CUF kupeleka katiba kwa maandamano

CUF kupeleka katiba kwa maandamano

Tunamjua ndiyo maana hatumpi nafasi kaingia choo cha kike atakimbia mwenyewe, kama ndiye wamemwona anaweza kutuchanganya JF wamekosea kuchagua hajui hata kujenga hoja anakuja na hoja za kulazimisha, kwanza katiba iko kwenye track hawawezi kuizuia bora wangekuja na vifungu fulani wanavyotaka viwemo kuliko kuzuia ujio wa katiba yenyewe.

Duu! hofu zenu...endeleeni kudai mkipata sawa msipopata sawa tu..

for your information: Katiba vifungu fulani tu vitabadilishwa kukidhi haja lakini katiba mpya baadaye 2015...

Hatuna muda wa kugharamia paper work tukaacha kazi nyeti za kujenga barabara..
 
Mwenyekiti wa CUF, Prof. Lipumba amesema chama chake kitawasilisha kwa Waziri wa Sheria na Katiba, Celina Kombani, nakala ya rasimu sifuri ya mapendekezo ya Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Desemba 28 mwaka huu kwa maandamano ya amani yatakayoanzia Buguruni.

Kihelehele cha nini!!! Hiyo ni katiba inayokidhi matakwa ya ccm B (cuf). Katiba tunayoitaka ni ile iliyotokana na matakwa ya watanzania wote.
 
Kila moja wetu anafaidika na katiba iliyopo kwakuwa inatumika sasa kwa wote right?

Katiba ya zamani imetupatia yote, jibu hapana naamini hata mpya haitowezi kutupatia yote right?

Katiba ya zamani ina uoungufu jibu ndiyo..kwanini isiwe na upungufu kwani msahafu huu?

Tufanye...tufanye marekebisho bila gharama kubwa

Sababu: pesa zitumike kwa yale niliyoyataja hapo juu!

Zaidi: naona mnapenda kuiga oh kenya, so what? Kenya ni Kenya Tanzania ni Tanzania..nadhani nimekujibu.
Mlichelewa wapi kuja, huwezi kuzuia mvua kunyesha bora mtafute pa kujikinga (bora mjiandae kuzuia vifungu fulani fulani kuliko kuzuia ujio wa katiba mpya it is a westage of time and resource).
 
Inaendelea kushangaza pale "wanaharakati" wa JF wanavyoendelea kushambuliana wenyewe kwa wenyewe ati kisa fulani CUF fulani Chadema. Bandugu amkeni, adui yetu namba moja na watawala wa nchi hii almaarufu kwa jina la CCM. Tuungane bila kujali tofauti ya itikadi zetu, wenzetu Kenya waliliona hili na wakaweka petty squabbles pembeni.
 
Kihelehele cha ccm B (cuf) hicho. Tunachotaka ni katiba iliyotokana na mawazo ya wananchi siyo mawazo ya ccm B peke yake.
 
Duu! hofu zenu...endeleeni kudai mkipata sawa msipopata sawa tu..

for your information: Katiba vifungu fulani tu vitabadilishwa kukidhi haja lakini katiba mpya baadaye 2015...

Hatuna muda wa kugharamia paper work tukaacha kazi nyeti za kujenga barabara..
Kelele za mtapataji mara hatuna hela mara hatuna muda mara vifungu tu vitabadilishwa mara....................safari hii mtasema yote huwezi kuziba mvuke kwa kidole.
 
Mlichelewa wapi kuja, huwezi kuzuia mvua kunyesha bora mtafute pa kujikinga (bora mjiandae kuzuia vifungu fulani fulani kuliko kuzuia ujio wa katiba mpya it is a westage of time and resource).

We have all mandate from wananchi (62%) tunaweza kufanya au tunaweza tusifanye mpaka 2015 bila hata kuulizwa, kulazimishwa, na taasisi yoyote,

Kwakuwa sisi waungwana na nyie watoto wetu pia (mnalia sana) tutaangalia vipengele fulani fulani tutavirekebisha halafu najua mtarizika sawa mkuu...

Kama hamriziki tutakutana 2015 kwa wananchi...tutashindana mkishanda well and good andaeni katiba mpya, tukishinda tutaangalia vipengele tu vinavyo leta kelele..

Tuko huru, tumedai wenyewe uhuru, tutafanya tutakavyo sawa bwana mdogo.
 
Kelele za mtapataji mara hatuna hela mara hatuna muda mara vifungu tu vitabadilishwa mara....................safari hii mtasema yote huwezi kuziba mvuke kwa kidole.

Uhuru wa kufanya lolote tunao, na pia uhuru wa kusema lolote tunao...tumeshika mpini...au bado hufahamu.
 
We have all mandate from wananchi (62%) tunaweza kufanya au tunaweza tusifanye mpaka 2015 bila hata kuulizwa, kulazimishwa, na taasisi yoyote,
Which mandate ya NEC, 60% of who casted their votes (8,000,000) equivalent to 12% of 40mil. Tanzanians where is the mandate. Zaidi ya asilimia 80 ya watanzania mnaiweka upande gani.
 
Which mandate ya NEC, 60% of who casted their votes (8,000,000) equivalent to 12% of 40mil. Tanzanians where is the mandate. Zaidi ya asilimia 80 ya watanzania mnaiweka upande gani.

Asimilia 80% ni wale wasio na upande wowote bendera fuata upepo..angekuwepo Slaa sawa, Lipumba Sawa, JK sawa

Na wanamkubali Rais wa wananchi wa Tanzania JK, siyo Rais wa wana Chadema Slaa (except Zitto et.al)
 
Asimilia 80% ni wale wasio na upande wowote bendera fuata upepo..angekuwepo Slaa sawa, Lipumba Sawa, JK sawa

Na wanamkubali Rais wa wananchi wa Tanzania JK, siyo Rais wa wana Chadema Slaa (except Zitto et.al)
Kumbe unataka ligi tu ngoja niende nawe ki MS maana sioni unachoongea.
 
Hawa vilaza tu nao utashangaa wameshapewa ruksa ya maandamano hapo, sasa kwani mchalato wa katiba umeshaanza mpaka wapele kwa Waziri? Na waziri naye atapokea hayo maandamano? Mi nawaambieni wakati watu wengi wanaona katiba mpya ni suluhisho ya mengi lakini CCM na CUF wao wanakubali mchalato kwani wanataka kuweka maslahi yao humo ndani ya katiba na hasa swala la kutotambuliwa serikali ya muafaka ya Zanzibar na ankol wao Seif
 
Kila moja wetu anafaidika na katiba iliyopo kwakuwa inatumika sasa kwa wote right?

Katiba ya zamani imetupatia yote, jibu hapana naamini hata mpya haitowezi kutupatia yote right?

Katiba ya zamani ina uoungufu jibu ndiyo..kwanini isiwe na upungufu kwani msahafu huu?

Tufanye...tufanye marekebisho bila gharama kubwa

Sababu: pesa zitumike kwa yale niliyoyataja hapo juu!

Zaidi: naona mnapenda kuiga oh kenya, so what? Kenya ni Kenya Tanzania ni Tanzania..nadhani nimekujibu.
Mkuu,

Pesa si sababu kabisa katika hili. Hebu tupe makisio ya fedha zinazohitajika kuandaa katiba mpya. Na break down yake
,
Ikiwa serikali inauwezo wa kununua magari mepya kila leo, kuilipa dowans, kutoa misaaha ya kodi kiholela,kulipa mishahara,posho na viinua mgongo vikubwa kwa wabunge, fedha ya EPA. Kukubali asilimia 3 kwenye madini.

Hela haiwezi kuwa kisingizio hata kidogo.
Hata hivyo,ikiwa ni kweli serikani haina,wananchi wako tayari kuchangia katika hili.

Ukweli utabaki ni kuwa serikali, na hapa unazungumzia CCM hawaoni tija,haja ya katiba mpya kwa sababu hii iliyopo inawanufaisha wao kubaki madarakani.

Nimekuomba iniorodheshee faida na mapungufu ya hii katiba inayotumika sasa.

Na hapo nilipopigia msitari unamaanisha nini?

Jee unaelewa kuwa madai,kilio cha katiba mpya kina zaidi ya miaka 15 sasa?
 
Mkuu,

Pesa si sababu kabisa katika hili. Hebu tupe makisio ya fedha zinazohitajika kuandaa katiba mpya. Na break down yake
,
Ikiwa serikali inauwezo wa kununua magari mepya kila leo, kuilipa dowans, kutoa misaaha ya kodi kiholela,kulipa mishahara,posho na viinua mgongo vikubwa kwa wabunge, fedha ya EPA. Kukubali asilimia 3 kwenye madini.

Hela haiwezi kuwa kisingizio hata kidogo.
Hata hivyo,ikiwa ni kweli serikani haina,wananchi wako tayari kuchangia katika hili.

Ukweli utabaki ni kuwa serikali, na hapa unazungumzia CCM hawaoni tija,haja ya katiba mpya kwa sababu hii iliyopo inawanufaisha wao kubaki madarakani.

Nimekuomba iniorodheshee faida na mapungufu ya hii katiba inayotumika sasa.

Na hapo nilipopigia msitari unamaanisha nini?

Jee unaelewa kuwa madai,kilio cha katiba mpya kina zaidi ya miaka 15 sasa?
Wanamlipa Rostam Bil.185 wanashindwa kugharamia katiba akili matope, na Rostam (mbunge wa tanzania) akikubali kupokea hizo pesa ili awafilisi watanzania nitamwona mbunge feki hopeless maradufu hana mapenzi na Tanzania.
 
Niliwahi kusema katika thread mojawapo kuwa "UKIFIKA MAHALA UNASUSIA MAMBO MUHIMU YANAYOGUSA MUSTAKABALI WA NCHI HATA YALE YASIO NA UHUSIANO NA SIASA KAMA SHEREHE ZA UHURU BASI UNAKARIBISHA JAMII NA HASA VYOMBO VYA UTAWALA KUWA NA NEGATIVE ATTITUDE AGAINST YOU". HIVYO CHADEMA WASITARAJIE MTEREMKO KATIKA MAMBO YAO. KUNA CHUKI WALIYOITENGENEZA NA MATUNDA YAKE NDIO HAYO. PIA HUWEZI KWENDA KINYUME NA TARATIBU NA SHERIA ZILIZOWEKWA HALAFU UKASUBIRI PUBLIC SYMPATHY. SOMETIMES IF YOU CAN'T FIGHT 'EM THEN JOIN 'EM.
CUF WANAFUATA TARATIBU NA SHERIA LAKINI PIA WAMEPATA KIBALI KWA WATAWALA KWANI WATAWALA WAMEJIFUNZA SIASA ZA KIISTAARABU KUTOKA CUF. HISTORIA IKO WAZI. HATA MBIU YA CUF YA HAKIIIIIIIIIIIIIIIIII. ASIYETAKA HAKIII??????????/ AELIMISHWE. HII NI KAULI MBIU YA KIISTAARABU ZAIDI KULIKO ILI YA PEOPLES??????????????? POWER!!!!!!!!!! AMBAYO IMEKAA KISHARISHARI.
BINAFSI NAAMINI KATIKA SIASA ZIPO MBINU NYINGI ZA KUFIKIA MALENGO LAKINI PIA TUNAHITAJI VIONGOZI WENYE UONI MPANA KATIKA KUYAENDEA MAMBO.
CUF WALIANZISHA MJADALA WA KATIBA MPYA NA WAKAANDAA RASIMU YA KATIBA HIYO. SIJAONA CHAMA KINGINE KILICHOANDAA RASIMU HIYO ZAIDI YA KELELE ZA MTAANI ZISIZOKUWA NA NATIJA KUBWA.
TUUNGANE KATIKA MAMBO YA MSINGI NA TUWE WASHIRIKI NA SIO WASHABIKI.
 
sheria mama ndio..naona kama kibwagizo ambacho wajinga fulani wameombwa kuimba nao wakaanza kuimba...

Katiba haina tija Tanzania, iliyopo tu ikifuatwa vizuri inatosha kuleta tija..issue ni kwamba haifuatwi na hakuna anayeweza kuhoji.

Mkuu,
Hapo red!
Hawa ni akina nani? Na ni nani anawaomba waimbe?

"Katiba iliyopo ikifuatwa vizuri", nani anatakakiwa afanye hivyo? CCM? Serikali? nani hasa?
Kama hawawajibiki nani awachukulie hatua?
 
Wait a minute!

Katiba mpya italeta umeme vijijini na mjini

Katiba mpya italeta barabara mjini na vijijini

Katiba italeta bei za mazao ya wakulima vijijini

au ni:-
Mgawanyiko wa madaraka na jinsi ya kuchagua PM, Waziri, yaani siasa kula/kura

Jengeni hayo mambo kwanza kabla ya kimbelembele ya kufuata mkumbo kwa jambo lisilo na tija

Pole sana. Tatizo la humu jf kuna vilaza ambao hawajui hata namna nchi inavyoendeshwa. Nina mashaka na kiwango chako cha elimu. Nahisi hata kidato cha nne hujafika. Kama ulifika basi kama kawaida ya watanzania lazima ulichakachua. Kama huelewi katiba ni nini basi kaa kimya endelea na shughuli zako zingine. Usijiabishe bure.
 
Niliwahi kusema katika thread mojawapo kuwa "UKIFIKA MAHALA UNASUSIA MAMBO MUHIMU YANAYOGUSA MUSTAKABALI WA NCHI HATA YALE YASIO NA UHUSIANO NA SIASA KAMA SHEREHE ZA UHURU BASI UNAKARIBISHA JAMII NA HASA VYOMBO VYA UTAWALA KUWA NA NEGATIVE ATTITUDE AGAINST YOU". HIVYO CHADEMA WASITARAJIE MTEREMKO KATIKA MAMBO YAO. KUNA CHUKI WALIYOITENGENEZA NA MATUNDA YAKE NDIO HAYO. PIA HUWEZI KWENDA KINYUME NA TARATIBU NA SHERIA ZILIZOWEKWA HALAFU UKASUBIRI PUBLIC SYMPATHY. SOMETIMES IF YOU CAN'T FIGHT 'EM THEN JOIN 'EM.
CUF WANAFUATA TARATIBU NA SHERIA LAKINI PIA WAMEPATA KIBALI KWA WATAWALA KWANI WATAWALA WAMEJIFUNZA SIASA ZA KIISTAARABU KUTOKA CUF. HISTORIA IKO WAZI. HATA MBIU YA CUF YA HAKIIIIIIIIIIIIIIIIII. ASIYETAKA HAKIII??????????/ AELIMISHWE. HII NI KAULI MBIU YA KIISTAARABU ZAIDI KULIKO ILI YA PEOPLES??????????????? POWER!!!!!!!!!! AMBAYO IMEKAA KISHARISHARI.
BINAFSI NAAMINI KATIKA SIASA ZIPO MBINU NYINGI ZA KUFIKIA MALENGO LAKINI PIA TUNAHITAJI VIONGOZI WENYE UONI MPANA KATIKA KUYAENDEA MAMBO.
CUF WALIANZISHA MJADALA WA KATIBA MPYA NA WAKAANDAA RASIMU YA KATIBA HIYO. SIJAONA CHAMA KINGINE KILICHOANDAA RASIMU HIYO ZAIDI YA KELELE ZA MTAANI ZISIZOKUWA NA NATIJA KUBWA.
TUUNGANE KATIKA MAMBO YA MSINGI NA TUWE WASHIRIKI NA SIO WASHABIKI.
Umenifurahisha sana kwenye bold kuwa watawala wamejifunza ustaarabu wa CUF wa JINO KWA JINO au NGUNGULI na NGANGARI.

Haki sawa!!!!!!!!!!!!! asiyetaka haki!!!!!!!!!!!!!! ya kistaarabu
Peoples!!!!!!!!!!!!!!! Power!!!!!!!!!!!!!!!!! ya kisharishari,

labda niseme tu hujui maana ya peoples power kwa kiswahili.

Kwa taarifa yako pamoja na kauli mbiu ya kistaarabu ya CUF wakaambulia kura kiduchu wakazidiwa na kauli mbiu ya kisharishari ya Peoples Power.
 
Uhuru wa kufanya lolote tunao, na pia uhuru wa kusema lolote tunao...tumeshika mpini...au bado hufahamu.


Mkuu,

Hivi wewe ni kundi lipi?

Hili?... sasa ninakuelewa kwa hoja zako!!
Karibu shamba la bibi. vuna utakacho,upendacho.
Usisahau kuwapelekea na huko vijijini, Mkuu!!
 
Back
Top Bottom