CUF yaungana na CHADEMA kutoshiriki uchaguzi wowote hadi ipatikane Tume Huru

CUF yaungana na CHADEMA kutoshiriki uchaguzi wowote hadi ipatikane Tume Huru

Hii aijakaa poa asee.
Potelea mbali,kuna Chauma,ADC,Sau,Demokrasia makini,ACT n,k watashiriki na uchaguzi utakuwa huru,haki na uwazi.
 
Hivi hata wakishiriki uchaguzi wa balozi wa nyumba 10 watashinda kweli hawa CUF?
 
Chama cha CUF kimesema hakitashiriki uchaguzi wowote utakaoitishwa kwa sababu bado wanapima hali ya kisiasa nchini ikiwemo uhalali wa tume ya uchaguzi.

Mwenyekiti Prof Lipumba amesema maamuzi hayo yamefikiwa na kikao cha kamati kuu.

Ikumbukwe kuwa CHADEMA ilishatoa msimamo ke huo wa kutoshiriki uchaguzi wowote hadi ipatikane Tume huru.

Source Star tv

Ramadhan Kareem!

ACT kawafunika wote hao

imhotep hamia ACT
 
Wafadhili pia waandikiwe barua ili nao waendelee kuishinikiza CCM laa sivyo huo mgomo wa kushiriki Uchaguzi ndio itakua BARAKA kwa CCM.

Pia jumuiya ya Kimatataifa iweke wazi kuwawekea Vikwazo viongozi wote wa CCM akiwemo Mwenyekiti.
Tena unganeni wote nafamilia zenu zote kabisa, walamsinuse pua kuharibu uchaguzi, maaana tumechoka na kiki zenu na maigizo yenye fujoo. Kaeni hukohuko
 
Hivyo vyama vya CUF na CHADEMA vilishakufa wanabaki kudandua hoja tu
 
Chama cha CUF kimesema hakitashiriki uchaguzi wowote utakaoitishwa kwa sababu bado wanapima hali ya kisiasa nchini ikiwemo uhalali wa tume ya uchaguzi.

Mwenyekiti Prof Lipumba amesema maamuzi hayo yamefikiwa na kikao cha kamati kuu.

Ikumbukwe kuwa CHADEMA ilishatoa msimamo ke huo wa kutoshiriki uchaguzi wowote hadi ipatikane Tume huru.

Source Star tv

Ramadhan Kareem!
Hizo ni hekaya tushazizoea
 
Chama cha CUF kimesema hakitashiriki uchaguzi wowote utakaoitishwa kwa sababu bado wanapima hali ya kisiasa nchini ikiwemo uhalali wa tume ya uchaguzi.

Mwenyekiti Prof Lipumba amesema maamuzi hayo yamefikiwa na kikao cha kamati kuu.

Ikumbukwe kuwa CHADEMA ilishatoa msimamo ke huo wa kutoshiriki uchaguzi wowote hadi ipatikane Tume huru.

Source Star tv

Ramadhan Kareem!
This is a good move, why participate when your chances of winning are 0%. Tena sasa hivi ndiyo mbaya zaidi, maana wanaitukana maiti.
 
Safi sana.

Na waushikilie msimamo huo mpaka 2025 na hata baada ya hapo.

NCCR Mageuzi nao inabidi waunge tela.
 
Chama cha CUF kimesema hakitashiriki uchaguzi wowote utakaoitishwa kwa sababu bado wanapima hali ya kisiasa nchini ikiwemo uhalali wa tume ya uchaguzi.

Mwenyekiti Prof Lipumba amesema maamuzi hayo yamefikiwa na kikao cha kamati kuu.

Ikumbukwe kuwa CHADEMA ilishatoa msimamo ke huo wa kutoshiriki uchaguzi wowote hadi ipatikane Tume huru.

Source Star tv

Ramadhan Kareem!
Lipumba haaminiki hata kidogo
 
Chama cha CUF kimesema hakitashiriki uchaguzi wowote utakaoitishwa kwa sababu bado wanapima hali ya kisiasa nchini ikiwemo uhalali wa tume ya uchaguzi.

Mwenyekiti Prof Lipumba amesema maamuzi hayo yamefikiwa na kikao cha kamati kuu.

Ikumbukwe kuwa CHADEMA ilishatoa msimamo ke huo wa kutoshiriki uchaguzi wowote hadi ipatikane Tume huru.

Source Star tv

Ramadhan Kareem!
Huo ni muungano wa mashetani hautadumu hata hivyo hawajavunja sheria yoyote maana kushirki uchaguzi sio lazima ni suala la hiari na hizo ndio gharama za demokrasia
 
Chama cha CUF kimesema hakitashiriki uchaguzi wowote utakaoitishwa kwa sababu bado wanapima hali ya kisiasa nchini ikiwemo uhalali wa tume ya uchaguzi.

Mwenyekiti Prof Lipumba amesema maamuzi hayo yamefikiwa na kikao cha kamati kuu.

Ikumbukwe kuwa CHADEMA ilishatoa msimamo ke huo wa kutoshiriki uchaguzi wowote hadi ipatikane Tume huru.

Source Star tv

Ramadhan Kareem!
Pumbavuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu Lipumba msaliti mkubwa. CDM achana na mamuluki huyo.
 
Back
Top Bottom