Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Huko nyuma kwako sasa hv unaweza hata kuingiza tofali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko nyuma kwako sasa hv unaweza hata kuingiza tofali
CHAMA CHA AFP CHAKUMBWA NA JINAMIZI LA WOGA WA UDIKTETA WA CHAMA DOLA CCM KURUDI , HAITAKI KUKOSA FADHILA NA HISANI ZA RAIS SAMIA HASSAN
Mwenyekiti wa chama cha Alliance for Tanzania Farmers Party (AFP) Tanzania Mh. Rashid Ligania Rai atoa tamko zito ...
View: https://m.youtube.com/watch?v=6CO7ReWGJNA
Mwenyekiti mheshimiwa kiongozi Rashid Ligania Rai amekishutumu chama kikuu cha upinzani Tanzania kuwa kilishindwa kuandamana kwa miaka sita iliyopita, hivyo vyama vidogo sasa ni wakati wao kushawishi watanzania bila maandamano.
Maana marufuku haramu ya kufanya shughuli za kisiasa iliyowekwa na utawala wa Magufuli tangu 2016 ikafifisha vyama vyao kisiasa .inaweza kurudishwa tena 2024 na utawala wa Rais Samia Hassan.... hilo hawalitaki maana nao wanataka kukua kisiasa kupitia hisani na fadhila iliyopo sasa chini ya awamu ya sita kuruhusu shughuli za kisiasa ....
18 JANUARY 2024
CUF YASEMA SUBIRA ITUMIKE, MAANDAMANO YASITISHWE HADI BUNGE LIPITISHE MISWADA YA MAREKEBISHO YA SHERIA ZA UCHAGUZI NA TUME YA UCHAGUZI
Hamad Masoud Hamad katibu mkuu wa CUF asema hakuna haja ya kuweka mbinyo miswada ya sheria ya uchaguzi na sheria ya Tume ya Uchaguzi zibadilishwe kupitia maandamano ya amani yaliyoitishwa na CHADEMA 24 January 2024.
Katibu mkuu wa CUF alipobanwa zaidi kuwa kiuhalisia bunge ni la chama kimoja dola kongwe yaani CCM, je chama cha CUF wanauhakika gani CCM yenye wabunge wengi ktk bunge na kamati ya kudumu ya Bunge masuala ya utawala, sheria na katiba wanaweza kusikiliza maoni ya wasio wanaCCM na wadau.
Katibu mkuu wa CUF Bw. Hamad Masoud Hamad alipobanwa kuwa anatarajia kitu tofauti kutoka CCM, akasema kwa kuwa chama hicho dola kongwe CCM kina wabunge zaidi ya 97% ya wa wabunge wote katika bunge la 2020 hategemei CCM kusikiliza maoni ya vyama ya upinzani na wadau walio nje ya bunge la sasa, akasema ingekuwa bunge la sasa ni kama la mwaka 2015 angekuwa na matumaini ya kitu tofauti maana wapinzani ndani ya bunge walikuwa zaidi ya 40% hiyo ingeleta majadala mzito.
18 JANUARY 2024
CUF YASEMA SUBIRA ITUMIKE, MAANDAMANO YASITISHWE HADI BUNGE LIPITISHE MISWADA YA MAREKEBISHO YA SHERIA ZA UCHAGUZI NA TUME YA UCHAGUZI
Hamad Masoud Hamad katibu mkuu wa CUF asema hakuna haja ya kuweka mbinyo miswada ya sheria ya uchaguzi na sheria ya Tume ya Uchaguzi zibadilishwe kupitia maandamano ya amani yaliyoitishwa na CHADEMA 24 January 2024.
Katibu mkuu wa CUF alipobanwa zaidi kuwa kiuhalisia bunge ni la chama kimoja dola kongwe yaani CCM, je chama cha CUF wanauhakika gani CCM yenye wabunge wengi ktk bunge na kamati ya kudumu ya Bunge masuala ya utawala, sheria na katiba wanaweza kusikiliza maoni ya wasio wanaCCM na wadau.
Katibu mkuu wa CUF Bw. Hamad Masoud Hamad alipobanwa kuwa anatarajia kitu tofauti kutoka CCM, akasema kwa kuwa chama hicho dola kongwe CCM kina wabunge zaidi ya 97% ya wa wabunge wote katika bunge la 2020 hategemei CCM kusikiliza maoni ya vyama ya upinzani na wadau walio nje ya bunge la sasa, akasema ingekuwa bunge la sasa ni kama la mwaka 2015 angekuwa na matumaini ya kitu tofauti maana wapinzani ndani ya bunge walikuwa zaidi ya 40% hiyo ingeleta majadala mzito.
Hiyo subira inatakiwa iwe ya muda gani?
Maana wapinzani wamekuwa wavumilivu kwa zaidi ya miongo 3 (miaka 30).
👉🌈🥱Huko nyuma kwako sasa hv unaweza hata kuingiza tofali
🖕🏿
👉🌈🥱
🖕🏿
18 JANUARY 2024
CUF YASEMA SUBIRA ITUMIKE, MAANDAMANO YASITISHWE HADI BUNGE LIPITISHE MISWADA YA MAREKEBISHO YA SHERIA ZA UCHAGUZI NA TUME YA UCHAGUZI
Hamad Masoud Hamad katibu mkuu wa CUF asema hakuna haja ya kuweka mbinyo miswada ya sheria ya uchaguzi na sheria ya Tume ya Uchaguzi zibadilishwe kupitia maandamano ya amani yaliyoitishwa na CHADEMA 24 January 2024.
Katibu mkuu wa CUF alipobanwa zaidi kuwa kiuhalisia bunge ni la chama kimoja dola kongwe yaani CCM, je chama cha CUF wanauhakika gani CCM yenye wabunge wengi ktk bunge na kamati ya kudumu ya Bunge masuala ya utawala, sheria na katiba wanaweza kusikiliza maoni ya wasio wanaCCM na wadau.
Katibu mkuu wa CUF Bw. Hamad Masoud Hamad alipobanwa kuwa anatarajia kitu tofauti kutoka CCM, akasema kwa kuwa chama hicho dola kongwe CCM kina wabunge zaidi ya 97% ya wa wabunge wote katika bunge la 2020 hategemei CCM kusikiliza maoni ya vyama ya upinzani na wadau walio nje ya bunge la sasa, akasema ingekuwa bunge la sasa ni kama la mwaka 2015 angekuwa na matumaini ya kitu tofauti maana wapinzani ndani ya bunge walikuwa zaidi ya 40% hiyo ingeleta majadala mzito.
18 JANUARY 2024
CUF YASEMA SUBIRA ITUMIKE, MAANDAMANO YASITISHWE HADI BUNGE LIPITISHE MISWADA YA MAREKEBISHO YA SHERIA ZA UCHAGUZI NA TUME YA UCHAGUZI
Hamad Masoud Hamad katibu mkuu wa CUF asema hakuna haja ya kuweka mbinyo miswada ya sheria ya uchaguzi na sheria ya Tume ya Uchaguzi zibadilishwe kupitia maandamano ya amani yaliyoitishwa na CHADEMA 24 January 2024.
Katibu mkuu wa CUF alipobanwa zaidi kuwa kiuhalisia bunge ni la chama kimoja dola kongwe yaani CCM, je chama cha CUF wanauhakika gani CCM yenye wabunge wengi ktk bunge na kamati ya kudumu ya Bunge masuala ya utawala, sheria na katiba wanaweza kusikiliza maoni ya wasio wanaCCM na wadau.
Katibu mkuu wa CUF Bw. Hamad Masoud Hamad alipobanwa kuwa anatarajia kitu tofauti kutoka CCM, akasema kwa kuwa chama hicho dola kongwe CCM kina wabunge zaidi ya 97% ya wa wabunge wote katika bunge la 2020 hategemei CCM kusikiliza maoni ya vyama ya upinzani na wadau walio nje ya bunge la sasa, akasema ingekuwa bunge la sasa ni kama la mwaka 2015 angekuwa na matumaini ya kitu tofauti maana wapinzani ndani ya bunge walikuwa zaidi ya 40% hiyo ingeleta majadala mzito.
Kama sio waoga wajitoe muhanga kama tulivyoshuhudia Cuf wakithubutu haswa kuisumbua serikali!..Ccm ndio waoga zaidi.
..kila siku wanajifiicha nyuma ya vyombo vya dola.
18 JANUARY 2024
CUF YASEMA SUBIRA ITUMIKE, MAANDAMANO YASITISHWE HADI BUNGE LIPITISHE MISWADA YA MAREKEBISHO YA SHERIA ZA UCHAGUZI NA TUME YA UCHAGUZI
Hamad Masoud Hamad katibu mkuu wa CUF asema hakuna haja ya kuweka mbinyo miswada ya sheria ya uchaguzi na sheria ya Tume ya Uchaguzi zibadilishwe kupitia maandamano ya amani yaliyoitishwa na CHADEMA 24 January 2024.
Katibu mkuu wa CUF alipobanwa zaidi kuwa kiuhalisia bunge ni la chama kimoja dola kongwe yaani CCM, je chama cha CUF wanauhakika gani CCM yenye wabunge wengi ktk bunge na kamati ya kudumu ya Bunge masuala ya utawala, sheria na katiba wanaweza kusikiliza maoni ya wasio wanaCCM na wadau.
Katibu mkuu wa CUF Bw. Hamad Masoud Hamad alipobanwa kuwa anatarajia kitu tofauti kutoka CCM, akasema kwa kuwa chama hicho dola kongwe CCM kina wabunge zaidi ya 97% ya wa wabunge wote katika bunge la 2020 hategemei CCM kusikiliza maoni ya vyama ya upinzani na wadau walio nje ya bunge la sasa, akasema ingekuwa bunge la sasa ni kama la mwaka 2015 angekuwa na matumaini ya kitu tofauti maana wapinzani ndani ya bunge walikuwa zaidi ya 40% hiyo ingeleta majadala mzito.
18 JANUARY 2024
CUF YASEMA SUBIRA ITUMIKE, MAANDAMANO YASITISHWE HADI BUNGE LIPITISHE MISWADA YA MAREKEBISHO YA SHERIA ZA UCHAGUZI NA TUME YA UCHAGUZI
Hamad Masoud Hamad katibu mkuu wa CUF asema hakuna haja ya kuweka mbinyo miswada ya sheria ya uchaguzi na sheria ya Tume ya Uchaguzi zibadilishwe kupitia maandamano ya amani yaliyoitishwa na CHADEMA 24 January 2024.
Katibu mkuu wa CUF alipobanwa zaidi kuwa kiuhalisia bunge ni la chama kimoja dola kongwe yaani CCM, je chama cha CUF wanauhakika gani CCM yenye wabunge wengi ktk bunge na kamati ya kudumu ya Bunge masuala ya utawala, sheria na katiba wanaweza kusikiliza maoni ya wasio wanaCCM na wadau.
Katibu mkuu wa CUF Bw. Hamad Masoud Hamad alipobanwa kuwa anatarajia kitu tofauti kutoka CCM, akasema kwa kuwa chama hicho dola kongwe CCM kina wabunge zaidi ya 97% ya wa wabunge wote katika bunge la 2020 hategemei CCM kusikiliza maoni ya vyama ya upinzani na wadau walio nje ya bunge la sasa, akasema ingekuwa bunge la sasa ni kama la mwaka 2015 angekuwa na matumaini ya kitu tofauti maana wapinzani ndani ya bunge walikuwa zaidi ya 40% hiyo ingeleta majadala mzito.
Sahihi kabisa, cdm imesharuka hatua ya kutegemea mbeleko ya vyama shikizi. Inachosimamia cdm ni hoja zake, hasa ukizingatia ndio zinaungwa mkono na wapenda mabadiliko.Chadema ipo na nguvu ya mara mbili ya nguvu ya muunganiko wa vyama uchwara vyote plus ccm ,so kama chama kimefika hatua yakuweza kutoa misimamo yake na kuweza kuisimami bila utegemezi wa chama ,kikundi au mtu yoyote , hivyo CUF na vyama vya aina yake vitambue chadema sio saizi yao
Tukutane 24, tukiwa na Mfangio, dekio, ndoo ya maji, sabuni ya unga , mbwai mbwai