Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
-
- #61
Mchambuzi kutoka mchambawima ZanzibarHatuko kwenye mpira wa aggregate bali tuko kwenye point tatu muhimu. Wewe cheza michezo minne toka sare ya bila kufungana lakini anayecheza michezo hiyo hiyo minne na akashinda yote kwa kuruhusu goli atakuwa kakuacha point nane. Endelea kujitapa kutoruhusu goli wakati wenzio wanapambania point tatu muhimu haijalishi karuhu goli au lah
Sawa kochaHapo ujue marekebisho yanayohitajika ni madogo ili kuweka timu kwenye nafasi ya juu
Jibu swali langu unajua kusoma kingereza!?Wewe umejibu? Au unaogopa pia?
Nenda kale urojoSawa kocha
Mbona una characters za kidada wewe, wewe ni mdada?Jibu swali langu unajua kusoma kingereza!?
Nimekuuliza swali, unaruka ruka tu kama demu anatongozwa. Unajua kingereza!?Mbona una characters za kidada wewe, wewe ni mdada?
Wewe ukiwa unatongozwa ndiyo unavorukaruka hivo?Nimekuuliza swali, unaruka ruka tu kama demu anatongozwa. Unajua kingereza!?
Nani alikwambia ?Tuliambiwa kuwa, analetwa kocha asiye MZUNGU! Imekuwaje tena?
Mbona hujibu swali langu!? Je, ni gumu!?Wewe ukiwa unatongozwa ndiyo unavorukaruka hivo?
Jibu swaliKuna mashabiki wa timu flani wanahaha sana sijui kwa nini??
Unaswali lolo TOPOLO.Jibu swali
Za ndani kabisa zinadai huyu kocha ni cousin yake babraView attachment 2001879
Kocha tayari amewasili ktk majukumu yake mapya
Kwani wewe langu ulijibu?Mbona hujibu swali langu!? Je, ni gumu!?
Hapo alikuwa kijijini analima matunda tokea Julai 2021, tumempa kibarua kafurahi sana ndio anakuja nchini!View attachment 2001879
Kocha tayari amewasili ktk majukumu yake mapya