CV ya kocha mpya wa Simba Pablo

Shida ni mazingira aliyofanya kazi kuna full profesinalism, wakati huku hata robo hakuna.........
 
Ndio maana ukiangalia alikuwa hakai muda mrefu kqenye timu mpaka ananipa wasiwasi
Huku Africa ndiyo mara ya kwanza anakuja, honestly kwa hawa kina Mkude, Ajibu na akili zao ambazo hawataki kupangiwa cha kufanya kazi ipo kwake hasa kwasababu ni mara ya kwanza huku dunia ya 3
 
ni mchumba wa barbra?
sisi wananchi hatuangalii title Simba lazima tuichape tu
 
ni mchumba wa barbra?
sisi wananchi hatuangalii title Simba lazima tuichape tu
Hamuwezi. Mpira wa simba na yanga uwa hautabiriki, Yanga anaqeza akawa vizuri lakini wakikutana anafungwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…