Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Hili nalo wakalitazamekikubwa wawe mbali na kutoa ajira kwa mashoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili nalo wakalitazamekikubwa wawe mbali na kutoa ajira kwa mashoga
Una uhakika unapenda vipindi vya kielimisha au neno kuelimisha limekaa automatic kwenu wabongo, hata ukiulizwa unapenda nyimbo gani utasema za kuelimisha ila tukipitia file la music lako hatuwezi kuona nyimbo za 20 Cent.Vipindi vinavyoelimisha na kuburudisha!
Wao wana miziki tena ya kwao, refresh wanazungumzia maisha yao tu inshort ni chaneli ya familia
Kipya kinyemi ingawa kina kidondaWengi tunapigwa na upofu wa uelewa kila linapokuja jambo la mtu mpya au kitu kipya.
Wewe unatakiwa ujue kuna television zimebase kwenye burudani na kuna television za kuelimisha kama TBC, ITV na za burudani ni kama Clouds, Wasafi,efm, crown etc na hata upande wa kuajili zinatofautiana, hizi za media za kuelimisha wanaangalia Elimu but za burudani wanaangalia umaarufu wa mtu au talents rather than Elimu so ni ngumu ubadishe content zaoTumia akili mzee!
Kama TBC ipo kwanini Wasafi ilifunguliwa?
Hii ni biashara, maoni ni muhimu ili wajirekebishe kuvutia wateja kuingiza mpunga zaidi.
Kumbe ujaelewa hata nilikua nazungumzia nini!Wewe unatakiwa ujue kuna television zimebase kwenye burudani na kuna television za kuelimisha kama TBC, ITV na za burudani ni kama Clouds, Wasafi,efm, crown etc na hata upande wa kuajili zinatofautiana, hizi za media za kuelimisha wanaangalia Elimu but za burudani wanaangalia umaarufu wa mtu au talents rather than Elimu so ni ngumu ubadishe content zao
Wabongo hauwezi kuwatenga na unafiki ni kama Pete na kidoleUna uhakika unapenda vipindi vya kielimisha au neno kuelimisha limekaa automatic kwenu wabongo, hata ukiulizwa unapenda nyimbo gani utasema za kuelimisha ila tukipitia file la music lako hatuwezi kuona nyimbo za 20 Cent.
Shida sio mimi ni wewe ulivyoaddressKumbe ujaelewa hata nilikua nazungumzia nini!
Fanya ulale
Hii project ntaisimamia Hadi ukucha unitoke😂mshamba media coming soon😁
tuombeane wadau