CUF kupeleka katiba kwa maandamano

Kama ambavyo mimi sioni chochote unachoongea..ndio uzuri wa uhuru wenyewe.
Huna lolote ni mlamba makombo ya waarabu tu wewe mnanyang'anyana mifupa ya kina RA kama m..............a.
 

Fedha hata kama ni kidogo, kuna haja ya kutumia vibaya?

Hiyo katiba mpya mnayoidai itatusaidia nini? hasa vile vipengele nilivyovitaja hapo juu

Ukinitajia katiba mpya inatusaidia nini? labda nitafikiria kuangalia hata hayo mapungufu yaliyopo kwenye katiba ya sasa

Mtazamo wangu ni kuwa ni fashion tu siasa za fashion ..ikishapita hii fashion ya kudai katiba

Mtaimbishiwa wimbo mwingine poleni...
 
Huna lolote wewe nimeshakuona ni kapuku tu debe tupu hata waliokutuma huwasaidii kitu.
 
Huna lolote ni mlamba makombo ya waarabu tu wewe mnanyang'anyana mifupa ya kina RA kama m..............a.

Yamekuwa hayo mkuu, kweli uhuru una raha zake mwisho wako wa kufikiri ni kuporomosha...pole

Hata mimi najua huna lolote ni mlamba makombo ya wachagga tu wewe mnanyang'anyana mifupa na kina mbowe ....
 
Mkuu,

Hivi wewe ni kundi lipi?

Hili?... sasa ninakuelewa kwa hoja zako!!
Karibu shamba la bibi. vuna utakacho,upendacho.
Usisahau kuwapelekea na huko vijijini, Mkuu!!

Kundi la watanzania wapiga kura wanaoamini katika uhuru, kushindana kwa hoja, na kukubali kushindwa.

Tunavuna kikatiba tu wala hatuna wasix2
 

Hivi PEOPLES POWER na JINO KWA JINO ipi imekaa kishari?
 
Yamekuwa hayo mkuu, kweli uhuru una raha zake mwisho wako wa kufikiri ni kuporomosha...pole

Hata mimi najua huna lolote ni mlamba makombo ya wachagga tu wewe mnanyang'anyana mifupa na kina mbowe ....
RA atakapoishiwa mifupa na kuhamia IRAN kwao sijui utamfuata.
 
Kundi la watanzania wapiga kura wanaoamini katika uhuru, kushindana kwa hoja, na kukubali kushindwa.

Tunavuna kikatiba tu wala hatuna wasix2

Hongera, and good luck! Topical.
 
Hivi CUF toka wameanza kuandamana miaka yote wamefanikisha lipi? Kama ni muafaka lilikuwa suala la CCM kuwaibia ushindi kilaini tuu wala sio kuwa walipigania sana. Moto wa Katiba mpya umekuja juu sasa na kila mtu anajua sababu yake. Hakuna mtu anaweza ku-hijack haya mambo.
 
Kama ambavyo mimi sioni chochote unachoongea..ndio uzuri wa uhuru wenyewe.
Mimi ni kinyonga nikikutana na mpuuzi najibu kipuuzi dawa chizi ni kujifanya na wewe chizi.
 
Mimi ni kinyonga nikikutana na mpuuzi najibu kipuuzi dawa chizi ni kujifanya na wewe chizi.

upuuzi ni subjective...

maandamano ni uchizi fulani

Anyway hata machizi hupenda kuwaambia wenye akili zao chizi..sishangai, besides ndio raha ya uhuru wa keyboard.
 

Ni fashion ambayo cdm imeanza kuiga kwa kasi sana...
 
RA atakapoishiwa mifupa na kuhamia IRAN kwao sijui utamfuata.

You can be better than this argument,

Die hard cdm wanaamini katika kulazimisha na kupakana matope

Mfano nikisema Slaa atakapoishiwa na kuhamia vatican city sijui utamfuata.
 
You can be better than this argument,

Die hard cdm wanaamini katika kulazimisha na kupakana matope

Mfano nikisema Slaa atakapoishiwa na kuhamia vatican city sijui utamfuata.
Slaa ni mtanzania haendi popote si kuwadi wako m Iran RA anayetaka tumlipe Bil. 185 aondoke, shame on him and his suppoters like you.
 
You can be better than this argument,

Die hard cdm wanaamini katika kulazimisha na kupakana matope

Mfano nikisema Slaa atakapoishiwa na kuhamia vatican city sijui utamfuata.

Topical.....aka martyrdom .... bora urudi kule kule Kandahar... ukamsaidie Dr. Al Zawahiri kuhubiri hate and brutality..... ur very blatant and militant
 
RA ni Mtanzania mzaliwa wa Tabora haendi kokote watch ubaguzi wa rangi utakuumiza bure

Tanzania wengi wetu tuko beyond those colour/race issue

Wafanyakazi wa Tanesco weusi kama mkaa, wasomi wa udsm ndio wameingia dili chafu kwa kalamu zao na vyeo vyao bila kulazimishwa

Kama mzalendo kweli ondoa ngeleja, mhando etc...
 
Ingawa napinga dili lolote baya lakini ni heri kuliwa na mweusi na kujenga Hotel Ngorongoro naweza kuomba hata kazi ya kufagia kuliko kumpa m Iran na kuwekeza kwao.
 
Ingawa napinga dili lolote baya lakini ni heri kuliwa na mweusi na kujenga Hotel Ngorongoro naweza kuomba hata kazi ya kufagia kuliko kumpa m Iran na kuwekeza kwao.

Kwa hiyo EL alivyopakua sawa tu siyo, Liyumba sawa na hata bilal sawa tu...kazi kwelikweli

Ndio maana mapambano yenu cdm yenye malengo ya kibaguzi hayatafika mbali..ni illusion tu.

Back to topic faida za katiba mpya vs katiba iliyopo...
 

Kaka umesahau kitu kimoja simple sana "Umoja ni Nguvu, utengano ni udhaifu" Think ctrically, na nadhani hilo ndilo CCM wanalitaka hilo sana
 
Topical.....aka martyrdom .... bora urudi kule kule Kandahar... ukamsaidie Dr. Al Zawahiri kuhubiri hate and brutality..... ur very blatant and militant

Haisaidii kusema yasiyoni husu..

I stand for peacefull movement, siyo maandamano as if nchi hii hakuna viongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…