Cryptocurrency ya Kiislam yaingia Sokoni

Cryptocurrency ya Kiislam yaingia Sokoni

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Maisha yanaenda kwa kasi ya wastani wa mwendo wa jongoo wala siyo farasi.

Cryptocurrency sijui zile Bitcoin na nyingine nyingi tu zimeletwa zikiwa na makusudi ya kuifanya dunia kuwa sehemu salama hasa kwenye matumizi ya fedha isiyo na mipaka.

Screenshot_2023_0220_082439.jpg

Baadhi ya watu wanaona hizi pesa za kidigitali ni uwizi wa kisomi kwa wale wasioelewa nje/ndani na kuamua kuuponda.


Kadharika, dhamira ya kimataifa ya jamii ya kiislam imeona isibaki nyuma na sasa imeamua kuleta fedha ya kidigitali kwa ajili ya jamaa ya kiislam na ambayo haitakuwa na makato, ushuru wala zile kero nyenginezo mnazozifahm.

Islamic Coin (unaweza kuiita hivyo) au Sarafu ya Kiislamu, kwa muktadha ya uialam ni Haramu?.

Naweza kusema HAPANA kwa sababu hakuna mahali katika Quran ambapo sarafu ya kidijitali ilipendekezwa au kuzuiwa ni mawazo tu!.

ISLM itawezesha jumuiya ya Kiislamu duniani kwa kutumia kifedha hiyo itauwezesha umma kufanya miamala na mwingiliano bila conflict of boundaries huku ikiunga mkono uvumbuzi na uhisani kutoka mahala tofauti duniani.
 
Tukiwaambia dini zote ni biashara muwe mnaelewa. Ni kwamba kila mtu anataka amiliki dini ili afanye biashara kwa msingi wa dini na kupiga pesa.

 
Maisha yanaenda kwa kasi ya wastani wa mwendo wa jongoo wala siyo farasi.

Cryptocurrency sijui zile Bitcoin na nyingine nyingi tu zimeletwa zikiwa na makusudi ya kuifanya dunia kuwa sehemu salama hasa kwenye matumizi ya fedha isiyo na mipaka.

View attachment 2523755
Baadhi ya watu wanaona hizi pesa za kidigitali ni uwizi wa kisomi kwa wale wasioelewa nje/ndani na kuamua kuuponda.


Kadharika, dhamira ya kimataifa ya jamii ya kiislam imeona isibaki nyuma na sasa imeamua kuleta fedha ya kidigitali kwa ajili ya jamaa ya kiislam na ambayo haitakuwa na makato, ushuru wala zile kero nyenginezo mnazozifahm.

Islamic Coin (unaweza kuiita hivyo) au Sarafu ya Kiislamu, kwa muktadha ya uialam ni Haramu?.

Naweza kusema HAPANA kwa sababu hakuna mahali katika Quran ambapo sarafu ya kidijitali ilipendekezwa au kuzuiwa ni mawazo tu!.

ISLM itawezesha jumuiya ya Kiislamu duniani kwa kutumia kifedha hiyo itauwezesha umma kufanya miamala na mwingiliano bila conflict of boundaries huku ikiunga mkono uvumbuzi na uhisani kutoka mahala tofauti duniani.
Inauzwa au kupatikana kwenye platform gani?
 
Hahaha mimi ni mkristo lakini hapo ndugu zangu wapendwa waislam mtaangukia pua vizuri mno, nyie zifakamieni izo currency ndio mtajua hamjui..jamaa wameingia kwa gia ya islam crypto wakiamini islam ni kubwa na islam supports each other..hizi crypto ni muhimu kuzidadisi sana kabla ya kununua coins Brazilians wanaibia watu sana kwenye hizi mambo..by the way walionunua bitcoins miaka kumi iliyopita ni matajiri maana kwa sasa I coin inaenda kwa USD22000.
 
Maisha yanaenda kwa kasi ya wastani wa mwendo wa jongoo wala siyo farasi.

Cryptocurrency sijui zile Bitcoin na nyingine nyingi tu zimeletwa zikiwa na makusudi ya kuifanya dunia kuwa sehemu salama hasa kwenye matumizi ya fedha isiyo na mipaka.

View attachment 2523755
Baadhi ya watu wanaona hizi pesa za kidigitali ni uwizi wa kisomi kwa wale wasioelewa nje/ndani na kuamua kuuponda.


Kadharika, dhamira ya kimataifa ya jamii ya kiislam imeona isibaki nyuma na sasa imeamua kuleta fedha ya kidigitali kwa ajili ya jamaa ya kiislam na ambayo haitakuwa na makato, ushuru wala zile kero nyenginezo mnazozifahm.

Islamic Coin (unaweza kuiita hivyo) au Sarafu ya Kiislamu, kwa muktadha ya uialam ni Haramu?.

Naweza kusema HAPANA kwa sababu hakuna mahali katika Quran ambapo sarafu ya kidijitali ilipendekezwa au kuzuiwa ni mawazo tu!.

ISLM itawezesha jumuiya ya Kiislamu duniani kwa kutumia kifedha hiyo itauwezesha umma kufanya miamala na mwingiliano bila conflict of boundaries huku ikiunga mkono uvumbuzi na uhisani kutoka mahala tofauti duniani.
Huu ni upumbavu tu hakuna kitu kma hichi
 
Huu ni upumbavu tu hakuna kitu kma hichi
Mkuu hiko kitu kipo nilifuatilia nimeona watu wapo serious na hii kitu, tena wengine ni wenye hiyo dini kutoka Saudia hadi Makka!.
 
Mkuu hiko kitu kipo nilifuatilia nimeona watu wapo serious na hii kitu, tena wengine ni wenye hiyo dini kutoka Saudia hadi Makka!.
Mkuu siku hizi watu wazushi wapo wengi sanaa na wakitaka kuhalalisha kitu huongezea ISLAMIC
Yni hawa wao wameweka maslahi ya kidunia mbele mnoo

Mkuu hlf watu kufuatilia kutoka Saudia sio hoja, hoja ni kwamba Uislamu unaruhusu hizi mambo?
Mfano juzi kati kule Saudia watu walishetekea halloween sasa kwa mnasaba huo unataka kusema Uislamu unaruhusu ivo?

Saivi Waislamu wengi wameamka wameacha kuwafuata masheikh ubwabwa saivi watu wanasoma huwezi kuwaburuza kama zamani.
 
Tukiwaambia dini zote ni biashara muwe mnaelewa. Ni kwamba kila mtu anataka amiliki dini ili afanye biashara kwa msingi wa dini na kupiga pesa.

Ngoja waje hawa wenye dini ya kweli uone [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Saivi Waislamu wengi wameamka wameacha kuwafuata masheikh ubwabwa saivi watu wanasoma huwezi kuwaburuza kama zamani.
😂😂😂😂 UBWABWA!.
 
Back
Top Bottom