CRYPTO-FUNZO KWA WAKURUPUKAJI: Luna coin ilikua ni sawa na $85 wiki ilopita lkn kwa sasa ni takataka(trash coin)

CRYPTO-FUNZO KWA WAKURUPUKAJI: Luna coin ilikua ni sawa na $85 wiki ilopita lkn kwa sasa ni takataka(trash coin)

Acheni kudanganywa nyinyi pesa ni ile physical izo nyengine ni utapeli tu huo

ukibisha bisha kwa ukorofi wako lkn huo ndo ukweli
Ni aina fulani ya kamari hambayo hairuhusiwa katika uislam kama zilivyo kamari zingine so kamakuna wanaojiita waislam huko wajue wanawekeza kwenye Haramu
 
Ni aina fulani ya kamari hambayo hairuhusiwa katika uislam kama zilivyo kamari zingine so kamakuna wanaojiita waislam huko wajue wanawekeza kwenye Haramu
Acha umasikini wa fikra na kutisha watu..acha watu wasake pesa umasikini baki nao wewe.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ni aina fulani ya kamari hambayo hairuhusiwa katika uislam kama zilivyo kamari zingine so kamakuna wanaojiita waislam huko wajue wanawekeza kwenye Haramu
Unaweza kuelezeq kivipi ni kamari ?
 
Hello bosses kwanza kabisa naomba mods msiedit heading ya huu uzi.

Kumekuwa na wimbi la watu kutoheshimu professions za wengine na hili linabackfire mdg mdg.

Watu wengi siku hz wanadhan kila mtu anaweza kuwa investor wakiongozwa na kaka yao fln kule twitter lkn niwaambieni tu hio ni profession kama profession nyingine na inabidi uisomee ili usijeukakutana na majanga yalowapata wale investors wa hii Luna coin.

Kwanza ntaelezea kwa nn watu walidanganya na wakadanganyika. Kwenye crypto hizi coins bei yake inabadilikabadilika sana so wengi huogopa kuinvest. Sasa akatokea jamaa mmoja anajiita somebody 'Kwon' raia wa korea na muhitimu wa Stanford akabuni coin moja ambayo ilikua pegged kwenye 'stable coin' fln inaitwa UST (Terra USD).

Subiri, najua unaweza kujiuliza stable coin ni nn. Stable coin ni coin ambayo iko in sync na asset au currency ambayo haibadiliki sana value yake (less volatile asset/currency) hivyo kufanya hio coin kuwa stable. Stable coin nyingi zinakua pegged kwenye usd kwa mfano (hadi wiki ilopita) 1UST ilikua ni sawa na 1 USD ($ dollar). So hio inamaanisha value ya hio TerraUSD ni inakua sawa na value ya Dollar. Mfano mwngine wa stable coin maarufu ni Tether (USDT) hii ipo kwenye blockchain ya etherium.

Sasa huyu Kwon akatengeneza coin hii inaitwa Luna ambayo sio stable coin lkn akaipeg na Stable coin hio ya TerraUSD (UST).

So watu wengi wanaojiita investor wa crypto wakaona Luna Coin ni deal coz iko pegged kwenye stable coin(bila kujua how hio UST inavyopata stability yake). So wakanunua na coin ilifika mbali sana last week value ya coin moja ya luna ilikua ni $85.


Kumbe haya mambo yanahitaji utaalam na investors wakurupukaji hawakujua hilo.

Iko hv, nmesema stable coin zinakua pegged na less-volatile assets, so wengi hutumia USD DOLLAR. Mfano value ya USDT inachezea kwenye 1 dollar, na value ya UST (TerraUsd) ilikua inachezea humohumo. Tofauti ni kwamba USDT inatumia Real Dollar Reserve, lkn hii UST inatumia virtual au tuuite 'Algorithmic dollar'. Yaan huyu Kwon alitengeneza mechanism fln kwenye program yake ambayo inatumia bitcoin reserve ili kumantain value ya UST (stable coin anayotumia kubackup Luna).

Sasa kwa wachache walolifahamu hilo walijua kwamba aidha wasiinvest kwenye Luna coz stablecoin yake UST haitumii real Dollar kama zilivyo Tether (USDT) na stable coin nyngne Au watumie strategy kwamba bitcoin ikianza kushuka kwa kasi basi ni muda kwa kuuza Luna coz behind the scenes Luna inategemea Bitcoin.

Lakini wale wanaojidai kujua kila kitu waliposikia Luna iko pegged kwenye stablecoin UST moja kwa moja waka-buy.


So kilichotokea ni kwamba kama ulikua na Luna 1000 last week ungeweza nunua Range mpya ya 2021 na ukabakiza chenji ya kutosha tu ila kama bado unazo leo hii basi hazina tofauti na trash coz hata IST used choka mbaya kutoka japan haupati.

Note::Kuna wanaojipa moyo kuwa Luna itaregain value yake lkn ni kitu ambacho haiwezekani coz madudu yake yashawekwa wazi na issue ya kutumia virtual dollar imewakatisha tamaa sana waloamini Luna coin. Na isitoshe hapa nnavyoongea huyo Kwon 'Aloanzisha Luna' alikua anaomba msaada polisi coz watu walivamia nyumba yake juzi na jana wakimshutumu kuwadanganya khs coin alotengeneza.

Ukipewa ushauri khs kuinvest na mtu fln kuwa makini sana coz kasoma summary ya kitabu thn akatengeneza summary yake ndo akatumia hio summary yake kukyshauri

~Peace
Kali Linux


Stable coin inakuwaje pegged na unstable coin>>luna, btc nk zilikuwa zinatumika kama reserve, kumbuka walinunua btc za dollar bilioni 1.5 na ndio maana baada ya luna kuyumba na wao inasadikika wakajiuzia zao ile reserve ya btc ndio maana market yote ilicrash

Ngoja nikusaidie, kwanza kabisa terraUst walifeli kwenye apy inayotelewa kama incentive kwa stakers, 20% ni kubwa sana kwa stable coin
Kitaalamu mpaka hapo ni tayari ilikuwa ponzi

Pili elewa kabisa kwamba stable coin au most of currency zinazotumika huku kwenye real world zinakuwa pegged against usd
Protocol ilivyokuwa inafanya kazi ni kwa kuhakikisha kila Ust inavyokuwa deppegged against usd inabidi watrade Ust in exchange to 1$ in luna kwa wale waliowahi kufanya arbitrage trade kwa kutumia flash loans watakuwa wananielewa hapa

Tunaposema Ust deppeged from Usd ina maana imeshuka kwa kiwango chake mfano 1Ust = 0.98$
Kwa kila luna ya 1$ atayoipata yule aliyetrade against ust atakuwa na faida ya 0.02$, kwa kufanya hivi unapunguza circulation ya Ust>>>luna mint

Na ikatokea Ust ikapanda zaidi ya 1$ hivyo basi utaruhusiwa kuitrade against 1$ in luna ambapo kwa kila1$ ya luna utapata faida kiasi na hii ilikuwa inaongeza circulation ya Ust kwenye market>>>Ust mint

Kilichotokea ni withdrawal kubwa ya Ust ilifanyika kwenye curve finance na zile ust zilikuwa traded against usdc hii ilileta hofu kwa stakerswa Ust kwenye anchor protocol, hivyo na wao wakaanza kufanya withdrawal kwenye anchor protocol na njia mojawapo ilikuwa ni ya kupitia Ust-luna pair kwa sababu na luna yenyewe tayari inashuka thamani tayari unakuta mtu akitaka apata ile value ya 1$ ya luna inabidi kiwango cha kumint luna kiongezeke na hii ikawa inaongeza circulation ya luna

Ndio maana zote zili collapse kwa mara moja
Uzuri ni kwamba ust ilishuka mpaka 0.38 na ikarudi tena kwenye 0.98$ kwahiyo nna uhakika raia waliokuwa makini walisalimika

Huwezi ukaingia kwenye crypto usipate hasara.Lazima ujifunze kwa njia ngumu ili kesho usirudie makosa pia huwezi ukamsikiliza mtu hivi vyote utafundishwa sokoni na mimi nilijifunzia huko, na mwisho siwezi nikamlaumu ontario maana anajitahidi kusupport portfolio yake
 
Hello bosses kwanza kabisa naomba mods msiedit heading ya huu uzi.

Kumekuwa na wimbi la watu kutoheshimu professions za wengine na hili linabackfire mdg mdg.

Watu wengi siku hz wanadhan kila mtu anaweza kuwa investor wakiongozwa na kaka yao fln kule twitter lkn niwaambieni tu hio ni profession kama profession nyingine na inabidi uisomee ili usijeukakutana na majanga yalowapata wale investors wa hii Luna coin.

Kwanza ntaelezea kwa nn watu walidanganya na wakadanganyika. Kwenye crypto hizi coins bei yake inabadilikabadilika sana so wengi huogopa kuinvest. Sasa akatokea jamaa mmoja anajiita somebody 'Kwon' raia wa korea na muhitimu wa Stanford akabuni coin moja ambayo ilikua pegged kwenye 'stable coin' fln inaitwa UST (Terra USD).

Subiri, najua unaweza kujiuliza stable coin ni nn. Stable coin ni coin ambayo iko in sync na asset au currency ambayo haibadiliki sana value yake (less volatile asset/currency) hivyo kufanya hio coin kuwa stable. Stable coin nyingi zinakua pegged kwenye usd kwa mfano (hadi wiki ilopita) 1UST ilikua ni sawa na 1 USD ($ dollar). So hio inamaanisha value ya hio TerraUSD ni inakua sawa na value ya Dollar. Mfano mwngine wa stable coin maarufu ni Tether (USDT) hii ipo kwenye blockchain ya etherium.

Sasa huyu Kwon akatengeneza coin hii inaitwa Luna ambayo sio stable coin lkn akaipeg na Stable coin hio ya TerraUSD (UST).

So watu wengi wanaojiita investor wa crypto wakaona Luna Coin ni deal coz iko pegged kwenye stable coin(bila kujua how hio UST inavyopata stability yake). So wakanunua na coin ilifika mbali sana last week value ya coin moja ya luna ilikua ni $85.


Kumbe haya mambo yanahitaji utaalam na investors wakurupukaji hawakujua hilo.

Iko hv, nmesema stable coin zinakua pegged na less-volatile assets, so wengi hutumia USD DOLLAR. Mfano value ya USDT inachezea kwenye 1 dollar, na value ya UST (TerraUsd) ilikua inachezea humohumo. Tofauti ni kwamba USDT inatumia Real Dollar Reserve, lkn hii UST inatumia virtual au tuuite 'Algorithmic dollar'. Yaan huyu Kwon alitengeneza mechanism fln kwenye program yake ambayo inatumia bitcoin reserve ili kumantain value ya UST (stable coin anayotumia kubackup Luna).

Sasa kwa wachache walolifahamu hilo walijua kwamba aidha wasiinvest kwenye Luna coz stablecoin yake UST haitumii real Dollar kama zilivyo Tether (USDT) na stable coin nyngne Au watumie strategy kwamba bitcoin ikianza kushuka kwa kasi basi ni muda kwa kuuza Luna coz behind the scenes Luna inategemea Bitcoin.

Lakini wale wanaojidai kujua kila kitu waliposikia Luna iko pegged kwenye stablecoin UST moja kwa moja waka-buy.


So kilichotokea ni kwamba kama ulikua na Luna 1000 last week ungeweza nunua Range mpya ya 2021 na ukabakiza chenji ya kutosha tu ila kama bado unazo leo hii basi hazina tofauti na trash coz hata IST used choka mbaya kutoka japan haupati.

Note::Kuna wanaojipa moyo kuwa Luna itaregain value yake lkn ni kitu ambacho haiwezekani coz madudu yake yashawekwa wazi na issue ya kutumia virtual dollar imewakatisha tamaa sana waloamini Luna coin. Na isitoshe hapa nnavyoongea huyo Kwon 'Aloanzisha Luna' alikua anaomba msaada polisi coz watu walivamia nyumba yake juzi na jana wakimshutumu kuwadanganya khs coin alotengeneza.

Ukipewa ushauri khs kuinvest na mtu fln kuwa makini sana coz kasoma summary ya kitabu thn akatengeneza summary yake ndo akatumia hio summary yake kukyshauri

~Peace
Kali Linux
Wizi tu!! Ni utapeli kitu kama Bill gate akifanyi jua wewe ndo fursa yenyewe!! Akuna Duniani mtu anaweza kudownload mahela kwa kuklick mouse
 
Dahh wabongo tuna shida sana . sasa mkuu badala ya kujibu swali unatoa vijembe[emoji23]

Jamaa na yeye haekewi chochote stable coin inaitwa terraUst lakini kwenye maelezo yake nnaona anaing’ang’ania luna[emoji28][emoji28]
 
Jamaa na yeye haekewi chochote stable coin inaitwa terraUst lakini kwenye maelezo yake nnaona anaing’ang’ania luna[emoji28][emoji28]
Watu kama wewe mnaosoma vitu nusu nusu ndo mnaishia kujiabisha kwa kuongea mambo msoelewa.

Kwenye andiko langu nmesema Luna iko based on UST ambayo ndo Stable coin lkn ni algorithmic based tofauti na USDT, na hio UST ndo inatumika kuwithdraw Luna. Na concept nzima ya Luna ilibase kwamba UST haitokuja kushuka chini ya 1 usd kitu ambacho kimekuja kumaliza Luna baada ya UST kupoteza 1 usd peg. Sasa sijui wewe unaongelea madudu gn, au niquote mahala nliposema uongo. Mambo hamuelewi na bado hamtaki kusoma, anyway hao ndo wabongo

Kwenye Terra blockchain network UST ni sawa na USDT kwenye etherium network na zote zilitengenezwa kuwa stable coins ili kutumika kwenye kuweka na kutoa coin japo UST is no longer. Kwa mlinganisho huo tunaweza sema Luna ni sawa na Tether in their purposes
 
Stable coin inakuwaje pegged na unstable coin>>luna, btc nk zilikuwa zinatumika kama reserve, kumbuka walinunua btc za dollar bilioni 1.5 na ndio maana baada ya luna kuyumba na wao inasadikika wakajiuzia zao ile reserve ya btc ndio maana market yote ilicrash

Ngoja nikusaidie, kwanza kabisa terraUst walifeli kwenye apy inayotelewa kama incentive kwa stakers, 20% ni kubwa sana kwa stable coin
Kitaalamu mpaka hapo ni tayari ilikuwa ponzi

Pili elewa kabisa kwamba stable coin au most of currency zinazotumika huku kwenye real world zinakuwa pegged against usd
Protocol ilivyokuwa inafanya kazi ni kwa kuhakikisha kila Ust inavyokuwa deppegged against usd inabidi watrade Ust in exchange to 1$ in luna kwa wale waliowahi kufanya arbitrage trade kwa kutumia flash loans watakuwa wananielewa hapa

Tunaposema Ust deppeged from Usd ina maana imeshuka kwa kiwango chake mfano 1Ust = 0.98$
Kwa kila luna ya 1$ atayoipata yule aliyetrade against ust atakuwa na faida ya 0.02$, kwa kufanya hivi unapunguza circulation ya Ust>>>luna mint

Na ikatokea Ust ikapanda zaidi ya 1$ hivyo basi utaruhusiwa kuitrade against 1$ in luna ambapo kwa kila1$ ya luna utapata faida kiasi na hii ilikuwa inaongeza circulation ya Ust kwenye market>>>Ust mint

Kilichotokea ni withdrawal kubwa ya Ust ilifanyika kwenye curve finance na zile ust zilikuwa traded against usdc hii ilileta hofu kwa stakerswa Ust kwenye anchor protocol, hivyo na wao wakaanza kufanya withdrawal kwenye anchor protocol na njia mojawapo ilikuwa ni ya kupitia Ust-luna pair kwa sababu na luna yenyewe tayari inashuka thamani tayari unakuta mtu akitaka apata ile value ya 1$ ya luna inabidi kiwango cha kumint luna kiongezeke na hii ikawa inaongeza circulation ya luna

Ndio maana zote zili collapse kwa mara moja
Uzuri ni kwamba ust ilishuka mpaka 0.38 na ikarudi tena kwenye 0.98$ kwahiyo nna uhakika raia waliokuwa makini walisalimika

Huwezi ukaingia kwenye crypto usipate hasara.Lazima ujifunze kwa njia ngumu ili kesho usirudie makosa pia huwezi ukamsikiliza mtu hivi vyote utafundishwa sokoni na mimi nilijifunzia huko, na mwisho siwezi nikamlaumu ontario maana anajitahidi kusupport portfolio yake
Yan umeanza kuandika tu ukaandika trash.

Hivi wewe unajua TerraUSD (UST) ilikua inapataje stability?

Nikusaidie kitu, TerraUSD ni Algorithmic Stable coin. Hio minting unayoelezea hapo ni too fvckin basic, algorithm inayotumika kutoa stability kwa UST iko very complicated but in its core inatumia reserve ya Bitcoin pamoja na crypto nyngne kumantain hio 1 usd peg.

Sasa kama reserve kubwa inayotumika ni ya BTC na btc ikapoteza thamani kiwango kikubwa ghafla unategemea nn kingefuata?, probably ni deppeg coz hata kama wangetumia BTC zao kufanya minting isingesaidia kitu coz BTC ilikua ishapoteza value yake saaana, kilichofuata wajanja wakaanza kuwithdraw Luna na hilo ndo likaongeza majanga zaidi, na ndo maana watu walimfuata kwon hadi kwake wakihofia yy na wengine walianza kuwithdraw Luna baada ya kuona alarming conditions.

Hata mtoto wa darasa la nne ukimuelezea hivo ataelewa. Sasa wewe unakuja hapa unajaza terms nyiiingi zisizo za lazima kuelezea namna ambayo hauelewi unachoelezea, pathethic......

Anyway kama ukiniquote tena ongea point, sio upuuzi uloandika hapo juu
 
Mkuu hawa ndio wanatuhumiwa kuiletea majanga hii coin
Watu walinunua wakawahi ku-sell in bulk af jamaa ndo anakuja kuwatolea mfano hapa, anadhan wana capital ya usd 1000. Hawa walijua Luna ni kitu gn haswa ndo maana walikua macho na ku-act on time
 
lunac.png


🙂
 
Kama ulifanya Notcoin ukapata Hela ya kula ukafanya Dogs ukapata Hela ya simu mpya basi njoo ufanye hii mpya ujipate kimaisha this time tunaifanya 100% na kwa atayekosa 1,000$+ basi huyo kamwe sio mpambanaji


Project zote mbili zimeletwa na timu hiyo hiyo ambayo imepika mchongo huu basi join chap then kaa nasi tukupe mbinu za kukusanya mkwanja mrefu


Join kupitia hii link na si nyingine kuwa makini na fake links

 
Back
Top Bottom