Crown ni kama pisi kali

Crown ni kama pisi kali

Ndio maana Land Cruiser ya 2022 inawachapa wapinzani kama wamesimama! Sio Escalade,Ford,Chevrolet,Nissan wala mpuuzi yeyote ambaye anamzingua kwenye Drag Race!

Labda wenye superchargers ila kwa Naturally aspirated hamna kiande anaesumba.
Huyu yukimpa RS4 atabaki anajamba jamba ana muona mwanaumee yuleee 😀😀😀
 
Hapa ndipo utaona kuwa life lina wenyewe, watu wanabishana raha ya magari wewe unawaza utajibana vipi ule mihogo ya 500/- na nauli ya daladala ibaki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Umasikini nadhani ni laana, usipojitahidi kujinasua utazikwa masikini kabisa[emoji848]

Kikubwa wanangu tufanye kazi kwa bidii na kuweka malengo, tutatoboa insha'Allah
 
Ila mafuta Sasa🙌

Crown ni gari ya maajabu sana, unaweza kukaa na genge lako la wajuaji mkaiponda sana mkaiita yebo yebo mara inaua, gari ya Taifa na kuisengenya saaana, Ebwana eeh ile umetoka tu kwenye kikao cha kuipondea ukaikuta road athlete inavyoteleza, mamaee halafu ukute sasa ipo kwenye hali nzuri unaanza kuona wale jamaa waliokuwa wanaiponda wote wa$*nge sasa ukiingia ndani na wewe mwenyewe unajiona mshamba tu. Crown ni kama pisi kali ambayo unaimiliki halafu unasikia mtaani na kwa marafiki kwamba huyo mwanamke ni kicheche, huyo mwanamke ni chama la wana, huyo mwanamke mama huruma, ila mzee mzima ukifika ndani unaufyata unapewa mautamu mpaka unaanza kusema yoote uliyoambiwa na rafiki zako..🤣🤣🤣, yaani unapewa utamu mpaka unatoa na hati ya nyumba😂😂😂, dah! Ile gari nimeshindwa kabisa kuilewa ni kama wajapan wameiwekea na hirizi😂😂. Jamaa zangu wawili tuliokuwa kwenye vikao vya kuipondea Crown wote wameishia kufunga nayo ndoa ya kikatoliki🤣😂🤣😂🤣😂.. Nimewacheka saaaanaa, usitukane mamba.......................
Achana na ile kitu crown aisee..Kule Japan ina heshima kubwa sana, recommend car for government officials in Japan
 
Back
Top Bottom