CV ya kocha mpya wa Simba Pablo

PLAYING STYLE

 
Zaidi sana tunawaomba TFF huu ndio muda wa kutangaza ligi ya Tanzania kimataifa.

Tuache michezo ya kushamba ya kurukia na kutaka kuvunja watu miguu. Tuende kwenye professional football.
Mnaenda na nani??

Wenzako wanaocheza wapo huko wanafanya mazoezi ya kuvunja viuno😂
 
Kocha mzuri ila je ataweza kuielewesha timu? Kocha wa maana ni yule mzee ambaye alikuwa ameivusha timu kwenda kwenye level za kuwafunga warabu wale
 
Kocha mzuri ila je ataweza kuielewesha timu? Kocha wa maana ni yule mzee ambaye alikuwa ameivusha timu kwenda kwenye level za kuwafunga warabu wale
Mipira yenu ya ndumba imeshapitwa na wakati. Mtapata kombe la maziwa mwaka huu. UTO kama UTO
 
Kocha ana degree ya sport Science
Mpira wa simba utakuwa wa kisayansi.

Achana na Mpira wa ndumba ni ushamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…