Crown au brevis

Crown au brevis

Sahihi, tatizo lake hua Ni pale tu kwny 180km/h

Kwa Nchi zilizoendelea top speed matter

Ila bongo hapa mwenye ana accerelate faster ndo atanyanyasa watu huko barabarani coz hatuna hizo barabara za kumaintain above 180km hata dakika 10 tu

Hapa Tz Ndo maana barabarani V8 ananyanyasa lkn nyingi top speed ni 180km/hr japo zipo zenye 240km/hr
 
mkuu Mimi hata nikitembelea BMW 3 series ya mwaka 2006 najiona niko very unique kuliko mtu anaetembelea crown[emoji16][emoji16]
Hio gari sio Unique. Ukitaka Uniquness ununue gari ambazo atleast hazifiki 50 Tanzania nzima. Likes za Rolls Royce, Bentley, Lamborghini, Aston Martin, Lincolin, Jaguar, Volvo.
 
Back
Top Bottom