Crown Prince wa Abu Dhabi (UAE) akiri haki ya msingi ya Kremlin kuhakikisha usalama wa taifa la Russia

Crown Prince wa Abu Dhabi (UAE) akiri haki ya msingi ya Kremlin kuhakikisha usalama wa taifa la Russia

Namna mabepari wa kimagharibi walivyoiacha kwenye mataa Ukraine ktk kipindi ambacho kila kukicha maelfu ya raia na askari wake wanauawa, wanajeruhiwa, miji yageuzwa majivu na vifusi, miundombinu muhimu yaangamizwa, mamilioni ya raia waenda ukimbizini

View attachment 2163856

View attachment 2163875View attachment 2163878View attachment 2163882View attachment 2163887

View attachment 2163885
Zelensky yupo bize akipost jinsi anavyomlipua mrusi sijui anacheza game gani huko PS5 au atakuwa na Xbox??

Watu wake wanaumia Sana! Na baridi bado Kali huko
 
Bila Westerners hususani USA hana maisha akizinguana nao abudabi doha na dubai zitabaki majivu tu..akae kutulia.

#MaendeleoHayanaChama
Hicho kitu ndio hatutaki duniani, ndio tunataka Rusia ashinde pale Ukrane ili kubalance nguvu ya Dunia....
 
Bila Westerners hususani USA hana maisha akizinguana nao abudabi doha na dubai zitabaki majivu tu..akae kutulia.

#MaendeleoHayanaChama
Kwa hiyo USA ndio huleta fujo,machafuko,mapinduzi,uonevu na Kila aina ya hujuma hapa duniani.
Ingekua ni kikundi tungekiita kikundi Cha Kigaidi, Sasa nchi USA tuiite taifa lakigaidi?
 
Back
Top Bottom