa kujipatia fedha za wananchi isivyo halali.

Crowd funding: Wakurugenzi wa Kamono Farms wakamatwa kwa kujipatia fedha za wananchi isivyo halali.

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Hii ni kama utapeli wa Jatu au Mr Kuku ila imetokea nchi jirani ya Zambia. Wakurugenzi watatu wa Kamono Farms wanashikiliwa na vyombo vya dola kwa makosa ya kujipatia pesa kilaghai kutoka kwa wananchi kwa kuwashawishi wawekeze fedha zao kwenye kilimo kwa ahdi ya kupata faida kubwa sana kitu ambacho hakiwezekani. Kwa miezi kadhaa wananchi wengi wamekuwa wakijitokeza na kulalamika kutokuwa na mrejesho wowote kuhusu uwekezaji walioufanya huku uongozi wa Kamono ukiwakwepa. Wanatuhumiwa kujipatia kiasi cha Tsh 17b (kwa exchange rate ya kwacha kwenda tsh). Account zao zote zimefungiwa na pia zimekamatwa kama kwacha 760,000 cash.

Kimsingi kilichotokea Jatu na Mr Kuku ndo kimetokea kwa wenzetu. Yaani mambo ni yaleyale. Stori ya Mr Kuku, Jatu na Kamono ni moja tofauti ni nchi tu. Cha kushangaza watu kuendelea kuwaamini. Mimi nadhani serikali zetu zianze kuwakamata pia hawa wananchi wapumbavu wasiojielewa ambao wanaona moto na kwenda kujiingiza kisha kuanza kulia wanaungua.
 

Attachments

  • FB_IMG_1680630633097.jpg
    FB_IMG_1680630633097.jpg
    77.3 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1680630780257.jpg
    FB_IMG_1680630780257.jpg
    23.6 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1680791090659.jpg
    FB_IMG_1680791090659.jpg
    66.9 KB · Views: 4
  • 20230420_160332.jpg
    20230420_160332.jpg
    42.5 KB · Views: 5
  • FB_IMG_1680627992515.jpg
    FB_IMG_1680627992515.jpg
    80.4 KB · Views: 4
Wajinga ndiyo waliwao. Utalimaje huku umekaa nyumbani? Yaani wewe unipe fedha nikulimie halafu nikuletee faida wakati wewe umekaa nyumbani? Hata viongozi wa CCM pamoja na ufisadi wote wanaofanya hawawezi kukubali kutoa fedha kwa njia ya kijinga namna hii.
 
Wajinga ndiyo waliwao. Utalimaje huku umekaa nyumbani? Yaani wewe unipe fedha nikulimie halafu nikuletee faida wakati wewe umekaa nyumbani? Hata viongozi wa CCM pamoja na ufisadi wote wanaofanya hawawezi kukubali kutoa fedha kwa njia ya kijinga namna hii.
Hakuna fisadi mjinga. Kosa la mafisadi ni kutumia akili zao kwa maslahi yao binafsi huku wakitumbua fedha za umma. Kwa hesabu za haraka fisadi ni muuaji kuliko jambazi. Imagine mtu aliyetafuna fedha za kununulia madawa atakuwa kasababisha vifo vya watu wangapi?
 
Hakuna fisadi mjinga. Kosa la mafisadi ni kutumia akili zao kwa maslahi yao binafsi huku wakitumbua fedha za umma. Kwa hesabu za haraka fisadi ni muuaji kuliko jambazi. Imagine mtu aliyetafuna fedha za kununulia madawa atakuwa kasababisha vifo vya watu wangapi?
Unajua maana ya neno ujinga?
 
Hii ni kama utapeli wa Jatu au Mr Kuku ila imetokea nchi jirani ya Zambia. Wakurugenzi watatu wa Kamono Farms wanashikiliwa na vyombo vya dola kwa makosa ya kujipatia pesa kilaghai kutoka kwa wananchi kwa kuwashawishi wawekeze fedha zao kwenye kilimo kwa ahdi ya kupata faida kubwa sana kitu ambacho hakiwezekani. Kwa miezi kadhaa wananchi wengi wamekuwa wakijitokeza na kulalamika kutokuwa na mrejesho wowote kuhusu uwekezaji walioufanya huku uongozi wa Kamono ukiwakwepa. Wanatuhumiwa kujipatia kiasi cha Tsh 17b (kwa exchange rate ya kwacha kwenda tsh). Account zao zote zimefungiwa na pia zimekamatwa kama kwacha 760,000 cash.

Kimsingi kilichotokea Jatu na Mr Kuku ndo kimetokea kwa wenzetu. Yaani mambo ni yaleyale. Stori ya Mr Kuku, Jatu na Kamono ni moja tofauti ni nchi tu. Cha kushangaza watu kuendelea kuwaamini. Mimi nadhani serikali zetu zianze kuwakamata pia hawa wananchi wapumbavu wasiojielewa ambao wanaona moto na kwenda kujiingiza kisha kuanza kulia wanaungua.
Kuna kitu kingine kipo Tanzania kinaitwa TAPAIA ni kikundi cha wazee matapeli. Kinarenga vijana wa vyuoni. Ni kama Mr Kuku.
 
Hii ni kama utapeli wa Jatu au Mr Kuku ila imetokea nchi jirani ya Zambia. Wakurugenzi watatu wa Kamono Farms wanashikiliwa na vyombo vya dola kwa makosa ya kujipatia pesa kilaghai kutoka kwa wananchi kwa kuwashawishi wawekeze fedha zao kwenye kilimo kwa ahdi ya kupata faida kubwa sana kitu ambacho hakiwezekani. Kwa miezi kadhaa wananchi wengi wamekuwa wakijitokeza na kulalamika kutokuwa na mrejesho wowote kuhusu uwekezaji walioufanya huku uongozi wa Kamono ukiwakwepa. Wanatuhumiwa kujipatia kiasi cha Tsh 17b (kwa exchange rate ya kwacha kwenda tsh). Account zao zote zimefungiwa na pia zimekamatwa kama kwacha 760,000 cash.

Kimsingi kilichotokea Jatu na Mr Kuku ndo kimetokea kwa wenzetu. Yaani mambo ni yaleyale. Stori ya Mr Kuku, Jatu na Kamono ni moja tofauti ni nchi tu. Cha kushangaza watu kuendelea kuwaamini. Mimi nadhani serikali zetu zianze kuwakamata pia hawa wananchi wapumbavu wasiojielewa ambao wanaona moto na kwenda kujiingiza kisha kuanza kulia wanaungua.
Ndio hii au hiyo ni mpya??
[emoji116][emoji116]
[ DEC SEIZES KAMONO FARMS INITIATIVES’ BANK ACCOUNTS
Published On September 29, 2022 » 11849 Views» By Times Reporter » Latest News
0 starsRegister to vote!
By MUNAMBEZA MUWANEI-
THE Drug Enforcement Commission (DEC) has seized bank accounts for Kamono Farms Initiatives Limited of Kabwe and advised members of the public against making any further cash deposits.
DEC spokesperson Mathias Kamanga said investigations had been instituted into the operations of the company.
Mr Kamanga confirmed the development in an interview yesterday and advised the public against making any further deposits as they risked losing their money.
Read more: Times of Zambia | DEC seizes Kamono Farms Initiatives’ bank accounts Times of Zambia | DEC seizes Kamono Farms Initiatives’ bank accounts
 
Ndio hii au hiyo ni mpya??
[emoji116][emoji116]
[ DEC SEIZES KAMONO FARMS INITIATIVES’ BANK ACCOUNTS
Published On September 29, 2022 » 11849 Views» By Times Reporter » Latest News
0 starsRegister to vote!
By MUNAMBEZA MUWANEI-
THE Drug Enforcement Commission (DEC) has seized bank accounts for Kamono Farms Initiatives Limited of Kabwe and advised members of the public against making any further cash deposits.
DEC spokesperson Mathias Kamanga said investigations had been instituted into the operations of the company.
Mr Kamanga confirmed the development in an interview yesterday and advised the public against making any further deposits as they risked losing their money.
Read more: Times of Zambia | DEC seizes Kamono Farms Initiatives’ bank accounts Times of Zambia | DEC seizes Kamono Farms Initiatives’ bank accounts
Kampuni ni hiyo lakini hii ni taarifa mpya ya leo.
 
Mi naona watu waendelee tapeliwa tu labda watakuja jitambua huko mbeleni
 
Back
Top Bottom