Elections 2015 CUF kushiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar si hiyari, Ni lazima! Vinginevyo, huo ndio mwisho wake

Elections 2015 CUF kushiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar si hiyari, Ni lazima! Vinginevyo, huo ndio mwisho wake

kifupi si pemba tu ata hapa unguja ccm inafosi watu kuipenda na mwisho ya yote ni hatari kubwa ya machafuko inayoinyemelea zanzibar
 
Wanabodi, baada ya kutangazwa tarehe ya uchaguzi wa marudio visiwani Zanzibar, kuna watu wanadhani Chama cha Wananchi CUF, kina hiyari ya kushiriki uchaguzi huo au kutoshiriki, as if kushiriki uchaguzi wa marudio ni jambo la hiyari!, no way!, watakuwa wanajidanya!. CUF hakina option yoyote ya kuamua ama ishiriki ama isishiriki uchaguzi huo, kwa sababu ushiriki wa uchaguzi wa marudio sio suala la option bali ni jambo la lazima, watake wasitake ni lazima washiriki, kwa sababu kila kitu kiko vile vile kama mwanzo!, nikimaanisha hata wakisusa, picha na majina ya wagombea wao yatakuwepo kwenye karatasi za kura!.

Wenye option ya kuamua kushiriki au kutoshiriki uchaguzi huo ni wapiga kura, ndio wanaweza kuamua ama kujitokeza kushiriki kupiga kura, au kususa kupiga kura kwa kutokujitokeza, na mgombea hata kama atapata kura moja ya ndio, ndio atatangazwa mshindi!, hivyo kupiga kura au kutopiga kura ndio bado ni option!, lakini kushiriki uchaguzi huo sio option ni jambo la lazima!.

Iwapo CUF itatangaza kususia uchaguzi huo, tangazo hilo ndilo litakuwa tangazo rasmi la kifo rasmi cha kilichokuwa kinaitwa Chama cha Wananchi CUF, kwa sababu, ngome kuu ya CUF ni Pemba, kususia uchaguzi ni kuipoteza Pemba ambapo na ngome kuu ikiishakuangua, it is just a matter of time, chama chenyewe chote kielekee kaburini!.

Hata kama CUF watatangaza kususa, majina ya wagombea wa CUF tayari yako kwenye karatasi za kura katika uchaguzi huo, hivyo wakitangaza kususa, maana ni wagombea wa CUF hawatachaguliwa, hivyo kuipatia CCM ushindi wa mezani, ikiwemo kuitwaa ngome ya CUF kule Pemba na kuivunja uti wake wa mgongo, kwa CCM kuvitwaa viti vyote vya Uwakilishi Zanzibar na Pemba, ambapo pia huo ndio utakuwa mwisho wa SUK na CCM kutawala peke yake na kuhitimishwa kwa kifo rasmi cha chama cha wananachi, CUF!.

Nakiri kupandisha uzi huu kufuatia bandiko la mwana jf huyu


Hoja katika badhiko hilo mi kitisho cha CUF kuwa kisiposhiriki, hali ya amani na utulivu wa visiwa vya Zanzibar, utakuwa mashakani!. Maadam Zanzibarr sio nchi bali ni sehemu ya JMT, dhima ya muungano, ni undungu wa asili kati ya watu wa Tanganyika na watu wa Zanzibar, lakini sababu halisi ya muungano ni kuipatia Zanzibar ulinzi na usalama, Zanzibar haina polisi wala jeshi, hivyo jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Zanzibar tuu, bali ni jukumu la JMT, haiwezekani sehemu moja ya JMT iwe katika hali tete, wakati JMT ni nchi moja, ulinzi na usalama wa JMT utakuwa mikononi mwa JMT!.

Hivyo CUF washiriki uchaguzi huu wa marudio, au wasishiriki kwa kuususia, it will not make any difference kwenye amani na utulivu wa Zanzibar kwa sababu jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Wanzanzibari wenyewe pekee, bali pia ni jukumu la serikali ya JMT, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, Dr. Joh Pombe Magufuli!.

Zanzibar kama sehemu ya JMT, inayo assuarance ya Amri Jeshi Mkuu wa JMT, kuhakikisha kuwa Uchaguzi wa marudio wa Zanzibar, uliotangazwa, utafanyika kwa uhuru, amani, usalama na utulivu, mshindi atapatikana kwa haki, atatangazwa, ataapishwa na kuunda serikali nyingine ya Zanzibar yenye jina la SUK lakini wawakilishi wa CUF kuendelea kuitawala Zanzibar kwa uhuru na amani kabisa bila`wasiwasi wowote kwa ile falsafa ya kule ya Mapinduzi Daima!.

Demokasia ya kweli ni serikali ya watu, inayoongozwa na watu kwa manufaa ya watu hao!, (of the people, by the people, and for the people), ila demokasia hiyo haikuwe kiwango cha asilimia ya watu hao!, hivyo hata kama nchi ina watu milioni moja, serikali ikachaguliwa na watu 10 tuu, bado serikali hiyo itakuwa ni serikali halali kisheria, japo itakosa peoples legitimacy, kwa watu hao ndio watakuwa wametumia haki yao ya kidemokrasia kwa kutokupiga kura!.


Kushiriki uchaguzi wowote, kwa kugombea nafasi yoyote ni hiyari, pia kuamua kutokushiriki katika uchaguzi pia ni hiyari, sambamba na kujiandikisha kupiga kura ni hiyari, kutokujiandikisha pia ni hiyari, na kujiandikisha kupiga kura na kisha kuamua kutokupiga kura pia ni hiyari, zote hizo ni demokrasia.Kama CUF itawashawishi wafuasi wake kususia uchaguzi huo, hiyo itakuwa ndio demokrasia yao!.

Kitendo cha CUF kushiriki uchaguzi wa mwanzo kunaifanya CUF ni lazima ishiriki uchaguzi wa marudio sio kwa hiyari ua kwa kupenda, bali ipende, isipende, ni lazima ishiriki uchaguzi huo!.

Hapa hakuna suala la choice. Na iwapo CUF watasusa kushiriki uchaguzi huo wa marudio, kususa huko kutakuwa ni kususa batili kwa sabu picha na majina ya wagombea wa CUF yataendelea kuwepo kwenye karatasi za kura!, hivyo kususa huko ndiko kutakao ipatia CCM ushindi wa mezani, tena this time CCM itashinda viti vyote vya uwakilishi Unguja na Pemba, na huu ndio utakuwa mwisho rasmi wa CUF. Kamwe CUF isikubali kuingia katika mtego wa kususia uchaguzi wa marudio!.

Turufu ya CUF kutishia kususa ni kwa kisingizio cha itabembelezwa ili kusitokea machafuko Zanzibar!. Kiukweli JK alikuwa ni mpole sana, hivyo Zanzibar imemchezea sana hadi kumtia vidole machoni katika yale mabadiliko batili ya katiba ya Zanzibar ya mwaka 2010.

Kwa sasa Amiri Jeshi Mkuu ni Dr. John Pombe Magufuli, hii ni namba nyingine, huyu sio mtu wa mchezo mchezo au kuchezewa kama JK, hivyo CUF kama wanadhani watasusa na kubembelezwa, ili kuepusha machafuko Zanzibar, nawahakikishia this time watakuwa wame bugi step, hata wakisusa, hakutakuwa na vujo wala ,achafuko yoyote Zanzibar kwa sababu sasa ni zamu ya hapa hapa ni kazi tuu!.

Wanzanzibar, na Watanzania wote, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama ya JMT, tuna jukumu kubwa la kuilinda amani na utulivu wa eneo lote la JMT, ikiwemo Zanzibar, kwa gharama yoyote!, hii ikiwa ni pamoja na kuulinda muungano kwa gharama yoyote!.
Wasalaam
Pasco
Pasco,inamaana CUF wakiamua kushiriki na wakashinda tena je Uchaguzi utarudiwa???Maana CCM haijawahi kushinda huko ni kulazimisha kushinda.CCM ikishindwa tena kwa kishindo Uchaguzi utarudiwa tena???
 
Wanabodi, baada ya kutangazwa tarehe ya uchaguzi wa marudio visiwani Zanzibar, kuna watu wanadhani Chama cha Wananchi CUF, kina hiyari ya kushiriki uchaguzi huo au kutoshiriki, as if kushiriki uchaguzi wa marudio ni jambo la hiyari!, no way!, watakuwa wanajidanya!. CUF hakina option yoyote ya kuamua ama ishiriki ama isishiriki uchaguzi huo, kwa sababu ushiriki wa uchaguzi wa marudio sio suala la option bali ni jambo la lazima, watake wasitake ni lazima washiriki, kwa sababu kila kitu kiko vile vile kama mwanzo!, nikimaanisha hata wakisusa, picha na majina ya wagombea wao yatakuwepo kwenye karatasi za kura!.

Wenye option ya kuamua kushiriki au kutoshiriki uchaguzi huo ni wapiga kura, ndio wanaweza kuamua ama kujitokeza kushiriki kupiga kura, au kususa kupiga kura kwa kutokujitokeza, na mgombea hata kama atapata kura moja ya ndio, ndio atatangazwa mshindi!, hivyo kupiga kura au kutopiga kura ndio bado ni option!, lakini kushiriki uchaguzi huo sio option ni jambo la lazima!.

Iwapo CUF itatangaza kususia uchaguzi huo, tangazo hilo ndilo litakuwa tangazo rasmi la kifo rasmi cha kilichokuwa kinaitwa Chama cha Wananchi CUF, kwa sababu, ngome kuu ya CUF ni Pemba, kususia uchaguzi ni kuipoteza Pemba ambapo na ngome kuu ikiishakuangua, it is just a matter of time, chama chenyewe chote kielekee kaburini!.

Hata kama CUF watatangaza kususa, majina ya wagombea wa CUF tayari yako kwenye karatasi za kura katika uchaguzi huo, hivyo wakitangaza kususa, maana ni wagombea wa CUF hawatachaguliwa, hivyo kuipatia CCM ushindi wa mezani, ikiwemo kuitwaa ngome ya CUF kule Pemba na kuivunja uti wake wa mgongo, kwa CCM kuvitwaa viti vyote vya Uwakilishi Zanzibar na Pemba, ambapo pia huo ndio utakuwa mwisho wa SUK na CCM kutawala peke yake na kuhitimishwa kwa kifo rasmi cha chama cha wananachi, CUF!.

Nakiri kupandisha uzi huu kufuatia bandiko la mwana jf huyu


Hoja katika badhiko hilo mi kitisho cha CUF kuwa kisiposhiriki, hali ya amani na utulivu wa visiwa vya Zanzibar, utakuwa mashakani!. Maadam Zanzibarr sio nchi bali ni sehemu ya JMT, dhima ya muungano, ni undungu wa asili kati ya watu wa Tanganyika na watu wa Zanzibar, lakini sababu halisi ya muungano ni kuipatia Zanzibar ulinzi na usalama, Zanzibar haina polisi wala jeshi, hivyo jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Zanzibar tuu, bali ni jukumu la JMT, haiwezekani sehemu moja ya JMT iwe katika hali tete, wakati JMT ni nchi moja, ulinzi na usalama wa JMT utakuwa mikononi mwa JMT!.

Hivyo CUF washiriki uchaguzi huu wa marudio, au wasishiriki kwa kuususia, it will not make any difference kwenye amani na utulivu wa Zanzibar kwa sababu jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Wanzanzibari wenyewe pekee, bali pia ni jukumu la serikali ya JMT, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, Dr. Joh Pombe Magufuli!.

Zanzibar kama sehemu ya JMT, inayo assuarance ya Amri Jeshi Mkuu wa JMT, kuhakikisha kuwa Uchaguzi wa marudio wa Zanzibar, uliotangazwa, utafanyika kwa uhuru, amani, usalama na utulivu, mshindi atapatikana kwa haki, atatangazwa, ataapishwa na kuunda serikali nyingine ya Zanzibar yenye jina la SUK lakini wawakilishi wa CUF kuendelea kuitawala Zanzibar kwa uhuru na amani kabisa bila`wasiwasi wowote kwa ile falsafa ya kule ya Mapinduzi Daima!.

Demokasia ya kweli ni serikali ya watu, inayoongozwa na watu kwa manufaa ya watu hao!, (of the people, by the people, and for the people), ila demokasia hiyo haikuwe kiwango cha asilimia ya watu hao!, hivyo hata kama nchi ina watu milioni moja, serikali ikachaguliwa na watu 10 tuu, bado serikali hiyo itakuwa ni serikali halali kisheria, japo itakosa peoples legitimacy, kwa watu hao ndio watakuwa wametumia haki yao ya kidemokrasia kwa kutokupiga kura!.


Kushiriki uchaguzi wowote, kwa kugombea nafasi yoyote ni hiyari, pia kuamua kutokushiriki katika uchaguzi pia ni hiyari, sambamba na kujiandikisha kupiga kura ni hiyari, kutokujiandikisha pia ni hiyari, na kujiandikisha kupiga kura na kisha kuamua kutokupiga kura pia ni hiyari, zote hizo ni demokrasia.Kama CUF itawashawishi wafuasi wake kususia uchaguzi huo, hiyo itakuwa ndio demokrasia yao!.

Kitendo cha CUF kushiriki uchaguzi wa mwanzo kunaifanya CUF ni lazima ishiriki uchaguzi wa marudio sio kwa hiyari ua kwa kupenda, bali ipende, isipende, ni lazima ishiriki uchaguzi huo!.

Hapa hakuna suala la choice. Na iwapo CUF watasusa kushiriki uchaguzi huo wa marudio, kususa huko kutakuwa ni kususa batili kwa sabu picha na majina ya wagombea wa CUF yataendelea kuwepo kwenye karatasi za kura!, hivyo kususa huko ndiko kutakao ipatia CCM ushindi wa mezani, tena this time CCM itashinda viti vyote vya uwakilishi Unguja na Pemba, na huu ndio utakuwa mwisho rasmi wa CUF. Kamwe CUF isikubali kuingia katika mtego wa kususia uchaguzi wa marudio!.

Turufu ya CUF kutishia kususa ni kwa kisingizio cha itabembelezwa ili kusitokea machafuko Zanzibar!. Kiukweli JK alikuwa ni mpole sana, hivyo Zanzibar imemchezea sana hadi kumtia vidole machoni katika yale mabadiliko batili ya katiba ya Zanzibar ya mwaka 2010.

Kwa sasa Amiri Jeshi Mkuu ni Dr. John Pombe Magufuli, hii ni namba nyingine, huyu sio mtu wa mchezo mchezo au kuchezewa kama JK, hivyo CUF kama wanadhani watasusa na kubembelezwa, ili kuepusha machafuko Zanzibar, nawahakikishia this time watakuwa wame bugi step, hata wakisusa, hakutakuwa na vujo wala ,achafuko yoyote Zanzibar kwa sababu sasa ni zamu ya hapa hapa ni kazi tuu!.

Wanzanzibar, na Watanzania wote, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama ya JMT, tuna jukumu kubwa la kuilinda amani na utulivu wa eneo lote la JMT, ikiwemo Zanzibar, kwa gharama yoyote!, hii ikiwa ni pamoja na kuulinda muungano kwa gharama yoyote!.
Wasalaam
Pasco
Pasco CCM haijawahi kushinda Z'bar, je wakishindwa tena Uchaguzi utarudiwa??? Je,Leo Maiga akienda Burundi ati kusuluhisha ugomvi wa Uchaguzi ataambiwaje???Je,Magufuli na Chama chake wanasifa ya kwenda kutatua migogoro kwenye nchi nyingine???
Mwenye akili timamu hatakubaliana na marudio ya Uchaguzi sababu Tanzania haina sifa ya kukemea migogoro ya uchaguzi.Mahiga hana haki wala sifa ya kwenda Burundi na kumshauri Nkuruzinza na Chama chake.
Poleni wanaccm kukubali kushindwa ni heshima.Safari hii kubalini mmeshindwa kwa kishindo
 
Yeah! Kampeni nimkupoteza fedha na kuwapandisha mori wananchi. Vita ingezuka wakati wa kampeni
Nchi ya CCM hii milele.
Lkn je wakiondoka hawa wazee wanaolazimisha nyie vijana mtaweza kuishikilia milele?

Hakuna kazi kubwa kama kukaa na mtu mjinga
 
Pasco,inamaana CUF wakiamua kushiriki na wakashinda tena je Uchaguzi utarudiwa???Maana CCM haijawahi kushinda huko ni kulazimisha kushinda.CCM ikishindwa tena kwa kishindo Uchaguzi utarudiwa tena???
Pasco CCM haijawahi kushinda Z'bar, je wakishindwa tena Uchaguzi utarudiwa??? Je,Leo Maiga akienda Burundi ati kusuluhisha ugomvi wa Uchaguzi ataambiwaje???Je,Magufuli na Chama chake wanasifa ya kwenda kutatua migogoro kwenye nchi nyingine???
Mwenye akili timamu hatakubaliana na marudio ya Uchaguzi sababu Tanzania haina sifa ya kukemea migogoro ya uchaguzi.Mahiga hana haki wala sifa ya kwenda Burundi na kumshauri Nkuruzinza na Chama chake.
Poleni wanaccm kukubali kushindwa ni heshima.Safari hii kubalini mmeshindwa kwa kishindo
Macho yote ya dunia yatakuwa kwenye uchaguzi wa Zanzibar, hivyo CUF ikishinda tena this time itatangazwa!.

Kuna hoja kuwa siku zote CUF huwa inashinda uchaguzi wa Zanzibar lakini haitangazwi!, kama hili ni kweli, then lazima kuna sababu kwa nini CUF washinde na wasitangazwe!. Sasa bila kuzijua hizo sababu, watu humu watabaki wanapga tuu kelele!. Watu wangezijua hizo sababu, kisha wajiulize kama siku zote CUF anashinda lakini hatangazwi kwa sababu abc, sasa ili this time shinde na kutangazwa, then hizo sababu nazo ziwe zimebadilika!.

Niliwauliza wenyewe CUF mara kibao, kama ni kweli siku zote huwa wanashinda lakini hawatangazwi, kitu kipi kimewafanya waamini this time wakishinda watatangazwa?!, hakuna mwenye jibu!.

Kiukweli siku zote uchaguzi wa Zanzibar ni twists and tuns, sometimes margin ya mshindi na mshindwa ni just 2% hivyo whoever knows the best game akifanikiwa ku twist, yeye ndio mshindi, ndio maana nimewauliza CUF, kama walishinda kihalali kwa kua nyingi, nini kinachowafanya waogope kurudiwa kwa uchaguzi, si ni watashinda tena?!, hawana jibu!.

Pasco
 
Huu uchaguzi hata urudiwe mara mia kama haujakubalika kimataifa basi huyo rais Shein atakuwa rais ndani ya Tanzania.

Akija ulaya na America ni raia w kawaida kwa sababu hawamtambui na hawatamtambua, mataifa yashaweka wazi matokeo yatangazwe, vipi leo murudie uchaguzi?
Suala la uchaguzi ni suala la kimataifa na sio kitaifa.
Mkuu GHIBUU, tangu lini rais wa Zanzibar ni rais nje ya Zanzibar?!. Tanzania ni nchi moja tuu ya JMT yenye sehemu mbili, Tanzania bara na Tanzania visiwani, au Tanzania Zanzibar. Ndani ya Muungano, sehemu ya Zanzibar inajitegemea kwa utawala wake wa ndani, lakini nje ya Muungano, hakuna nchi ya Zanzibar, bali kuna sehemu ya Zanzibar ambayo ni sehemu ya JMT!.

Uchaguzi wa Zanzibar ni mambo ya ndani, uchaguzi wa JMT uliisha kamilika, hivyo JMT haihusiki na uchaguzi wa ndani wa Zanzibar, ila Ulinzi na Usalama sio suala la ndani ya Zanzibar, hili ni suala la JMT, sasa kama uchaguzi wa Zanzibar utaleta tishio lolote la ulinzi na usalama, JMT ipo kuhakikisha hili halitokei!.

Sio tuu rais wa Zanzibar, bali wale wakuu wote 4 wa Zanzibar wanaotembea na vingora, wakija baa au wakisafiri kwenda nje ya nchi, balozi za JMT huwa wanawapatia heshima stahiki.

Pasco
 
Kufanya maamuzi kwa ubabe, tena kuonesha kiburi ukidhani tu kwa kuwa askari wapo sio jambo la kushabikia karne hii, hawa jamaa wa zanzibar me huwa nawagopa sana walianza kupiga watu risasi, na kuwamwagia acid, nyie endeeleni kushabikia huo ujinga iko cku mtasikia meli au pantoni imelipuka kuna mtu amejitoa muhanga ndo mtawajua hawa jamaa vizuri, mnawatia watu gadhabu wakati hamko makin, haya sio mashindano kwamba mnawakomoa,tatizo sis watanzania hatuna akili kabisa.
Mm huwa nawatahadharisha sana watanganyika,moto wanao uchochea ukija kuwaka wasidhani watanganyika watabaki salama zanzibar.
 
Macho yote ya dunia yatakuwa kwenye uchaguzi wa Zanzibar, hivyo CUF ikishinda tena this time itatangazwa!.

Kuna hoja kuwa siku zote CUF huwa inashinda uchaguzi wa Zanzibar lakini haitangazwi!, kama hili ni kweli, then lazima kuna sababu kwa nini CUF washinde na wasitangazwe!. Sasa bila kuzijua hizo sababu, watu humu watabaki wanapga tuu kelele!. Watu wangezijua hizo sababu, kisha wajiulize kama siku zote CUF anashinda lakini hatangazwi kwa sababu abc, sasa ili this time shinde na kutangazwa, then hizo sababu nazo ziwe zimebadilika!.

Niliwauliza wenyewe CUF mara kibao, kama ni kweli siku zote huwa wanashinda lakini hawatangazwi, kitu kipi kimewafanya waamini this time wakishinda watatangazwa?!, hakuna mwenye jibu!.

Kiukweli siku zote uchaguzi wa Zanzibar ni twists and tuns, sometimes margin ya mshindi na mshindwa ni just 2% hivyo whoever knows the best game akifanikiwa ku twist, yeye ndio mshindi, ndio maana nimewauliza CUF, kama walishinda kihalali kwa kua nyingi, nini kinachowafanya waogope kurudiwa kwa uchaguzi, si ni watashinda tena?!, hawana jibu!.

Pasco
Naona unajikanyaga tu,adui wa wazanzibar kwenye harakati hizi za kujikomboa kwenye makucha haya ya mkoloni anajulikana,wazanzibar wapo tayari kupambana nao liwalo na liwe.
 
Haya yote yanasababishwa na koloni la kupangwa,Tanganyika kujifunika blanket la Tanzania tena mchana wa jua kali tena bila kuona hata joto,matatizo ya Znz yatamalizwa na wa znz wenyewe.
Rais JMT kutoingilia hadi sasa kufutwa matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar ni kielezo cha kuheshimu Katiba na utawala wa sheria.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Pasco,inamaana CUF wakiamua kushiriki na wakashinda tena je Uchaguzi utarudiwa???Maana CCM haijawahi kushinda huko ni kulazimisha kushinda.CCM ikishindwa tena kwa kishindo Uchaguzi utarudiwa tena???
Tetty: toa ushahidi kwa takwimu. La, acha hisia zako, porojo za siasa maji taka na maneno ya uchochezi.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
What's wrong with you Pasco?

Sheria imeweka limitation ya kwenda kupinga matokeo, sawa, lakini yepi sasa maana yalifutwa kinyume cha sheria na katiba hiyo hiyo?

Mimi kwa mtazamo wangu;

1. Kwanza sikubaliani na mtazamo wako wa jumla ktk bandiko lako kuu kwamba CUF hawana option nyingine isipokuwa kushiriki uchaguzi batili wa marudio au la wajiandae kufutika ktk uso wa ramani za siasa!

2. Option zipo nyingi sana in favour of CUF na kuwatupitilia mbali huko CCM na ulaghai wao. Hata wewe naamini umeandika haya huku ukiutambua
ukweli huu;

Kwanza, unakumbuka Dr Shein mara kwa mara alikuwa akirudia rudia kusema kuwa kama kuna watu wanaamini kuwa muda wake wa kushika madaraka ya urais kikatiba ulishakwisha waende mahakamani?

Kwa nini unadhani alikuwa anaweka mtego huo? Jibu la swali hili ni rahisi sana, kwamba waende mahakamani na kwa sababu ana influence na mahakama, then mahakama hiyo ingetoa hukumu in favour of him. Na kwa hukumu hiyo, CUF au wote wanaomlamimikia Dr Shein wanakuwa wamepigwa goli la kisigino na hata uamuzi wa Jecha wa kufuta matokeo yote ya uchaguzi mkuu wa trh 25/10/2015 kinyume cha utaratibu, sheria na katiba unakuwa "kama umehalalishwa". Yes, kwani kuna linaloshindikana kwa watawala wa CCM?.....Good enough kuwa CUF na wanademokrasia waliliona hili!

Pili, kwa tunakoelekea na baada ya kutangazwa kwa marudio ya uchaguzi mwezi machi, Jecha (sio ZEC) na CCM wanajiweka kwenye kitanzi wao zaidi kuliko kule wanakofikiri ku accomplish malengo yao. Maana yangu ni kwamba, baada ya hili mazingira yanai feva CUF zaidi kuliko CCM na serikali batili ya Dr Shein. Huko mbeleni hata njia ya kwenda mahakamani ni nyeupe na rahisi zaidi kupinga kilekile walichotaka CCM maalim Seif na wanaomuunga mkono waende mapema!

Lazima tuelewe kuwa, kuna mazingira flani hata mahakama zetu hizihizi ambazo watendaji wake ni wateule wa rais aliye madarakani huwa ni vigumu saaaana kupindisha haki au ukweli.

Trust me bro, hili la kutangazwa kwa marudio ya uchaguzi ndilo limefungua mlango kwa CUF kwenda mahakamani sooner or later. Na hii ndiyo option iliyo salama zaidi na wazi kwa sasa pengine itakayotatua mgogoro huu kwa usalama.

3. There is clear indication kuwa hiki kinachoitwa uchaguzi wa marudio hakitakuwepo, amini usiamini. CCM wanajua exactly wanachokifanya kuwa hakipo kiutaratibu, kisheria wala kikatiba . Na pengine wanajua kabisa tukifanya hivi, wapinzani wetu watakuja na move hii. Lakini amini usiamini kuna mmoja atakosea tu na atapigwa bao na mpaka hapa tulipo CCM wameshakosea, the game is in favour of CUF na wananchi walio wengi wa Zanzibar waliofanya maamuzi yao trh 25/10/2015!

4. All in all, CUF wametangaza kuwa watakuwa na vikao vyao vya maamuzi next week inayoanza kesho. Let's wait and see watakuja na maamuzi gani. Binafsi nililo na uhakika nalo ni kuwa HAKUNA UCHAGUZI MWINGINE na kama utakuwepo behind the scene CUF HATASHIRIKI na iwapo hawashiriki na CCM wakaulazimisha huo uchaguzi na wao kujitangaza washindi (maana that's motive behind), Zanzibar will end up in an endless chaos. Sasa sina hakika kama kuna mmoja wapo kati ya hawa mafahari yaani CUF na CCM wanataka kuifikisha Zanzibar huko kwa jambo dogo kama hili!!


ikipendaroho
CUF wakisubiri matokeo ya uchaguzi wa marudio ndipo waende mahakamani itakuwa too late kwa sababu uchagfuzi wa rais haupingwi mahakamani!.

Kama ni kwenda mahakamani walipaswa kuupinga uamuzi ule wa Jecha, ila pia mahakama imeweka sheria ya limitation kwenye mambo yote ya uchaguzi, ni kufungua shauri ndani ya siku 90!. Zimeishapita. Hata hivyo sasa bado wanayonafasi ya kuupinga huu uchaguzi but on what ground?!.

Pasco
 
Hapa nakubaliana na ww Pasco, iwapo CUF hawatoshiriki hawatakuwa na muwakilishi hivyo watakosa ruzuku. Na kwa kuwa hawatakuwa na muwakilishi wa kisheria hivyo watakuwa nje ya vyombo vya maamuzi. Hali hii itawaacha ccm na uwezo wa kimaamuzi na kwa jinsi hali itakavyokuwa maamuzi mengi yatafanywa kibabe dhidi ya wanacuf kama sehemu ya kuwakomoa na kuwadhalilisha. Sote tunaona dola inavyotumika vibaya panapokuwa na mihemuko baina ya pande mbili zinazohasimiana kisiasa.

Hofu yangu ambayo ni dhahiri itajengeka ndani ya ZNZ iwapo CUF itasusia na ccm kushinda ni vitendo vya kigaidi. Iwapo hali hii itatokea sio ZNZ wala Tanganyika tutakuwa salama. Ni nani asiyejua hatari ya mashambulizi ya kigaidi, Dunia nzima leo hii ni wahanga wa ugaidi leo sisi tunajiwekea mazingira hayo kwa kuacha kufuata demokrsia kwa sababu za kipuuzi kabisa. Leo tunakalia kimya uhuni uliofanywa na Jecha na walio nyuma yake, lakini hicho tunachokipanda soon tutavunan.
 
Hoja ya Pasco ni nzito, asibezwe. Uhai wa chama cha siasa unapimwa kwa wingi wa wanachama na iwakilishi kwenye vyombo vya mamuzi kama udiwani na ubunge. Endapo cuf watasusa, watakosa madiwani na wawakilishi kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Ni sawa na kujifuta kisiasa. Je, uamuzi huo utakuwa na tija kwa cuf . Hapana.

Natumaini viongozi wa cuf wataweka pembeni hasira na kutumia busara na hatimaye kuamua kushiriki uchaguzi. Treni ya jecha inataka kuanza safari. Atakayeshindwa kupanda ataachwa. Asilalamike. Serikali ya muungano haitaruhusu wataotaka kufanya vurugu. Na ukweli ni kwamba bila cuf siasa za zenj zitapooza sana. Hatutaki pia hilo litokee.
 
Pasco.

Zanzibar ni zaidi ya siasa kusema CUF itakufa Zanzibar kwa sababu ya kususia uchaguzi ni kujidanganya.

Mgogoro wa Zanzibar ni zaidi ya siasa wana matatizo yao makubwa ya kihistoria baina ya Unguja na Pemba.

CUF Zanzibar siyo kama Tadea au UDP refer kura za maruhani, CUF wanaweza kususia uchaguzi na CCM wakashinda kila kitu lakini huko kutakuwa ni kujiliwaza na kuhairisha tatizo ni suala la muda tu matatizo yatakuwa pale pale.

Jambo la msingi Zanzibar ni kuwaacha Wazanzibar wenyewe wahamue wanachotaka zaidi ya hapo mgogoro wa Zanzibar hauwezi kuisha huo ndiyo ukweli.

Ubaya na uzuri Zanzibar CUF ipo kwenye mioyo ya watu siyo kwenye makaratasi nawajua vizuri Wazanzibar kusema CUF itakufa huko ni kujidanganya mkuu wangu.
 
Wanabodi, baada ya kutangazwa tarehe ya uchaguzi wa marudio visiwani Zanzibar, kuna watu wanadhani Chama cha Wananchi CUF, kina hiyari ya kushiriki uchaguzi huo au kutoshiriki, as if kushiriki uchaguzi wa marudio ni jambo la hiyari!, no way!, watakuwa wanajidanya!. CUF hakina option yoyote ya kuamua ama ishiriki ama isishiriki uchaguzi huo, kwa sababu ushiriki wa uchaguzi wa marudio sio suala la option bali ni jambo la lazima, watake wasitake ni lazima washiriki, kwa sababu kila kitu kiko vile vile kama mwanzo!, nikimaanisha hata wakisusa, picha na majina ya wagombea wao yatakuwepo kwenye karatasi za kura!.

Wenye option ya kuamua kushiriki au kutoshiriki uchaguzi huo ni wapiga kura, ndio wanaweza kuamua ama kujitokeza kushiriki kupiga kura, au kususa kupiga kura kwa kutokujitokeza, na mgombea hata kama atapata kura moja ya ndio, ndio atatangazwa mshindi!, hivyo kupiga kura au kutopiga kura ndio bado ni option!, lakini kushiriki uchaguzi huo sio option ni jambo la lazima!.

Iwapo CUF itatangaza kususia uchaguzi huo, tangazo hilo ndilo litakuwa tangazo rasmi la kifo rasmi cha kilichokuwa kinaitwa Chama cha Wananchi CUF, kwa sababu, ngome kuu ya CUF ni Pemba, kususia uchaguzi ni kuipoteza Pemba ambapo na ngome kuu ikiishakuangua, it is just a matter of time, chama chenyewe chote kielekee kaburini!.

Hata kama CUF watatangaza kususa, majina ya wagombea wa CUF tayari yako kwenye karatasi za kura katika uchaguzi huo, hivyo wakitangaza kususa, maana ni wagombea wa CUF hawatachaguliwa, hivyo kuipatia CCM ushindi wa mezani, ikiwemo kuitwaa ngome ya CUF kule Pemba na kuivunja uti wake wa mgongo, kwa CCM kuvitwaa viti vyote vya Uwakilishi Zanzibar na Pemba, ambapo pia huo ndio utakuwa mwisho wa SUK na CCM kutawala peke yake na kuhitimishwa kwa kifo rasmi cha chama cha wananachi, CUF!.

Nakiri kupandisha uzi huu kufuatia bandiko la mwana jf huyu


Hoja katika badhiko hilo mi kitisho cha CUF kuwa kisiposhiriki, hali ya amani na utulivu wa visiwa vya Zanzibar, utakuwa mashakani!. Maadam Zanzibarr sio nchi bali ni sehemu ya JMT, dhima ya muungano, ni undungu wa asili kati ya watu wa Tanganyika na watu wa Zanzibar, lakini sababu halisi ya muungano ni kuipatia Zanzibar ulinzi na usalama, Zanzibar haina polisi wala jeshi, hivyo jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Zanzibar tuu, bali ni jukumu la JMT, haiwezekani sehemu moja ya JMT iwe katika hali tete, wakati JMT ni nchi moja, ulinzi na usalama wa JMT utakuwa mikononi mwa JMT!.

Hivyo CUF washiriki uchaguzi huu wa marudio, au wasishiriki kwa kuususia, it will not make any difference kwenye amani na utulivu wa Zanzibar kwa sababu jukumu la ulinzi na usalama wa Zanzibar, sio jukumu la Wanzanzibari wenyewe pekee, bali pia ni jukumu la serikali ya JMT, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, Dr. Joh Pombe Magufuli!.

Zanzibar kama sehemu ya JMT, inayo assuarance ya Amri Jeshi Mkuu wa JMT, kuhakikisha kuwa Uchaguzi wa marudio wa Zanzibar, uliotangazwa, utafanyika kwa uhuru, amani, usalama na utulivu, mshindi atapatikana kwa haki, atatangazwa, ataapishwa na kuunda serikali nyingine ya Zanzibar yenye jina la SUK lakini wawakilishi wa CUF kuendelea kuitawala Zanzibar kwa uhuru na amani kabisa bila`wasiwasi wowote kwa ile falsafa ya kule ya Mapinduzi Daima!.

Demokasia ya kweli ni serikali ya watu, inayoongozwa na watu kwa manufaa ya watu hao!, (of the people, by the people, and for the people), ila demokasia hiyo haikuwe kiwango cha asilimia ya watu hao!, hivyo hata kama nchi ina watu milioni moja, serikali ikachaguliwa na watu 10 tuu, bado serikali hiyo itakuwa ni serikali halali kisheria, japo itakosa peoples legitimacy, kwa watu hao ndio watakuwa wametumia haki yao ya kidemokrasia kwa kutokupiga kura!.


Kushiriki uchaguzi wowote, kwa kugombea nafasi yoyote ni hiyari, pia kuamua kutokushiriki katika uchaguzi pia ni hiyari, sambamba na kujiandikisha kupiga kura ni hiyari, kutokujiandikisha pia ni hiyari, na kujiandikisha kupiga kura na kisha kuamua kutokupiga kura pia ni hiyari, zote hizo ni demokrasia.Kama CUF itawashawishi wafuasi wake kususia uchaguzi huo, hiyo itakuwa ndio demokrasia yao!.

Kitendo cha CUF kushiriki uchaguzi wa mwanzo kunaifanya CUF ni lazima ishiriki uchaguzi wa marudio sio kwa hiyari ua kwa kupenda, bali ipende, isipende, ni lazima ishiriki uchaguzi huo!.

Hapa hakuna suala la choice. Na iwapo CUF watasusa kushiriki uchaguzi huo wa marudio, kususa huko kutakuwa ni kususa batili kwa sabu picha na majina ya wagombea wa CUF yataendelea kuwepo kwenye karatasi za kura!, hivyo kususa huko ndiko kutakao ipatia CCM ushindi wa mezani, tena this time CCM itashinda viti vyote vya uwakilishi Unguja na Pemba, na huu ndio utakuwa mwisho rasmi wa CUF. Kamwe CUF isikubali kuingia katika mtego wa kususia uchaguzi wa marudio!.

Turufu ya CUF kutishia kususa ni kwa kisingizio cha itabembelezwa ili kusitokea machafuko Zanzibar!. Kiukweli JK alikuwa ni mpole sana, hivyo Zanzibar imemchezea sana hadi kumtia vidole machoni katika yale mabadiliko batili ya katiba ya Zanzibar ya mwaka 2010.

Kwa sasa Amiri Jeshi Mkuu ni Dr. John Pombe Magufuli, hii ni namba nyingine, huyu sio mtu wa mchezo mchezo au kuchezewa kama JK, hivyo CUF kama wanadhani watasusa na kubembelezwa, ili kuepusha machafuko Zanzibar, nawahakikishia this time watakuwa wame bugi step, hata wakisusa, hakutakuwa na vujo wala ,achafuko yoyote Zanzibar kwa sababu sasa ni zamu ya hapa hapa ni kazi tuu!.

Wanzanzibar, na Watanzania wote, chini ya Amiri Jeshi Mkuu, wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama ya JMT, tuna jukumu kubwa la kuilinda amani na utulivu wa eneo lote la JMT, ikiwemo Zanzibar, kwa gharama yoyote!, hii ikiwa ni pamoja na kuulinda muungano kwa gharama yoyote!.
Wasalaam
Pasco

Poor Pasco!
Una uwezo mdogo sana wa kutafakari mambo kwa kina tofauti na nilivyokudhania hapo kabla!
Waliosema elimu sio vyeti ulivyonavyo walikuwa sahihi, na watabaki kuwa sahihi!
 
Back
Top Bottom