Crown Prince wa Abu Dhabi (UAE) akiri haki ya msingi ya Kremlin kuhakikisha usalama wa taifa la Russia

Zelensky yupo bize akipost jinsi anavyomlipua mrusi sijui anacheza game gani huko PS5 au atakuwa na Xbox??

Watu wake wanaumia Sana! Na baridi bado Kali huko
 
Bila Westerners hususani USA hana maisha akizinguana nao abudabi doha na dubai zitabaki majivu tu..akae kutulia.

#MaendeleoHayanaChama
Hicho kitu ndio hatutaki duniani, ndio tunataka Rusia ashinde pale Ukrane ili kubalance nguvu ya Dunia....
 
Bila Westerners hususani USA hana maisha akizinguana nao abudabi doha na dubai zitabaki majivu tu..akae kutulia.

#MaendeleoHayanaChama
Kwa hiyo USA ndio huleta fujo,machafuko,mapinduzi,uonevu na Kila aina ya hujuma hapa duniani.
Ingekua ni kikundi tungekiita kikundi Cha Kigaidi, Sasa nchi USA tuiite taifa lakigaidi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…