CV ya kocha mpya wa Simba Pablo

Mchambuzi kutoka mchambawima Zanzibar
 
Na kwa taarifa za ndani ndani ni kwamba...

SIMBA WAKO KWENYE MAWINDO MAZITO YA STRIKERS KWENYE MSIMU WA DIRISHA DOGO
 
Kuna mashabiki wa timu flani wanahaha sana sijui kwa nini??
 
Naona simba wameamua walete mwenye vyeti vizito sana.

Hivi yule Nabi anasemaje?

Simba wapo kimkakati sana,wao wanamuona kocha tu,kumbe ni moja ya mbinu kuiweka simba level za juu pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…