Crown au brevis

Nakumbuka kuna Jagua XF moja imezunguka Kwa madalali wote mjini apa mpk wa mwanza lakini imeshindwa kutoka….


Mara ya mwisho nmeona na magari_mtaani kaipost lakini wapi ilianza 25m mpaka 19m watu kama hawaioni[emoji23][emoji23]
 
Salam wakuu,naomba kuuliza,Kuna sehemu niliona Crown Athlete (used) inauzwa Tsh.8,000,000, number D. Je,nichukue,au unakuta haitengenezeki ,au ndo bei yake baada imeanza kushuka kama Brevis?πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…