King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hongereni Sana kumiliki Uchawi wa Kizungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Crown ni Ndele inayotembea 😂
Crown ni Ndele inayotembea 😂
Suala zima la kuchanganya, bmw hizi 320 haiifuati athlete, sema tu top speed za mjerumani wote tunazielewa..
Wajerumani weusi lazma waje kutoa povu hapaSubiri mapovu ya wajerumani
Ndio maana Land Cruiser ya 2022 inawachapa wapinzani kama wamesimama! Sio Escalade,Ford,Chevrolet,Nissan wala mpuuzi yeyote ambaye anamzingua kwenye Drag Race!Hapa ndio wengi mnafeli...
3 series ni gear 6 mpaka 7, Ukiikuta hiyo ya gear 7 ni hatari tupu maana hapa BMW waliamua kwenda kuazima gearbox kwa VW....
Toyota Crown ni gear 4 tu....
Gearbox ikiwa na gear nyingi gari inachanganya faster ukilinganisha na yenye gear chache...
Umeshawahi kuendesha BMW 320i unakona utofauti?Suala zima la kuchanganya, bmw hizi 320 haiifuati athlete, sema tu top speed za mjerumani wote tunazielewa..
[emoji1][emoji1]Umeshawahi kuendesha BMW 320i unakona utofauti?
Aisee sometimes kama hamjui mambo ya Magari ni Bora utulie tu
😂😂😂Jamani Crown Athlete ni kaliWakija watu wenye BMW 3 series kuanzia 320i kwenda juu... Au gari yoyote ya mjerumani kuanzia Cc2000...
Mtatamani kuufuta huu uzi mfichame....
0-100 crown inachanganya fasta kuliko 320i, tusiwe wabishi jamani kisa ni bmw, kumbuka 320i ina top speed kubwa lazima gear ziwe nyingi kuliko athlete lakini 320i ikifikaga be above 100 huwa inachanganya taratibu, tuwe waelewa..Hapa ndio wengi mnafeli...
3 series ni gear 6 mpaka 7, Ukiikuta hiyo ya gear 7 ni hatari tupu maana hapa BMW waliamua kwenda kuazima gearbox kwa VW....
Toyota Crown ni gear 4 tu....
Gearbox ikiwa na gear nyingi gari inachanganya faster ukilinganisha na yenye gear chache...
320i hizi za piston 4 uishindanishe na crown athlete? We ndio hujui gari mkuu, top speed ya 320i isikuchanganye mkuu, athlete inachanganya faster zaidi kuliko hio 320i, Kwanza 320i yenyewe kufuta kisahani huwa inafuta kwa shida mnoo.Umeshawahi kuendesha BMW 320i unakona utofauti?
Aisee sometimes kama hamjui mambo ya Magari ni Bora utulie tu
Nawazoom tu vijana wakipiga porojo..Wakija watu wenye BMW 3 series kuanzia 320i kwenda juu... Au gari yoyote ya mjerumani kuanzia Cc2000...
Mtatamani kuufuta huu uzi mfichame....
Yaani nimeumia sana kuipambanisha na mjerumani,hivi vijana wa pisi kali mnatuonaje sisi?Crown nzuri kwenye segment yake, lakini msiilete kwenye level za kina 3 series, A4 au C Class.
Muipambanishe na wakina Vero, au Mark X huko sio Mjerumani.
Yaani anafananisha vitu vya kijinga na 320i.Umeshawahi kuendesha BMW 320i unakona utofauti?
Aisee sometimes kama hamjui mambo ya Magari ni Bora utulie tu
Wewe jamaa bwana,unajijibu mwenyewe unajibishia mwenyewe..haya umeshinda.320i hizi za piston 4 uishindanishe na crown athlete? We ndio hujui gari mkuu, top speed ya 320i isikuchanganye mkuu, athlete inachanganya faster zaidi kuliko hio 320i, Kwanza 320i yenyewe kufuta kisahani huwa inafuta kwa shida mnoo.
320i itaanza kutamba baada ya athlete kufika kikomo 180, ila before hapo 320i ni mchumba tu, sijazungumzia bmw 3 series nazungumzia specific 320i usitufanye kama hatujui gari mkuu
Ukiipata ni tag, NAMI niondoe gunduHizi mpk 1.8mil zinauzwa huko kupatana.
Uwe unapitia pitia kule kupatana.com Zinakuwepogo.Ukiipata ni tag, NAMI niondoe gundu