NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Chama cha CUF kimesema hakitashiriki uchaguzi wowote utakaoitishwa kwa sababu bado wanapima hali ya kisiasa nchini ikiwemo uhalali wa tume ya uchaguzi.
Mwenyekiti Prof Lipumba amesema maamuzi hayo yamefikiwa na kikao cha kamati kuu.
Ikumbukwe kuwa CHADEMA ilishatoa msimamo ke huo wa kutoshiriki uchaguzi wowote hadi ipatikane Tume huru.
Source Star tv
Ramadhan Kareem!
Tena unganeni wote nafamilia zenu zote kabisa, walamsinuse pua kuharibu uchaguzi, maaana tumechoka na kiki zenu na maigizo yenye fujoo. Kaeni hukohukoWafadhili pia waandikiwe barua ili nao waendelee kuishinikiza CCM laa sivyo huo mgomo wa kushiriki Uchaguzi ndio itakua BARAKA kwa CCM.
Pia jumuiya ya Kimatataifa iweke wazi kuwawekea Vikwazo viongozi wote wa CCM akiwemo Mwenyekiti.
Hizo ni hekaya tushazizoeaChama cha CUF kimesema hakitashiriki uchaguzi wowote utakaoitishwa kwa sababu bado wanapima hali ya kisiasa nchini ikiwemo uhalali wa tume ya uchaguzi.
Mwenyekiti Prof Lipumba amesema maamuzi hayo yamefikiwa na kikao cha kamati kuu.
Ikumbukwe kuwa CHADEMA ilishatoa msimamo ke huo wa kutoshiriki uchaguzi wowote hadi ipatikane Tume huru.
Source Star tv
Ramadhan Kareem!
This is a good move, why participate when your chances of winning are 0%. Tena sasa hivi ndiyo mbaya zaidi, maana wanaitukana maiti.Chama cha CUF kimesema hakitashiriki uchaguzi wowote utakaoitishwa kwa sababu bado wanapima hali ya kisiasa nchini ikiwemo uhalali wa tume ya uchaguzi.
Mwenyekiti Prof Lipumba amesema maamuzi hayo yamefikiwa na kikao cha kamati kuu.
Ikumbukwe kuwa CHADEMA ilishatoa msimamo ke huo wa kutoshiriki uchaguzi wowote hadi ipatikane Tume huru.
Source Star tv
Ramadhan Kareem!
Hapo Ufipa kamati kuu mko wangapi bwashee?Kikao cha kamati kuu cha watu watatu? CUF ishakufa imebakia na watu watatu tu ,kambaya,sakaya na le profeseli.
Lipumba haaminiki hata kidogoChama cha CUF kimesema hakitashiriki uchaguzi wowote utakaoitishwa kwa sababu bado wanapima hali ya kisiasa nchini ikiwemo uhalali wa tume ya uchaguzi.
Mwenyekiti Prof Lipumba amesema maamuzi hayo yamefikiwa na kikao cha kamati kuu.
Ikumbukwe kuwa CHADEMA ilishatoa msimamo ke huo wa kutoshiriki uchaguzi wowote hadi ipatikane Tume huru.
Source Star tv
Ramadhan Kareem!
TeteteteTLP wana majonzi ya kufiwa na mgombea wao wa urais sijui 2025 watampitisha nani?
[emoji16][emoji16][emoji16]TLP wana majonzi ya kufiwa na mgombea wao wa urais sijui 2025 watampitisha nani?
Sio kidogo tuu haaminiki kabisaLipumba haaminiki hata kidogo
Lipumba akipewa rushwa ya milioni 1 anageuza msimamoSio kidogo tuu haaminiki kabisa
Huo ni muungano wa mashetani hautadumu hata hivyo hawajavunja sheria yoyote maana kushirki uchaguzi sio lazima ni suala la hiari na hizo ndio gharama za demokrasiaChama cha CUF kimesema hakitashiriki uchaguzi wowote utakaoitishwa kwa sababu bado wanapima hali ya kisiasa nchini ikiwemo uhalali wa tume ya uchaguzi.
Mwenyekiti Prof Lipumba amesema maamuzi hayo yamefikiwa na kikao cha kamati kuu.
Ikumbukwe kuwa CHADEMA ilishatoa msimamo ke huo wa kutoshiriki uchaguzi wowote hadi ipatikane Tume huru.
Source Star tv
Ramadhan Kareem!
Pumbavuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu Lipumba msaliti mkubwa. CDM achana na mamuluki huyo.Chama cha CUF kimesema hakitashiriki uchaguzi wowote utakaoitishwa kwa sababu bado wanapima hali ya kisiasa nchini ikiwemo uhalali wa tume ya uchaguzi.
Mwenyekiti Prof Lipumba amesema maamuzi hayo yamefikiwa na kikao cha kamati kuu.
Ikumbukwe kuwa CHADEMA ilishatoa msimamo ke huo wa kutoshiriki uchaguzi wowote hadi ipatikane Tume huru.
Source Star tv
Ramadhan Kareem!