Tetesi: CUF: Lipumba kuwafuta uanachama wabunge wote wa kuchaguliwa majimbo yote ya Bara

You said it all! Kwanza wajaribu hii ya mahakama, ikishindwa, CUF Seif wahamie CHADEMA! Lakini hii ya CHADEMA sio nzuri sana kwa upande wa bara! The best option ni kununua Chama cha kisiasa chenye usajili wa kudumu kama vile NLD nk! Hii itakuwa na mashiko zaidi kwa upande wa bara na visiwani na zaidi ya hapo ni vizuri hata kwa usitawi wa UKAWA!

If you know your enemy than yourself you shall never suffer a defeat
 
Hongera kwa uchambuzi, ni kweli maalim seif anatakiwa ang'oe timu fasta bila kuwaza ya uchaguzi uliopita, kama kuzulumika atalipwa na mungu wake, namshauri aungane na chadema aiache hiyo cuf ya genge, namwambia hivii.. Achana na mambo ya nyuma, angalia yajao!
 
Hao wabunge hawana jinsi, wamuunge tu mkono Lipumba .Maana kurudi bungeni itakuwa ngumu. As far Lipumba ndo mwenye rungu kwa sasa.
 
Mbinu waliyotumia ccm ni pigo kwao. UPINZANI sio CUF kama chama Bali ni watu. Na watu hao wanaweza kuamua kuwa chama chochote, na wakiamua kuwa Chadema ccm ndio watajuta!
 
Reactions: PNC
Mbinu waliyotumia ccm ni pigo kwao. UPINZANI sio CUF kama chama Bali ni watu. Na watu hao wanaweza kuamua kuwa chama chochote, na wakiamua kuwa Chadema ccm ndio watajuta!


Hivi CCM walimtumia nani kuwazuga kina Maalim Seif wasizibe nafasi ya Lipumba kwa wakati?
 
Upinzani unaimarika na wapinzani watashikana kiimani zaidi yaani kiupinzani zaidi than b4,
Watawala wanaona CUF na Maalim ndiyo tatizo ila kwa sababu wamefungwa kimaono kwa ajili ya dhuluma zao hapo ndipo watakapokuja kujifunika asubuhi.
Tusubiri na naomba iende hivihivi.
 
Msiombe CUF ya Maalim iende Chadema.
Move hii ilitarajiwa sana na Chadema.
Ccm anataka cuf ijifie. Uchaguzi ukirudiwa zenji (Pemba) Ccm itapata baadhi ya majimbo. Kumbukeni kutakuwa na cuf vurugu ya lipumba,ADC ,na Ccm.
Wapemba hawajazoea vurugu wengi watakaa bila kupiga kura.
Waunguja wataenda kupiga kura

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amani ni tunu, amani haichezewi bali amani huenziwa. Chuki ya kisiasa ni mbaya sana kwani ni rahisi kupandwa lakini ikishaota mizizi ni ngumu kuiondoa. Doze doze dola yetu tukufu.
 
Reactions: PNC
Kudhoofisha madai yake ya urais wa Zanzibar ambayo yamefikia mahali pazuri kwenye jumuiya za Kimataifa.
kwa hili unadanganya umma....pazuri wapi hapo? Tusidanganyane wandugu katika hili la zanzibar mambo yameshakwisha hakuna atakayekuja kubadili matokeo ya zanzibar only wazanzibar wenyewe ndo wanauwezo huo
 
Kosa lingine la Mtatiro ni kukimbilia USA kusoma wakati nyumba yake inaungua. Mtatiro anasoma ili iweje wakati ana elimu nzuri (Masters) na madaraka makubwa kuliko umri wake? Anataka nini zaidi?
 
Shida ya selikali siyo chama, bali seif na madai yake ya urais!

Ndio maana wanamuweka busy kushughulikia issue za cuf, na mwisho wa siku atajikuta 2020 imeshafika.

......
 
Wabunge hao watahamia chadema na watachaguliwa tena kupitia chadema
Kuchaguliwa tena? sijui kama itakuwa rahisi kwani CCM sio Ile ya 2015 sasa hivi watashinda hata kwa nguvu yaani ni ubabe usipime. Maalim Ana option moja ampigie magoti lipumba akubali amezidiwa kete yaishe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumuunganisha Maalim Chadema litakuwa kosa kubwa kuliko yote la kimkakati alilofanya Sizonje.
WE WILL BE A LEGION AND NOTHING CAN STOP US!

You never want your enemy to be united against you , Sizonje makes us more than united, he makes us strong.
umesahau kuwa sio wote waliopo CUF watakua willing to join CHADEMA,so its 50 -50 hakuna uhakika kuongezea hapo kumbuka 2015 mlikua vyama vinne still mkashindwa tena uchaguzi wa moto zaidi kuwahi kutokea,leo hii NCCR imekufa kifo baridi,NLD haina kitu CUF ndo hivoo, ACT inazidi kujipambambanua kwa kasi zaidi kihoja na si kwa vihoja mnafikiri mnaguarantee hiyoo unayojinasibu mnayo endapo Seif akija CHADEMA??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…