beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Chama cha CUF kimesema Serikali inatakiwa kuweka wazi upembuzi yakinifu ya miradi inayotekelezwa ikiwemo ya SGR, ufuaji wa umeme na uimarishwaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL).
Mwenyekiti wake, Prof. Ibrahim Lipumba amesema "Tunaelekezwa hii miradi ni mizuri lakini hadi leo Serikali haijaweka hadharani upembukizi yakinifu tukaona ubora ulivyo".
Ameongeza, "Miradi ya kujenga reli, kufua umeme katika Bwawa la Mwalimu Nyerere na miradi ya kununua ndege iwekwe wazi, tujue na tuweze kuichambua nini faida yake".
Mwenyekiti wake, Prof. Ibrahim Lipumba amesema "Tunaelekezwa hii miradi ni mizuri lakini hadi leo Serikali haijaweka hadharani upembukizi yakinifu tukaona ubora ulivyo".
Ameongeza, "Miradi ya kujenga reli, kufua umeme katika Bwawa la Mwalimu Nyerere na miradi ya kununua ndege iwekwe wazi, tujue na tuweze kuichambua nini faida yake".