Mkuu sio kimeo kweli? [emoji23]Mbona bei cheeUwe unapitia pitia kule kupatana.com Zinakuwepogo.
Huyu yukimpa RS4 atabaki anajamba jamba ana muona mwanaumee yuleee 😀😀😀Ndio maana Land Cruiser ya 2022 inawachapa wapinzani kama wamesimama! Sio Escalade,Ford,Chevrolet,Nissan wala mpuuzi yeyote ambaye anamzingua kwenye Drag Race!
Labda wenye superchargers ila kwa Naturally aspirated hamna kiande anaesumba.
😄😄 Hazinaga deal Tena hapa mjini,si unaona gx 100 (cresta/mark 2) zinauzwaga mpk 2.5m na unakuta kitu iko fresh kabisa.Mkuu sio kimeo kweli? [emoji23]Mbona bei chee
Hii unazungumzia uzoefu au ?0-100 crown inachanganya fasta kuliko 320i, tusiwe wabishi jamani kisa ni bmw, kumbuka 320i ina top speed kubwa lazima gear ziwe nyingi kuliko athlete lakini 320i ikifikaga be above 100 huwa inachanganya taratibu, tuwe waelewa..
Sasa braza kwani wanasema uongo aisee ??? 🤣 🤣Subiri mapovu ya wajerumani
Nilikuwa nasubiri mwamba utokee ila nikawa sikuoni kwenye uzi...... 🤣 🤣 🤣Umeshawahi kuendesha BMW 320i unakona utofauti?
Aisee sometimes kama hamjui mambo ya Magari ni Bora utulie tu
Kama budget yako haitoshi kwenda kwa mjerumani, na unataka gari yenye mwendo na comfortable huna budi mkuu kunyoosha mkono mbele ya crown, kama unaona mafuta ni dili sana huna budi kuangukia kwa ist a.k.a kitochi 4G.Hii gari watu wanaisifia sana,inaelekea ni nzuri
Hizi gari kuna baadhi zinakuja na 2gr , gari Kali sana mbona hio mkuu?Mimi basi nachagua gari hata nikipata toyota baloon kama hizi inanitosha, mambo ya kuponda gari nawaachia wenye pesaView attachment 1983634
Muuwe Bayern weka 2m mkuu uvute huo uchawi acha kuzubaa.wazee wenzangu wa kuweka mzigo nadhani mnausoma huu uzi kwa machungu.
kama nawaona ivi mkienda kutafuta odd 6870 stake 1000 [emoji3][emoji3]
Mimi naikubali mno kutokana na uwezo wangu wa kufanya savings, ila kwa viwango vya hizo crown, bmw na wengineo siwezi kutamba nayo inabidi nitulieHizi gari kuna baadhi zinakuja na 2gr , gari Kali sana mbona hio mkuu?
Hatari 320i hi chuma naipenda sanaWakija watu wenye BMW 3 series kuanzia 320i kwenda juu... Au gari yoyote ya mjerumani kuanzia Cc2000...
Mtatamani kuufuta huu uzi mfichame....
Ila mafuta Sasa🙌
Achana na ile kitu crown aisee..Kule Japan ina heshima kubwa sana, recommend car for government officials in JapanCrown ni gari ya maajabu sana, unaweza kukaa na genge lako la wajuaji mkaiponda sana mkaiita yebo yebo mara inaua, gari ya Taifa na kuisengenya saaana, Ebwana eeh ile umetoka tu kwenye kikao cha kuipondea ukaikuta road athlete inavyoteleza, mamaee halafu ukute sasa ipo kwenye hali nzuri unaanza kuona wale jamaa waliokuwa wanaiponda wote wa$*nge sasa ukiingia ndani na wewe mwenyewe unajiona mshamba tu. Crown ni kama pisi kali ambayo unaimiliki halafu unasikia mtaani na kwa marafiki kwamba huyo mwanamke ni kicheche, huyo mwanamke ni chama la wana, huyo mwanamke mama huruma, ila mzee mzima ukifika ndani unaufyata unapewa mautamu mpaka unaanza kusema yoote uliyoambiwa na rafiki zako..🤣🤣🤣, yaani unapewa utamu mpaka unatoa na hati ya nyumba😂😂😂, dah! Ile gari nimeshindwa kabisa kuilewa ni kama wajapan wameiwekea na hirizi😂😂. Jamaa zangu wawili tuliokuwa kwenye vikao vya kuipondea Crown wote wameishia kufunga nayo ndoa ya kikatoliki🤣😂🤣😂🤣😂.. Nimewacheka saaaanaa, usitukane mamba.......................
Bei hiyo hata juzi nimeona mtu anauza..... Nilijua bovu[emoji1][emoji1] Hazinaga deal Tena hapa mjini,si unaona gx 100 (cresta/mark 2) zinauzwaga mpk 2.5m na unakuta kitu iko fresh kabisa.
niweke nyumba[emoji3][emoji3]